nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,613
hongereni sana. tungetamani siku m
Dah mkuu ikiwa hivo wanatuangusha sana maana 2018 hyo inagonga hodi....... ccm wanazidi kupata airtime ikifika 2020 tutapigwa knockout hivi hivi tunaangaliahawawezi kufanya hicho ndugu yangu...zaidi hawashauriki.
muda si mrefu utawaelewa tu
Kwahyo katiba mpya hutaki??? Sasa mnatoka povu la nni kuhusu mikataba na sheria mbovu za kusimamia nishati kma gesi au madini???? Ccm bhanahahahaha hv unatumia nn kuwaza ???? au miguu
Hivi unajua maana ya upinzani???? Au kazi za upinzani???E
Endeleeni kujikongoja tu wananchi wanamkubali jpm kwa hundred percent
Hamna shida ila hajafoji vyeti kuliko angekuwa na PHD ya kufoji!!!!UZANDIKI TU HAKUNA JIPYA: WANAHUTUBIWA NA ZERO YA FORM 6
Kwa Comment hii nimejiridhisha pasina Shaka kweli ni genge la Wahuni.Umempa makavu kinoma ! Asante sana , subiri kisanduku kimoja cha heineken siku ya IDD .
Ni Asubuhi njema kabisa huku mji wa Dodoma ukiwa na shamrashamra kadhaa za Kikao cha Baraza kuu la Chadema kitakachoongozwa na Mwenyekiti wake Freeman Mbowe.
Tayari wajumbe kadhaa wameshawasili wakiwemo mawaziri wakuu wastaafu Edward Lowassa na Fredrick Sumaye.
Kikosi kamili cha habari Chadema kitawaletea live coverage kuanzia sasa.
Karibuni
Ni Asubuhi njema kabisa huku mji wa Dodoma ukiwa na shamrashamra kadhaa za Kikao cha Baraza kuu la Chadema kitakachoongozwa na Mwenyekiti wake Freeman Mbowe.
Tayari wajumbe kadhaa wameshawasili wakiwemo mawaziri wakuu wastaafu Edward Lowassa na Fredrick Sumaye.
Kikosi kamili cha habari Chadema kitawaletea live coverage kuanzia sasa.
Karibuni
Shida Ipo - Akili Kubwa Itaongozwaje na ZIRO Kidato cha 6???? Mkewe Joyce Mukya hajambo? Msalimie pia na yule dada aliyekuawa msaidizi wake Bungeni ambaye amempa ubunge viti maalum. Mnajifanya waadilifu wakati kuna uozo kibao kwenye hicho chama...... zidumu fikra za ziroHamna shida ila hajafoji vyeti kuliko angekuwa na PHD ya kufoji!!!!
Hii ndiyo inaitwaga uhuru wa kujieleza,Chadema ni chama pekee kinachojali maslahi ya Sumaye na Lowasa. Pia ni chama pekee chenye uwezo wa kuuzwa muda wowote
Dawa ya moto ni moto .Kwa Comment hii nimejiridhisha pasina Shaka kweli ni genge la Wahuni.
Nitajie faida 3 tu za uongo ulizopata tangu umeianza hiyo tabia mbaya ?Yaani hamna folowers kabisa, prof mruma kaufunika kabisa huu mkutano, kila ukiangalia humu JF ni makinikia tu.
hahahahhaha...Kuonesha kwamba idara ya mawasiliano haipo makini hata hiyo video inakuja upande sio wote wanatumia simu,wengine tupo kwenye desktop,tuzibinue?
Ni Asubuhi njema kabisa huku mji wa Dodoma ukiwa na shamrashamra kadhaa za Kikao cha Baraza kuu la Chadema kitakachoongozwa na Mwenyekiti wake Freeman Mbowe.
Tayari wajumbe kadhaa wameshawasili wakiwemo mawaziri wakuu wastaafu Edward Lowassa na Fredrick Sumaye.
Kikosi kamili cha habari Chadema kitawaletea live coverage kuanzia sasa.
Karibuni
Updates....
Tayari Mwenyekiti wa Chama Freeman Mbowe ameshawasili ukumbini huku akisindikizwa na Katibu Mkuu Dr Vicent Mashinji,Wajumbe wa Kamati Kuu na viongozi wakuu wa mabaraza ya chama.
Mwenyekiti Mbowe analakiwa kwa bashasha kubwa na wajumbe wa Baraza Kuu huku waandishi wa habari wakiwa wamefurika katika ukumbi huu.
Updates no 2....
Sasa Mwenyekiti Mbowe anatoa hotuba rasmi kuashiria kulifungua Baraza Kuu.