Mbowe ni muongo na mpotoshaji hafai kuaminiwa

mjepo

JF-Expert Member
Aug 8, 2013
4,913
916
Kwa mda mrefu nimekuwa nafuatilia siasa za mwenyekiti wa chadema taifa ndugu mbowe,amekuwa akifanya siasa za harakati na mapambano ambayo kwa kiasi kikubwa amefanikiwa kukipa sifa chama chake kwa namna moja au nyingine.

Baada ya mda mwingi kupita akifanya siasa zake kwa siku hivi kribuni nimekuja kuamini kuwa mbowe ni muongo wa hali ya juu sana amekuwa akizungumza masuala ya uongo kabisa wakati huo akijua kuwa huo ni uongo.

Akichangia leo bungeni ameongea kitu cha uongo kabisa kwamba eti baraza la wafanya kazi yani TUCTA kwamba walitoa maoni ya kuunga mkono serikali tatu,hoja hii ya mbowe imenishangaza kwa kuwa mimi nilifanikiwa kuyaona hayo maoni ya tucta yalitaka serikali moja hii ya serikali tatu mbowe kaitoa wapi,kwa nini mbowe anatumia bunge kufanya siasa na kupotosha umma?

Lakini mbali na hiyo mbowe alitaka kupiga kura ya siri lakini zoezi la kupiga kura lilipofika mbowe alihimiza wajumbe wa upande wake wapige kura ya wazi nilishangaa sana juu ya hili kwa nini mbowe anakuwa muongo kwa kiasi hiki si sawa lazima abadilike anakera.
 
Sababu za taifa kutokuendelea ni kutokana na kuwa na watu wenye uwezo mdogo wa kufikiri, mwenye post hii ukiwa ni miongoni mwao!
 
mkuu weka jina lako kamili ili tuamini anachokisema Mbowe kweli ni UONGO.
Kwa mda mrefu nimekuwa nafuatilia siasa za mwenyekiti wa chadema taifa ndugu mbowe,amekuwa akifanya siasa za harakati na mapambano ambayo kwa kiasi kikubwa amefanikiwa kukipa sifa chama chake kwa namna moja au nyingine.

Baada ya mda mwingi kupita akifanya siasa zake kwa siku hivi kribuni nimekuja kuamini kuwa mbowe ni muongo wa hali ya juu sana amekuwa akizungumza masuala ya uongo kabisa wakati huo akijua kuwa huo ni uongo.

Akichangia leo bungeni ameongea kitu cha uongo kabisa kwamba eti baraza la wafanya kazi yani TUCTA kwamba walitoa maoni ya kuunga mkono serikali tatu,hoja hii ya mbowe imenishangaza kwa kuwa mimi nilifanikiwa kuyaona hayo maoni ya tucta yalitaka serikali moja hii ya serikali tatu mbowe kaitoa wapi,kwa nini mbowe anatumia bunge kufanya siasa na kupotosha umma?

Lakini mbali na hiyo mbowe alitaka kupiga kura ya siri lakini zoezi la kupiga kura lilipofika mbowe alihimiza wajumbe wa upande wake wapige kura ya wazi nilishangaa sana juu ya hili kwa nini mbowe anakuwa muongo kwa kiasi hiki si sawa lazima abadilike anakera.
 
Huyu mleta hoja ni kutoka kabila moja jipya mkoani kigoma linaitwa wandendeule.
 
Kwa mda mrefu nimekuwa nafuatilia siasa za mwenyekiti wa chadema taifa ndugu mbowe,amekuwa akifanya siasa za harakati na mapambano ambayo kwa kiasi kikubwa amefanikiwa kukipa sifa chama chake kwa namna moja au nyingine.

Baada ya mda mwingi kupita akifanya siasa zake kwa siku hivi kribuni nimekuja kuamini kuwa mbowe ni muongo wa hali ya juu sana amekuwa akizungumza masuala ya uongo kabisa wakati huo akijua kuwa huo ni uongo.

Akichangia leo bungeni ameongea kitu cha uongo kabisa kwamba eti baraza la wafanya kazi yani TUCTA kwamba walitoa maoni ya kuunga mkono serikali tatu,hoja hii ya mbowe imenishangaza kwa kuwa mimi nilifanikiwa kuyaona hayo maoni ya tucta yalitaka serikali moja hii ya serikali tatu mbowe kaitoa wapi,kwa nini mbowe anatumia bunge kufanya siasa na kupotosha umma?

Lakini mbali na hiyo mbowe alitaka kupiga kura ya siri lakini zoezi la kupiga kura lilipofika mbowe alihimiza wajumbe wa upande wake wapige kura ya wazi nilishangaa sana juu ya hili kwa nini mbowe anakuwa muongo kwa kiasi hiki si sawa lazima abadilike anakera.

Wewe na vijana aina yako ni Mzigo kwa Taifa hili.
 
Nimekuona kule kwenye uzi wa Pasco unamsifia Juha Kigwangala....

Naona umekuja kuharisha na hapa...

Fool
 
Umeelezwa kwamba 90 percent ya wana TUCTA ni walimu, na wao kwa pamoja waliunga mkono serikali tatu, nini kigumu kueleweka katika hili?

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
nahis hata vikao vyenyewe vya bunge haviskilizi hao wana TUCTA waliotoa maoni yao 90% wanataka serikali 3 mkuu nahis ww ndo muongo kwa hoja yko hii wala si mbowe
 
Umeelezwa kwamba 90 percent ya wana TUCTA ni walimu, na wao kwa pamoja waliunga mkono serikali tatu, nini kigumu kueleweka katika hili?

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Mkuu watu hawataki kuukubali ukweli sasa wanatafuta vijisababu visivyo na msingi
 
images
 
Back
Top Bottom