Mbowe naomba kadi ya CHADEMA narudisha ya CCM

Mbowe naomba kadi ya CHADEMA narudisha ya CCM

Mbowe naomba na mimi kadi ya chadema. Ninarudisha ya ya CCM. Nilikuwa CCM kwa kulazimishwa sababu nimekulia kwenye ukoo wa maCCM. Toka 2010 nilikuwa nashabikia upinzani kisirisiri. Huwezi amini mwaka juzi walinifanyia timing na kufungia kitambulisho changu ndani ili nisiende kumpigia kura lowasa. Sasa nipo huru maana hata hao ndugu zangu waliokuwa wanajifanya CCM damu damu wameisoma number. Leo wanaiponda serkal ambayo niwenyewe waliipigia kura.

Tena kuna mmoja wao alichoma mafuta kurudi kwenye jimbo alilo jiandikishia ili ampigie kura magu. Lakini leo hataki hata kuona sura ya magu.

Nipo huru sasa nilikuwa nimetengwa na ukoo sasa akili zimewakaa sawa. Naomba kadi niwe CDMA kamili.

Asante.

Siku nikipata ya chadema nitaleta marejesho.
images-1232.jpeg
 
Mbowe naomba na mimi kadi ya chadema. Ninarudisha ya ya CCM. Nilikuwa CCM kwa kulazimishwa sababu nimekulia kwenye ukoo wa maCCM. Toka 2010 nilikuwa nashabikia upinzani kisirisiri. Huwezi amini mwaka juzi walinifanyia timing na kufungia kitambulisho changu ndani ili nisiende kumpigia kura lowasa. Sasa nipo huru maana hata hao ndugu zangu waliokuwa wanajifanya CCM damu damu wameisoma number. Leo wanaiponda serkal ambayo niwenyewe waliipigia kura.

Tena kuna mmoja wao alichoma mafuta kurudi kwenye jimbo alilo jiandikishia ili ampigie kura magu. Lakini leo hataki hata kuona sura ya magu.

Nipo huru sasa nilikuwa nimetengwa na ukoo sasa akili zimewakaa sawa. Naomba kadi niwe CDMA kamili.

Asante.

Siku nikipata ya chadema nitaleta marejesho.
kwani lazima uombe kua nyumbu. ruksa..good riddance. kama humuelewi magu wewe na ukoo wako mlikua ccm maslahi na labda kuna ndugu katumbuliwa
 
Unakumbuka shuka asubuhi?hivi mtanzania kuanzia 18yrs mpaka55 hamzinduki tu?
 
Chadema ipi unayo taka kwenda? Mbowe mmoja ila Chadema zipo mbili.

Bora uwe huna chama, sijaona Chama Tanzania chenye dhamila ya kweli.

Wote wapigaji tu. Afrika shida tupu.
Mkuu ni kwel vyama vyote wapigaji ila angalau hii ccm ya ngosha kuna hofu ya upigaji kwa sasa.
ukizitazama sura za chadema kwa sasa unaona upigaji waziwazi!
Daaaah..! Mi mwENYEWE NI CCM KINDAKINDAKI NATAMANI KUHAMA CJAMA ILA NGOJA NIVUMILIE LABDA NEEMA INAKARIBIA.. KWAKWELI SIJAWAHI ONA PEREZIDA KAMA HUYU WA KWETU.. CCM TUNAISOMA NAMBA WENYEWE
 
2010 ulitaka kumpigia kura Lowassa? Ya ubunge ama?
 
Mkuu ni kwel vyama vyote wapigaji ila angalau hii ccm ya ngosha kuna hofu ya upigaji kwa sasa.
ukizitazama sura za chadema kwa sasa unaona upigaji waziwazi!
Baba yako anajijengea sijui anataka kuweka shule pale kwake. Hata sielewi maana ile mijengo si ya kawaida chato.
 
Duuuuh!! Ukapoteaaa ndugu!! Emb lala uote tena coz hyo ndo to ya leo sio sahihi
 
kwani lazima uombe kua nyumbu. ruksa..good riddance. kama humuelewi magu wewe na ukoo wako mlikua ccm maslahi na labda kuna ndugu katumbuliwa
Kuna wananchi wamechoma picha ya magu kuangalia mange uone haijawahi kutoka mwaka mmoja picha ya raisi ikatiwa kiberiti niliwahi kuona kwenye TV tu [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji13]
 
Kuna wananchi wamechoma picha ya magu kuangalia mange uone haijawahi kutoka mwaka mmoja picha ya raisi ikatiwa kiberiti niliwahi kuona kwenye TV tu [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji13]
Si sugu uyo pembeni au mi naona vbya
 
Back
Top Bottom