Mbowe naomba kadi ya CHADEMA narudisha ya CCM

Mbowe naomba kadi ya CHADEMA narudisha ya CCM

H
Niweke kadi yangu ya CCM ndyo uhakikishe? Tena likadi lenyewe nililazimishwa. Yani waliniletea likadi kwa lazima
Hivi huu unafki utaacha lini? Toka lini wewe ukawa
CCM na leo hii urudishe kadi
 
Jamaa jinga kwelkwel, anajipiga dol. mat.ko. kisha ananusa akitarajia matokeo tofauti!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ... Huyo atakua na hangover za viroba...
 
Mbowe naomba na mimi kadi ya chadema. Ninarudisha ya ya CCM. Nilikuwa CCM kwa kulazimishwa sababu nimekulia kwenye ukoo wa maCCM. Toka 2010 nilikuwa nashabikia upinzani kisirisiri. Huwezi amini mwaka juzi walinifanyia timing na kufungia kitambulisho changu ndani ili nisiende kumpigia kura lowasa. Sasa nipo huru maana hata hao ndugu zangu waliokuwa wanajifanya CCM damu damu wameisoma number. Leo wanaiponda serkal ambayo niwenyewe waliipigia kura.

Tena kuna mmoja wao alichoma mafuta kurudi kwenye jimbo alilo jiandikishia ili ampigie kura magu. Lakini leo hataki hata kuona sura ya magu.

Nipo huru sasa nilikuwa nimetengwa na ukoo sasa akili zimewakaa sawa. Naomba kadi niwe CDMA kamili.

Asante.

Siku nikipata ya chadema nitaleta marejesho.
Hongera kwa kufanya uamuzi sahihi!
Hilo likadi lichomee mbali au kalichambie, hilo likadi ni sawa na hirizi la kishetani, ukiliweka mfukoni ukitembea nalo unanuka kila uendapo, fanya haraka kabla halijaanza kudondosha funza...
 
Ni bora sababu uyo wanayemuita fisadi wameshindwa muwajibisha wakimaanisha ufisadi wake hauna effect.
Walioshindwa kumwajibisha ni pamoja na wale waliosema ni fisadi na wakituaminisha kuwa ushahidi wanao, cha ajabu wamekumbatia na Hawataki tena kumpeleka mahakamano

Hapo ndipo nilipoamini Fanya ufisadi wako kwa kiwango unachotaka Halafu Hamia tu upinzani automatically unakuwa msafi na cheo unapata
 
Baada ya operation "choma kadi ya CCM" sasa mmekuja na operation "chukua kadi ya pili ya chama chako", endeleeni sisi watazamaji.
 
Huku CDM usisahau huwa tunagawana majukumu na wala si vinginevyo........Karibu umechagua vema!!
 
Tanzania hii inakwenda wapi, yaani Leo hii fisadi ni Bora? Jitahidi mapenzi na hisia zisiufunike ukweli na uhalisia
Tanzania hakuna fisadi hata mmoja,wakati wakampeni tuliamanishwa majizi na mafisadi wote ndani lakini sasa mahakama IPO lakini majizi na mafisa wamekosekana mahakama imekosa kesi sijui wale wa nyavu haramu ndiyo majizi na mafisadi tulioamanishwa?
 
Mbowe naomba na mimi kadi ya chadema. Ninarudisha ya ya CCM. Nilikuwa CCM kwa kulazimishwa sababu nimekulia kwenye ukoo wa maCCM. Toka 2010 nilikuwa nashabikia upinzani kisirisiri. Huwezi amini mwaka juzi walinifanyia timing na kufungia kitambulisho changu ndani ili nisiende kumpigia kura lowasa. Sasa nipo huru maana hata hao ndugu zangu waliokuwa wanajifanya CCM damu damu wameisoma number. Leo wanaiponda serkal ambayo niwenyewe waliipigia kura.

Tena kuna mmoja wao alichoma mafuta kurudi kwenye jimbo alilo jiandikishia ili ampigie kura magu. Lakini leo hataki hata kuona sura ya magu.

Nipo huru sasa nilikuwa nimetengwa na ukoo sasa akili zimewakaa sawa. Naomba kadi niwe CDMA kamili.

Asante.

Siku nikipata ya chadema nitaleta marejesho.
Tia kiberiti mkuu
 
Niweke kadi yangu ya CCM ndyo uhakikishe? Tena likadi lenyewe nililazimishwa. Yani waliniletea likadi kwa lazima
Subiri wali maharage kofia tsht na buku kumi..... [emoji6] [emoji6] [emoji6] halafu huwapigii kura
 
Jamaa jinga kwelkwel, anajipiga dol. mat.ko. kisha ananusa akitarajia matokeo tofauti!
827ab88b668921ff4d65f274ebac83ba.jpg
 
Back
Top Bottom