Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,250
- 98,243
Dkt. Umepiga ikulu direct. Hilo suala huwa haliongelewi huku, japokuwa linafahamika.
Ndege wa rangi moja huruka pamoja
Dkt. Umepiga ikulu direct. Hilo suala huwa haliongelewi huku, japokuwa linafahamika.
Zito na mbowe ni kama mbingu na dunia, kamwe mbowe hawezi kumfikia zito.
Zito ni mwanasiasa ,mbowe mwanaharakati wapi na wapi?
Hata ukiwapima kwa hoja zao bungeni mbowe hawezi kumfikia zito hata robo.
Msaliti ni Mbowe aliyezaa nje ya ndoa yake,kwani amechepuka kwa mke wake.
Hizo hoja unazipimaje kwa ho watu wawili? maana hapo kila mmoja ana faniyake, mmoja mshika CD mwingine faniyake siasa, hapo lazima wapishane, mwanadam anae chukulia mgogoro wake binafsi kama mgogoro wa Tanzania nzima huyo hana hoja, nakwambia wapo wengine wa kuwaringanisha na si hao
Hii ndio inajionyesha kuwa wewe ni mgeni hapa jukwaani,hivi hii kitu ya kuingilia maisha binafsi ya kiongozi wa chama NJE YA SIASA, ndio inajenga nchi au inabomoa?wote tukiamua kuwashambulia viongozi ambao tunajua undani wa maisha yao na familia zao itakuwaje?tuwe na ustaarabu hata kama unalipwa kwa kumkashifu kiongozi fulani basi kataa hiyo posho.
Zitto alisaliti kitu gani? Mbowe alimsaliti mke wake kwa kuzaa nje ya ndoa.
Zitto alisaliti kitu gani? Mbowe alimsaliti mke wake kwa kuzaa nje ya ndoa.
Msaliti ni Mbowe aliyezaa nje ya ndoa yake,kwani amechepuka kwa mke wake.
Naomba unieleze kabla ya zzk kuwa mwanasiasa alikuwa wap? na mbowe kabla ya kuwa mwanasiasa alikuwa wap? kumpokea mtu kwenye chama si kuwa ww nifani yako hiyo, unadhani ztt akiacha siasa kipi alichowahi fanya anawezakwenda kufanya vilevile mbowe je? MBOWE ana chuki zake ndizo zinazo leta mgogoro huu,kwanini anaendelea kumzungu mzia mtu ambaye kisha achananaye na yeye hamzungumzii.Zzk fani yake ni mwana siasa?hiyo fani aliipata wapi kabla ya kuingia cdm ambako alipokelewa na Mbowe?unaonekana unashabikia siasa za zzk bila kujua historia yake kisiasa hujui kaanzia wapi hadi hapo alipo.
Mwl kaijage amelala mbele anakuwachia huu msala?
Hata siku moja bega haliwezi kuzidi kichwa, msaliti ni msaliti tuuuuuuu hata iweje atakuwa msaliti tuu!
Mbowe ana caliber ya Ufisadi na Zitto ana caliber ya Ujamaa.
mbowe na zitto hahaha doctor you can't be serous, mbowe si alipata 0 au mi sijaelewa vizuri bandiko,labda mbowe na lusinde.
Tatizo kubwa la Zitto ni usaliti Kwa watanzania, chama chake cha zamani, nafsi yake na wafuasi wake. Zitto was mwaka 2007 na Zitto wa Leo 2015 ni watu wawili tofauti ijapokuwa wanatumia sura ileile ya 2007.Tanzania sasa imechupa mbali na inazidi kupokea mabadiliko makubwa sana haswa ya kifikra. Kilasiku tunaona mikutano ya hadhara ya wanasiasa ikifanyika kuna inayotia moyo kwa wanasiasa wanaotumia muda wao kuandaa hoja za msingi na kuongelea mambo yanayowagusa wananchi moja kwa moja, wapo wengine wanaoandaa viloja vya kwenda kutajataja majina ya watu na pumba ambazo hazina mantiki yeyote kwa wananchi. Na hii ni dharau kubwa sana kwa wananchi kuwapotezea muda wao kuja kwenye mikutanoa na hakuna wanachokipata.
Hapa nasema lazima tuwapime wanasiasa wetu kwa hoja wanazoongea je kile anachokiongea kina tija kwa wananchi, pia wanasiasa wetu lazima wabadilike zile siasa za viloja mwisho ilikuwa 2010.Watanzania wa leo hawatakubali kuuziwa Mbuzi kwenye gunia watataka kumuona anafananaje na ana ubora gani.
Wachambuzi wa masuala ya siasa tusaidieni watanzania muwe mnajitahidi kuchambua yale ambayo yamezungumzwa na wanasiasa hao katika majukwaa yao, waanikieni viloja na hoja za wanasiasa wetu. Rai kwa wanachama na washabiki tuanze sasa kutoka vifua mbele kwa hoja anazozitoa mwanasiasa tunayempenda tusiangalie tu ujazaji watu tu jukwaani hii nchi imevimba changamoto ni nyingi sana.
Wakati huu ni kuwapima wanasiasa hawa wawili kwa hoja zao wakiwepo kwenye mikutano na nje ya mikutano.
Mbowe amemsaliti mke wake kwa kuzaa nje ya ndoa;je Zitto amesaliti nini?
mbona mama yako kazaa nje ya ndoa husemi?Msaliti ni Mbowe aliyezaa nje ya ndoa yake,kwani amechepuka kwa mke wake.
ACT bomu kwa mustakabali wa Tanzania