Mbowe na wewe ni TISS au?

Mbowe na wewe ni TISS au?

Mi ni chadema, lakini Mbowe haeleweki katika hili. Ndo maana mimi huwa nina appreciate sana Mafia Dons, ukimgusa au kumuua mtu wake ana deal na wewe mpaka mwisho!!! Na tena Mbowe ana pesa na chama kina pesa, na tena kina rasilimali watu wenye uwezo wa kila aina! Tazama mawazo alivyouawa, kimya... Ben Saanane kimya! Hiyo itawakatisha tamaa vijana wataka mabadiliko katika kujitolea, wataona hata likiwakuta lolote hakuna anaejali. Revenge is the best food when saved cold!

Hivi utamlaumu Mbowe kwa kesi ya Mawazo?? Hivi kama Mahakamani hakuna haki unategemea Mbowe afanye je??Aongeze vijana kuuawa??

Hapa aliwakataza kuandamana na wamemteka Ben wangeandamana Policcm waliplan kuua wangapi??

Utu kwanza pesa baadaye
 
Ukiwa na pesa unaweza nunua information kutoka kwa yoyote! Baada ya hapo unazifanyia kazi.

Unadhani Mbowe hajui Ben alichukuliwa na nani??

Ninauhakika Mbowe anajua na kwa sababu anajua amewaeleza Polisi nani anamkono nyuma ya Ben na kwenye hotuba yake amesema kama umeisoma au kusikiliza
 
Hilo mbona linajulikana hata gari analotumia ni jamaa wa system

Anatumia gari la Serikali kama Kiongozi wa Kambi ya Upinzani (KUB) na hujui amemueleza nini WM kwa nafasi yake na hujui amejibiwa nini na WM.Siyo kila kitu kinawekwa mitandaoni.
 
  • Thanks
Reactions: e2n
Saanane ni kichwa yule. A very intellectual dude. Am certainly sure yupo somewhere,abroad.
Ben Saanane alimtorosha kwenda Netherlands, binti mmoja mnyarwanda, aliyekuwa amewekewa mitego ya kutosha na Paul Kagame, kwa sababu ya kuwa critic wake. Binti yule akiwa angani ndani ya Emirates ndo Mashushushu wakajua,, kazi ya Ben hiyo!!
So, Ben alijua anytime atadakwa, in the height of the campaign of Fake PhD ya Magu.
Hilo ndilo lililo fanya Ben atoweke maana lilikuwa ni Dai kubwa na lingeshusha sifa na heshima ya JOM na UDSM bia.....nadhani USA thru CIA Fact book wataona Phd ya JPM kwenye tovuti na majarida yao
 
Unauliza swali gani kwa mbowe? Swali hilo unatakiwa umuilize Majaliwa aliyeunda tume kwa raslimali za taifa kwa ajili ya kumtafuta mnyama ,Faru na sasa amekaa kimya juu ya suala la saanane bila kujali kuwa saanane ni kijana aliyekuwa nguvu kazi ya taifa hili na anathamani kubwa sana kuliko Faru John.
 
Jamani hii TISS ni kitu gani?

TISS ni Mungu wa nchi, huyo ndiye anaye jua muda wetu wa kulala na kuamka.
Bila huyo, kila kitu kitasimama na nchi itazima.

Kwa hiyo, endelea kumwaomba kila siku kwa sala , swala au matambiko ili aendelee kutulinda maovu yasitupate kama Taifa kwa ujumla.

Naamini muuliza swali, umeelewa!!
 
Mbowe anakatisha tamaa wanachama wake. Ni mbinafsi sana. Purely capitalist behavior! Anakujali pale tu unapomtumikia. Lakini hiyo tabia ina repercussion yake. WATU HAWAWEZI KUWA LOYAL KWAKO. why should they be? You don't care about them, the are just NOTHING! ajue watu wanaakili na wana observe kila analofanya. Mi binafsi nafikiri ni muda wa Mbowe kukaa pembeni sasa.
 
Mbowe anakatisha tamaa wanachama wake. Ni mbinafsi sana. Pray capitalist behavior! Anakujali pale tu unapomtumikia. Lakini hiyo tabia ina repercussion yake. WATU HAWAWEZI KUWA LOYAL KWAKO. why should they be? You don't care about them, the are just NOTHING! ajue watu wanaakili na wana observe kila analofanya. Mi binafsi nafikiri ni muda wa Mbowe kukaa pembeni sasa.

Ndiyo maana sitakaa nikimbie barabarani, niandamane, nihudhurie mkutano wa mwanasiasa uwanjani kwa sababu ni wanafiki.

Wanasema, tukutane uwanjani la kutokea likitokea, hao wameisha toroshwa toka uwanjani tunabaki sisi na maabomu na virungu vya polisi.

Kisha , sisi jela bali wao kesi inaishia kwenye mapokezi ya kituo cha polisi.pale pale na siku iyo hiyo.

Siasa, ni lazima uwe mnafiki ndiyo uifaulu.
 
Huu uzi umenikumbusha CHACHA WANGWE.
 
Hivi utamlaumu Mbowe kwa kesi ya Mawazo?? Hivi kama Mahakamani hakuna haki unategemea Mbowe afanye je??Aongeze vijana kuuawa??

Hapa aliwakataza kuandamana na wamemteka Ben wangeandamana Policcm waliplan kuua wangapi??

Utu kwanza pesa baadaye
Hujui hata naongelea pesa katika content ipi! Nyie ndo mnaosababisha chadema tunaitwa manyumbu!
 
Sth tells me this dude knows where the boy is... !?¿
 
Mbowe anajua Ben alipo.

Anajua Aiseee, mbowe huwa ni mkali/ mfatiliaji mzuri Sana kwa issues zingine mbona hapa haoneshi dalili yoyote ya kumtafuta au kumrudisha!?

Amrudishe tu jamani, sisi hatutalalamika akimrudisha maana, tutashukuru kwa kumrudisha.
 
PhD ya Mkullu ni fake na yeye anajua hana PhD ndiyo sababu wamemteka Ben either wanamlazimisha kufuta kauli au wameamua kumuua sababu amekataa kutengua tafiti yake.

Vyote hivyo vina ukweli. Kama Mkullu PhD yake ingekuwa valid kulikuwa n sababu gani ya kupotea kwa Ben na alisema mwenye proof aweke hakuna aliyeweka.

Vyomba vya Usalama vina la kujibu kwenye hili.


Una uhakika hakufanya??Mbowe alisema,Lissu aliongea Bavicha walisema unataka waseme kwa kutumia nini??

Pamoja na kusema bado walipeleka kesi polisi,je polisi walifanya kazi yao??

Jibu ni hapana sababu walijua Ben yupo kwao kwa order ya Mkullu.

Unajingine??


Kama Mbowe angekuwa ana miliki vyombo vya dola ningemlaumu sana

Ila wanaomiliki vyombo vya dola ndiye waliyemteka Ben period.

Na wanajua walipomuweka kama kumuua au yuko hai Polisi na vyombo vya dola na mabosi wake wanajua hilo.

Hili ni pamoja na Bashite na wale Green guard waliowekwa kule kwenye taasisi nyeti

Nikujibu kwa ujumla hoja zako hizo zenye mlengo wa kumtetea Mbowe, mtu anayeonesha na kujipambanua kuwa hana sifa yoyote ya kuwa kiongozi.

Kama anaweza kuhamasisha maandamano na mikutano ya hadhara, kwa jina la UKUTA, na ni kiongozi wa Kambi ya Upinzani bungeni, asiwe na kiasi japo kidogo cha uchungu wa kumtafuta msaidizi wake? Unataka tuamini porojo zako hizo!!
 
wengi washabiki na wenye mahaba na Mbowe mnaweza kutetea hili, kwa sababu hamna aibu na hamjielewi

Mbowe angepaza sauti, angelia usiku na mchana...kumpata msaidizi wake, mwanachama wake kabisa

Tuacheni story
Huyu saa8 alipotea tangu wakati gani hadi sasa? Hivi wakati ule wanaenda kuhutubia bunge la EU au wakati wanaenda Ghana Kumwapisha Rais alikuwa ameishapotea au amepotea sambamba na Roma Mkatoliki?
 
Aya ya pili ya Posti hii umesheni utashi wa ajabu kabisa kuwahi kuushuhudia . So, ni sahihi Serikali kutia mkazo wa kumtafuta FJ kuliko Mtanzania? Bado hupati picha nani kajitwaalia huyo Ben?
 
ni jambo la ajabu sana bosi kutojali hatma ya msaidizi wake binafsi.

....Ni kweli aiseee yaaani ni kama ambavyo kada maarufu, nguli na aliyekuwa waziri alivyoshukiwa kama kipanga kwa kumgusa tuu jamaa mmoja kutoka Koromije....
 
Back
Top Bottom