Saanane ni kichwa yule. A very intellectual dude. Am certainly sure yupo somewhere,abroad.
Ben Saanane alimtorosha kwenda Netherlands, binti mmoja mnyarwanda, aliyekuwa amewekewa mitego ya kutosha na Paul Kagame, kwa sababu ya kuwa critic wake. Binti yule akiwa angani ndani ya Emirates ndo Mashushushu wakajua,, kazi ya Ben hiyo!!
So, Ben alijua anytime atadakwa, in the height of the campaign of Fake PhD ya Magu.
Who is "Mushumbushi"?Muulize Mushumbushi, PhD ya Magu haina tatizo lolote, ilibidi awazuge maadui zake wa ndani, wote walikuwa katika seek and hide game. Kama alifanikiwa basi ametoroka, kama hakufanikiwa he is in for it. Mtuhuru anafahamu I bet
Huwa najaribu kumwangalia sana huyu mzee wangu hasa kuhusu kupotea kwa ndugu na mdogo wangu Ben Saanane, jamaa hua reaction yake ni ndogo mno isiyofanana na wadhifa wake pamoja na kazi aliyokua akiifanya Saanane kwenye ofisi yake.Ndio maana ubaridi wa Mbowe juu ya hili suala linawapa wapinzani wake midomo ya kusema wajuayo, hili halina ubishi kabisa.
Kama waziri mkuu alilivalia njuga suala la kupotea kwa Faru John na ukweli ukajulikana,Mh mbowe anashindwaje kutenga rasirimali za kutosha kutoka chama kuhakikisha ukweli juu ya huyu mtu unajulikana? ,na Mh Mbowe anashindwaje kuongoza wenzake ndani ya chama chake kwa namna yeyote kujua alipo mdogo wangu Ben ima awe hai au vinginevyo.Mbowe napata shaka sana nae juu ya hili suala,anajua nini? au nawe ni mojawao?
Kuna mzee mmoja ni mtu mzima kabisa,niliwahi kumsikia akisema kua Mbowe nae ni mwana-system, tena alidai kua Mbowe yumo tokea enzi za mwalimu.Sitaki kuhoji juu ya hilo maana hata Mh Mrema nae alisemwa hivyo hivyo lakini hivi sasa tunaona anavyolelewa.
Kilicho kikubwa hapa ni kuusema ukweli wa yasikikayo kwenye jamii na hisia za wanajamii kwa ujumla, kama haya mambo yana elements za ukweli basi Upinzani nchi haipo. Ndio maana kulipotokea mabadiliko na hali ya hewa na upepo wake kutaka kubadili uekekeo kuna watu waliingia mitini na wengine wakakimbilia kujiuzulu. Haya ndio majibu ya kwanini upinzani umefikia hapa ulipo.
Muulize Mushumbushi, PhD ya Magu haina tatizo lolote, ilibidi awazuge maadui zake wa ndani, wote walikuwa katika seek and hide game. Kama alifanikiwa basi ametoroka, kama hakufanikiwa he is in for it. Mtuhuru anafahamu I bet
wengi washabiki na wenye mahaba na Mbowe mnaweza kutetea hili, kwa sababu hamna aibu na hamjielewi
Mbowe angepaza sauti, angelia usiku na mchana...kumpata msaidizi wake, mwanachama wake kabisa
Tuacheni story
Wewe unamjua Mbowe au humjui. hana muda huo wa kupoteza
Huwa najaribu kumwangalia sana huyu mzee wangu hasa kuhusu kupotea kwa ndugu na mdogo wangu Ben Saanane, jamaa hua reaction yake ni ndogo mno isiyofanana na wadhifa wake pamoja na kazi aliyokua akiifanya Saanane kwenye ofisi yake.Ndio maana ubaridi wa Mbowe juu ya hili suala linawapa wapinzani wake midomo ya kusema wajuayo, hili halina ubishi kabisa.
Kama waziri mkuu alilivalia njuga suala la kupotea kwa Faru John na ukweli ukajulikana,Mh mbowe anashindwaje kutenga rasirimali za kutosha kutoka chama kuhakikisha ukweli juu ya huyu mtu unajulikana? ,na Mh Mbowe anashindwaje kuongoza wenzake ndani ya chama chake kwa namna yeyote kujua alipo mdogo wangu Ben ima awe hai au vinginevyo.Mbowe napata shaka sana nae juu ya hili suala,anajua nini? au nawe ni mojawao?
Kuna mzee mmoja ni mtu mzima kabisa,niliwahi kumsikia akisema kua Mbowe nae ni mwana-system, tena alidai kua Mbowe yumo tokea enzi za mwalimu.Sitaki kuhoji juu ya hilo maana hata Mh Mrema nae alisemwa hivyo hivyo lakini hivi sasa tunaona anavyolelewa.
Kilicho kikubwa hapa ni kuusema ukweli wa yasikikayo kwenye jamii na hisia za wanajamii kwa ujumla, kama haya mambo yana elements za ukweli basi Upinzani nchi haipo. Ndio maana kulipotokea mabadiliko na hali ya hewa na upepo wake kutaka kubadili uekekeo kuna watu waliingia mitini na wengine wakakimbilia kujiuzulu. Haya ndio majibu ya kwanini upinzani umefikia hapa ulipo.
kipindi hicho bosi wa BOT alikua mkwe na mmiliki mwenza wa project ya ufipani.Uwezekano ni mkubwa kuwa yuko TISS, ndiyo maana akawa BOT kama mfanyakazi miaka hiyooooo kabla labda hata hujazaliwa yeye mbowe alisha fanya kazi BOT.
Na kipindi hicho cha Mwl. JK 1 ilikuwa shughuli kweli kweli kuhusu wafanyakazi wa idara hizo nyeti kama fedha na wizara zote na kumbuka Baba yake na huyo jamaa (Mbowe) alikuwa ccm siyo damu tu bali hadi machozi.
Sasa, kuhusu B8 , CDM wanajua alipo maana , siyo rahisi wote wale wakae kimya, eti hadi ZZK aje kupiga kelele japo nimeona tuhuma humu JF kuwa B8 alitaka kumpa sumu ZZK, lakini walinzi shirikishi wa ZZK wakamshinda B8,
Walinzi hao wasioonekana kwa macho wala kwa sayansi ya mzungu, isipokuwa kwa kutumia ulinzi mwingine shirikishi.
Kwa hiyo, pana uwezekano wa ZZK akawa amemficha kwa kutumia ulinzi wake shirikishi nani ajuaye??
Nchi hii sarakasi na mazigaombwe ni mengi sana katika siasa zetu, yaani hakuna wa kumuamini kuwa atatuvusha salama bila usela fulani.
Binafsi, nishie hapa; wengine waseme nao.
Mbowe kwa kweli anajua ukweli katika ili, kwa nini halizingumziii ata kidogo
kipindi hicho bosi wa BOT alikua mkwe na mmiliki mwenza wa project ya ufipani.
Watoto wa mkulu wako kazini,big up!
Huwa najaribu kumwangalia sana huyu mzee wangu hasa kuhusu kupotea kwa ndugu na mdogo wangu Ben Saanane, jamaa hua reaction yake ni ndogo mno isiyofanana na wadhifa wake pamoja na kazi aliyokua akiifanya Saanane kwenye ofisi yake.Ndio maana ubaridi wa Mbowe juu ya hili suala linawapa wapinzani wake midomo ya kusema wajuayo, hili halina ubishi kabisa.
Kama waziri mkuu alilivalia njuga suala la kupotea kwa Faru John na ukweli ukajulikana,Mh mbowe anashindwaje kutenga rasirimali za kutosha kutoka chama kuhakikisha ukweli juu ya huyu mtu unajulikana? ,na Mh Mbowe anashindwaje kuongoza wenzake ndani ya chama chake kwa namna yeyote kujua alipo mdogo wangu Ben ima awe hai au vinginevyo.Mbowe napata shaka sana nae juu ya hili suala,anajua nini? au nawe ni mojawao?
Kuna mzee mmoja ni mtu mzima kabisa,niliwahi kumsikia akisema kua Mbowe nae ni mwana-system, tena alidai kua Mbowe yumo tokea enzi za mwalimu.Sitaki kuhoji juu ya hilo maana hata Mh Mrema nae alisemwa hivyo hivyo lakini hivi sasa tunaona anavyolelewa.
Kilicho kikubwa hapa ni kuusema ukweli wa yasikikayo kwenye jamii na hisia za wanajamii kwa ujumla, kama haya mambo yana elements za ukweli basi Upinzani nchi haipo. Ndio maana kulipotokea mabadiliko na hali ya hewa na upepo wake kutaka kubadili uekekeo kuna watu waliingia mitini na wengine wakakimbilia kujiuzulu. Haya ndio majibu ya kwanini upinzani umefikia hapa ulipo.
mbowe ni red guard
Mbowe anaweza asiwe TISS ila ninachojua na hata kwa uhakika wa ' Kinadharia ' tu ni kwamba karibia 95% ya Viongozi wa Vyama vya Upinzani nchini Tanzania ni Pro - CCM.
Ukiwa na pesa unaweza nunua information kutoka kwa yoyote! Baada ya hapo unazifanyia kazi.Rasilimali za kiusalama ni pamoja na vyombo vya dola.mtu atafutwi kwa hela