Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,214
- 42,087
Wasalaam!
Jambo ambalo nimekuwa nikijiuliza baada ya serikali kuweka wazi kuwa haito endelea na case ya Mbowe na wenzake ambo walikuwa na tuhuma za ugaidi. Mbowe na wenzake wanayo haki ya kudai fidia au kudai fidia ya gharama za case hiyo iliyochukua siku zaidi ya miambili!
Mh Mbowe amenukuliwa akisema alitamani kuona case hii inaendelea hadi mwisho ili dunia ijue ukweli kuliko ilivyofutwa!
Mbowe na Wenzake wana haki ya kusamehe kama walivyofanya!
Lakini najiuliza ikiwa wakiamua kudai fidia ya gharama za case na muda waliopotezewa bila kusahau madhira waliopata wanayo haki kisheria kudai fidia kwa case iliyoondolewa na wanao shitaki?
Jambo ambalo nimekuwa nikijiuliza baada ya serikali kuweka wazi kuwa haito endelea na case ya Mbowe na wenzake ambo walikuwa na tuhuma za ugaidi. Mbowe na wenzake wanayo haki ya kudai fidia au kudai fidia ya gharama za case hiyo iliyochukua siku zaidi ya miambili!
Mh Mbowe amenukuliwa akisema alitamani kuona case hii inaendelea hadi mwisho ili dunia ijue ukweli kuliko ilivyofutwa!
Mbowe na Wenzake wana haki ya kusamehe kama walivyofanya!
Lakini najiuliza ikiwa wakiamua kudai fidia ya gharama za case na muda waliopotezewa bila kusahau madhira waliopata wanayo haki kisheria kudai fidia kwa case iliyoondolewa na wanao shitaki?