Mlima simba
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 3,707
- 6,628
Naunga mkono hoja
Mbona ccm iliyokaa madarakani miaka 58 ikiamua hatima ya maisha yenu na watoto wenu hamuiambii mmeichoka? nadhani watanzania tunshida kubwaMimi ni mfuasi wa mageuzi ndani ya nchi hii ila niseme ukweli wa principle ya dictetor yeyeto, watu wanao mzunguka huwa hawamwambii ukweli na uwa wanamkimbia pale maji yakiwa shingoni hivyo natoa ushauri sio tu kwa Mbowe, Watu wote wenye mamlaka ya kiuongozi jaribuni kuwa mnatoka na kwenda kusikiliza Umma unataka nini juu ya uongozi wenu.
Ndicho kinachofanyika kwa Mbowe watu walio karibu yako wanakupaka mafuta kwa mgongo wa chupa ila ukweli wanaujua wewe umechoka hauna tena jipya ndani ya chama wao wanakushauri upuuzi ili waendelee kula ruzuku sasa subiri 2020 ruzuku ikipungua jinsi watakavyokubadilikia.
Mbowe Jiangalie Ondoka kwa heshima kama kweli CHADEMA ni taasisi ni hayo tu toka nenda mtaani sikiliza watu halisi sio wapambe.
Naunga mkono hojaWewe hujitambui una matatizo makubwa ya akili na unahitaji uangalizi mkubwa sana wa Dr ,eti umemchoka Mbowe na unataka eti apumzike.
Mbowe ana impact gani na maisha yako na ndugu zako?
Unamchoka mwenyekiti wa Chama cha siasa kilichojaa misukosuko kibao ya kuandamwa na dola unaacha kumchoka Magufuli aliyesababisha vilio kwa mamilioni ya watanzania?
Wewe una roho ya kichawi kabisa,kama umemchoka nenda kapige kura ya kumkataa kuliko kuja na hoja za kichawi hapa.
Technically.Mimi ni mfuasi wa mageuzi ndani ya nchi hii ila niseme ukweli wa principle ya dictetor yeyeto, watu wanao mzunguka huwa hawamwambii ukweli na uwa wanamkimbia pale maji yakiwa shingoni hivyo natoa ushauri sio tu kwa Mbowe, Watu wote wenye mamlaka ya kiuongozi jaribuni kuwa mnatoka na kwenda kusikiliza Umma unataka nini juu ya uongozi wenu.
Ndicho kinachofanyika kwa Mbowe watu walio karibu yako wanakupaka mafuta kwa mgongo wa chupa ila ukweli wanaujua wewe umechoka hauna tena jipya ndani ya chama wao wanakushauri upuuzi ili waendelee kula ruzuku sasa subiri 2020 ruzuku ikipungua jinsi watakavyokubadilikia.
Mbowe Jiangalie ondoka kwa heshima kama kweli CHADEMA ni taasisi toka nenda mtaani sikiliza watu halisi wapenda mabadiliko ya kweli sio wapambe.
Ndio hapo tunapoona kuwa CCM ni chama kilichojichokea kuongoza. Haiwezekani chama makini kiwe na Rais asiye heshimu Sera na ilani yake kama Magu afanyavyo!
Chadema ingeweza kumdhibiti mgombea wake kufuata na kuheshimu sheria na katiba.
Bora umenisaidia kusema. Ni kweli Mbowe kafanya mazuri na kakifikisha chama pazuri. Pia amekaa madarakani muda mrefu wa kutosha, ni vyema akipisha wengine wasogeze chama mbele. Uzoefu unaonyesha kiongozi mzuri huwa ni miaka 10 mwisho, ikizidi sana 15. Ikipita hapo, hata yale mazuri yake huanza kuyaharibu.
Tujenge utamaduni wa kupokezana vijiti ili kuleta mawazo na hamasa mpya kila wakati. Msimamo wangu huu ni dhabiti na ninaweza kuutetea bila kumhofia mtu yoyote. Huu sio muda wa Mbowe kuendelea tena kuwa mwenyekiti wa cdm kwa Utetezi wowote ule.
Hoja yako ni ipi hapa? Iweke dhahiri.Kwenye udikiteita wa Jiwe Mbowe akiondoka, CDM imekufa! labda kama unataka ife!
Mbona umetumia ID mpya?mwaka 1995 kura ya NCCR Mageuzi
mwaka 2000 CHADEMA
Mwaka 2005 Chadema
2010 chadema
2015 Nilipigia kura yangu ya kwanza kwa MAGUFULI
NAJIPONGEZA SANA KUMPA MTU SAHIHI KURA YANGU. Mabadiliko ni ya muhimu mahali popote pale.
Mkuu kama yote hayo amepitia na bado anapambana tuambie nani huko anafaa ambaye akipitia katika tanuru hilo hata hamia huku mtaa wa 2.?Ni kipi ambacho Mbowe anazuia sasa hivi akiwa mwenyekiti? Kama ni uhanga yeye ni muhanga namba moja wa udictator wa Magufuli. Miradi yake mingi imehujumiwa tena kwa sababu zilizo wazi za kisiasa. Kesi anazo za kubambikiwa na huenda akafungwa, alikaa ndani siku 90 tena kwa amri toka juu na hakuna chochote alichofanya.
Kama ni haiba ya chama inazidi kuharibiwa huku yeye akiwa mwenyekiti, viongozi mbalimbali wanahongwa na kuhamia ccm, mikutano na kazi za kisiasa zilizopo kisheria Magufuli kazizuia na Mbowe katii bila hata kwenda mahakamani kupata uamuzi wa kisheria. Kampokea Lowassa na kumpa cheo adhimu cha kugombea urais, hivi leo karudi ccm baada ya kuitumia cdm kama kondomu, mwenyekiti madhubuti hawezi kuokoteza mgombea urais kwa njia ya mwendo kasi. Sasa kwa mazingira hayo na muda aliokaa madarakani aendelee kuwa mwenyekiti ili iwe nini kwa mfano?
Kuna uzi hapa uliwekwa kuwa Heche anaenda kuwa katibu wa chama. Nadhani huko kutakuwa kutamu zaidi kuliko yeye kuwa mwenyekiti.Huu ni msimamo wa watu wote wenye akili timamu, achana na wale ccm njaa.
Ni heshima kubwa Mbowe akikaa pembeni sasa, Chadema ina watu wenye uwezo mkubwa wa kukiongoza chama katika zama hizi za kibabe.
Kama John Heche aliiongoza Bàvicha kwa mafanikio ni kwa nini hili kundi LA vijana wa hovyo lisimchukulie fomu John Heche?
Mkuu kama yote hayo amepitia na bado anapambana tuambie nani huko anafaa ambaye akipitia katika tanuru hilo hata hamia huku mtaa wa 2.?
Msije kuwa mnafanya uchaguzi kila mwaka wa mwenyekiti.
Mimi naomba mbowe aendelee mpaka muda wa magufuli uishe maana huyu jamaa kwa kupanda dau sidhani kama kuna mtu ata resist zaidi ya mbowe kisha onyesha hana bei
Rungu kichwani komredi kipepeWewe hujitambui una matatizo makubwa ya akili na unahitaji uangalizi mkubwa sana wa Dr ,eti umemchoka Mbowe na unataka eti apumzike.
Mbowe ana impact gani na maisha yako na ndugu zako?
Unamchoka mwenyekiti wa Chama cha siasa kilichojaa misukosuko kibao ya kuandamwa na dola unaacha kumchoka Magufuli aliyesababisha vilio kwa mamilioni ya watanzania?
Wewe una roho ya kichawi kabisa,kama umemchoka nenda kapige kura ya kumkataa kuliko kuja na hoja za kichawi hapa.
Kila heri huko. Sie tupo na mchakato wa kumsimika wetu adumu zaidi ya 2025.Kwani ni yeye tu anaweza kupitia hayo? Ni lazima anayekuja na yeye apitie mazingira yake? Mbona wako wapinzani wengi tu wanapitia hayo, au yeye ni special? Kaondoka Slaa na cdm bado ni hai, tujenge cdm imara kama taasisi, na sio viongozi ving'an'ganizi wa madaraka eti ni watu imara. Kama amekuwa mwenyekiti kwa miaka 15 bila kujenga taasisi imara bali kujigeuza yeye ndio imara, basi hicho sio chama bali kundi la marafiki walioko kwenye siasa. Cdm tujitahidi kuepuka siasa za mtu bali tujenge chama imara, kwani Mbowe anaweza kufa hata leo, je ikitokea hivyo ndio chama kitakufa, acheni mambo ya utetezi wa aibu.
Bora umenisaidia kusema. Ni kweli Mbowe kafanya mazuri na kakifikisha chama pazuri. Pia amekaa madarakani muda mrefu wa kutosha, ni vyema akipisha wengine wasogeze chama mbele. Uzoefu unaonyesha kiongozi mzuri huwa ni miaka 10 mwisho, ikizidi sana 15. Ikipita hapo, hata yale mazuri yake huanza kuyaharibu.
Tujenge utamaduni wa kupokezana vijiti ili kuleta mawazo na hamasa mpya kila wakati. Msimamo wangu huu ni dhabiti na ninaweza kuutetea bila kumhofia mtu yoyote. Huu sio muda wa Mbowe kuendelea tena kuwa mwenyekiti wa cdm kwa Utetezi wowote ule.