Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 33,782
- 40,553
Kwani kulikuwa na shimo mpaka wafunike? au kitobo?
Kweli tenda ya kuitangaza serengeti inalipa umenepa kama kitimoto. Hata mabox sasa hakuna kubeba
Kwani kulikuwa na shimo mpaka wafunike? au kitobo?
Nasikia anaishi kwa shemeji yake..! Yaani anaishi kwa jamaa aliyeoa dada yake.kwi kwi kwi kwi kwiiiiiiiiiiii..!
Matusi wanapost bavicha.
Kwani kulikuwa na shimo mpaka wafunike? au kitobo?
hahaha CDM hoyee daaah hao ni watu wa watu n ndio maana wakaenda kwa mashabiki big up makamanda.
Ok mimi nina virusi, kuna tatizo?
Au kwenu mtu akiwa na virusi vya ukimwi ni kosa la jinai?
UNAJUA KUNA WATU WANGAPI DUNIANI WANA VIRUSI? Hao wote umewakosea heshima ikiwa ni pamoja na viongozi wako wa Chadema
Wewe inaelekea una background mbovu sana na hata maisha yako inaelekea ni ya kuunga unga sana.
Kila ukiona comments zangu ni lazima unitukane, lakini angalia sasa usije ukawa unatukana mtu ambaye anaweza kuja kuwa mdhamini wako.
Natumia ID isiyo kificho na picha yangu umeiona, nakushauri kuanzia leo anza kunitafuta ili nikukwamue hapo ulipo
Sio matusi, lakini nadhani familia yako itafarijika sana ikisikia nakutafuta,
USIPENDE KUDHARAU MTU USIE MJUA KENGE WEEE!
Sijawahi kukasirika kuhusu box hata siku moja
BOX NDIO FANI YANGU
Ok mimi nina virusi, kuna tatizo?
Au kwenu mtu akiwa na virusi vya ukimwi ni kosa la jinai?
UNAJUA KUNA WATU WANGAPI DUNIANI WANA VIRUSI? Hao wote umewakosea heshima ikiwa ni pamoja na viongozi wako wa Chadema
Wewe inaelekea una background mbovu sana na hata maisha yako inaelekea ni ya kuunga unga sana.
Kila ukiona comments zangu ni lazima unitukane, lakini angalia sasa usije ukawa unatukana mtu ambaye anaweza kuja kuwa mdhamini wako.
Natumia ID isiyo kificho na picha yangu umeiona, nakushauri kuanzia leo anza kunitafuta ili nikukwamue hapo ulipo
Sio matusi, lakini nadhani familia yako itafarijika sana ikisikia nakutafuta,
USIPENDE KUDHARAU MTU USIE MJUA KENGE WEEE!
CCM mnaogopa hadi kivuli chenu
Ulishawahi kuona muuaji akawa mkombozi.
Amevurugwa na magamba.Hii jazba sio bure!
Angalia hapo ulipokaa waweza kukuta kitobo chako kimefunikwa..!
Kwani kulikuwa na shimo mpaka wafunike? au kitobo?
CHADEMA YATOSHA!!
CC 😡Cris Lukosi mla rambi rambi