Mbowe na Silinde wafunika sokoine Mbeya

Mbowe na Silinde wafunika sokoine Mbeya

Kwani kulikuwa na shimo mpaka wafunike? au kitobo?

Sokoine Mbowe.jpg Sokoine Mbowe.jpg

Kama ulikuwa hujui wewe kilaza amefunika namna hii.
 

Attachments

  • sokoine mb.jpg
    sokoine mb.jpg
    113.6 KB · Views: 514
Kwani kulikuwa na shimo mpaka wafunike? au kitobo?

Unga ni unga ila ukibwia ile nyeupe sana utakuwa unakurupuka tu. Kama huyu lemutuz ameshanganyikiwa cjui hata kama hizo dawa wanazompa zitamsaidia. Lemutuz mtafute riz1
 
Natumia ID isiyo kificho na picha yangu umeiona, nakushauri kuanzia leo anza kunitafuta ili nikukwamue hapo ulipo
Sio matusi, lakini nadhani familia yako itafarijika sana ikisikia nakutafuta,

USIPENDE KUDHARAU MTU USIE MJUA KENGE WEEE!
Naamini familia yake Baba V watawahi polisi wakisikia wewe Lukosi unamtafuta maana ukimpata tu Kucha na macho yake vitakuwa haatarini! maana nyie sio watu wazuri hata kidogo.
 
Loo huku kulalamika kweli leo mkuu umepatikana, ebu jaribu basi kujiheshimu acha kupost ujinga
Ok mimi nina virusi, kuna tatizo?

Au kwenu mtu akiwa na virusi vya ukimwi ni kosa la jinai?

UNAJUA KUNA WATU WANGAPI DUNIANI WANA VIRUSI? Hao wote umewakosea heshima ikiwa ni pamoja na viongozi wako wa Chadema

Wewe inaelekea una background mbovu sana na hata maisha yako inaelekea ni ya kuunga unga sana.

Kila ukiona comments zangu ni lazima unitukane, lakini angalia sasa usije ukawa unatukana mtu ambaye anaweza kuja kuwa mdhamini wako.

Natumia ID isiyo kificho na picha yangu umeiona, nakushauri kuanzia leo anza kunitafuta ili nikukwamue hapo ulipo
Sio matusi, lakini nadhani familia yako itafarijika sana ikisikia nakutafuta,

USIPENDE KUDHARAU MTU USIE MJUA KENGE WEEE!
 
habari wadau

wakati mechi kati ya mbeya city fc na jkt ruvu ikiendelea katika uwanja wa sokoine mbeya, ghafla ameingia mwenyekiti wa chadema taifa mh.freeman mbowe akiwa ameongozana na mh.silinde mbunge wa mbozi pamoja na viongozi wengine wa chadema,uwanja mzima umeripuka kwa furaha huku washabiki wakionyesha alama ya vidole viwili,

mh,mbowe pamoja na viongozi wenzake wamekaa jukwaa la maashabiki wa mbeya city fc....

My take:

Hakika chadema yatosha mbeya.

ni hivi , hawa cdm wana ile harufu ya ukombozi !
 
Hela ya ruzuku wanaitumia kuwapeleka BAVICHA kwenye mafunzo maalumu ya kuporomosha matusi.

Kumbe hayo matusi yako yaligharimiwa na chama chako? Bora imejitokeza hadharani.
 
iv hili jukwaa la siasa au matusi au jukwaa kati ya ccm na chadema..mnatusumbua sana na ma vyama yenu yasiyo na mbele wala nyuma#give us another round..bora kulipa kodi tu hapa
 
Dar walanguzi wamemaliza ticket za 5,000 na 7,000, labda ndio habari ya mjini sasa. Mnyama anapasuka tena ya Mbeya yamepita. Usumbufu wa kuingia uwanjani hata kama unaticket na VIP huitaji ticket FFU wanachukua mshiko tulidhani wanasiasa wangetusaidia HAPA na polisi wasipige mashabiki marungu kwa kisingizio cha kupambana na ugaidi.

Kesho iwe burudani zaidi.
 
Back
Top Bottom