Mbowe na Silinde wafunika sokoine Mbeya

Mbowe na Silinde wafunika sokoine Mbeya

1382267_581823541864963_447422786_n.jpg

1379792_581823601864957_1440250219_n.jpg
 
iv hili jukwaa la siasa au matusi au jukwaa kati ya ccm na chadema..mnatusumbua sana na ma vyama yenu yasiyo na mbele wala nyuma#give us another round..bora kulipa kodi tu hapa

Ni maoni yako mkuu...!
 
Dar walanguzi wamemaliza ticket za 5,000 na 7,000, labda ndio habari ya mjini sasa. Mnyama anapasuka tena ya Mbeya yamepita. Usumbufu wa kuingia uwanjani hata kama unaticket na VIP huitaji ticket FFU wanachukua mshiko tulidhani wanasiasa wangetusaidia HAPA na polisi wasipige mashabiki marungu kwa kisingizio cha kupambana na ugaidi.

Kesho iwe burudani zaidi.

Simba ni mshindi kama kawa..!
 
nihatari sana baba ziiimaaaa unakuwa na tabia za kike,hata haya huna!!! wivu utafikiri umeibiwa bwana.

Mkuu, huyu jamaa hajitambui....!
 
Chadema ni genge la wahuni

Bahati mbaya sana hata Mwenyekiti wenu anaujua uhuni wa CHADEMA. Na ndio maana kila GHADEMA ikinguruma, lazima aucheze musiki wake.

Alisha waambia mapema kwamba, mjiandae "KISAIKOLOJIA". Anajua kwamba T 2015 CDM, hakuna wa kuizuia licha ya mi-CCM kutandaza miba kila kukicha.
 
Back
Top Bottom