Bavicha siwawezi
![]()
Umeonaee!... Vitobo hivyo!..
Bavicha siwawezi
![]()
Ishu za lema na slaa hizo
Heheheheeee...!!! eti ni fani yake... na kukaa kwa mume wa dadaako ni nini!? kipaji au uvumilivu..!?
Matusi ya nini ndugu?
View attachment 117525
Kama na wewe upo katika ilo kundi la wanaoishabikia CCM kazi unayo maana haujakuwa Kiakili na Kimwili na bado kula kulala.
Ok mimi nina virusi, kuna tatizo?
Au kwenu mtu akiwa na virusi vya ukimwi ni kosa la jinai?
UNAJUA KUNA WATU WANGAPI DUNIANI WANA VIRUSI? Hao wote umewakosea heshima ikiwa ni pamoja na viongozi wako wa Chadema
Wewe inaelekea una background mbovu sana na hata maisha yako inaelekea ni ya kuunga unga sana.
Kila ukiona comments zangu ni lazima unitukane, lakini angalia sasa usije ukawa unatukana mtu ambaye anaweza kuja kuwa mdhamini wako.
Natumia ID isiyo kificho na picha yangu umeiona, nakushauri kuanzia leo anza kunitafuta ili nikukwamue hapo ulipo
Sio matusi, lakini nadhani familia yako itafarijika sana ikisikia nakutafuta,
USIPENDE KUDHARAU MTU USIE MJUA KENGE WEEE!
View attachment 117525
Kama na wewe upo katika ilo kundi la wanaoishabikia CCM kazi unayo maana haujakuwa Kiakili na Kimwili na bado kula kulala.
Chadema ni genge la wahuni
Wewe ndo kenge kweli...! kwa akili yako fupi virusi unavyovijua wewe ni vya ukimwi tu..!? afu eti huwa nakutukana.... huwa nakujibu upuuzi unaoandika... Na anza kwanza kwa kujikwamua wewe utoke kwa shemeji yako ujitegemee, kisha mkwamue baba yako uliyemtelekeza at that age.... then ndo uendelee kuota ndoto zako za kuwa eti unaweza kuwa msaada kwangu njegele wewe...!
Chadema ni genge la wahuni
Huyu mtu ana upeo wa kufikiri wa Kiccm..! Hajui kuwa hata CCM ni kirusi..!
Tumia verified user ID halafu ndio tulumbaneWewe ndo kenge kweli...! kwa akili yako fupi virusi unavyovijua wewe ni vya ukimwi tu..!? afu eti huwa nakutukana.... huwa nakujibu upuuzi unaoandika... Na anza kwanza kwa kujikwamua wewe utoke kwa shemeji yako ujitegemee, kisha mkwamue baba yako uliyemtelekeza at that age.... then ndo uendelee kuota ndoto zako za kuwa eti unaweza kuwa msaada kwangu njegele wewe...!
Tumia verified user ID halafu ndio tulumbane
Kwani kulikuwa na shimo mpaka wafunike? au kitobo?
Domy...HESHIMA KWAKO!!!
Nimesign-in kwa kazi moja tu...KUKUGONGEA "LIKE"
Umempatia jibu sahihi CHRIS LUKOSI mpaka mwenyewe amenyoosha bendera na kujisalimisha ...you made my day!!!
Umekosea kitu kimoja tu...umemshtua sasa anaweza akaondoa kizibo kwenye KITOBO...anyway nafikiri hataondoa kwa maana hulka yake inaonyesha ni mtu anayefurahia sana kuzibwa kitobo!!!