Mbowe na ruzuku ya CHADEMA

Mbowe na ruzuku ya CHADEMA

Tunataka mchanganuo wa ccm hapa. Wao hela ya biashara zote zinatumikaje?
Mbona Bashiru aliyefanya audit wamemhonga kwa kumpa cheo ili afunge mdomo????
Hapo hakuna conflict of interest. Mtu anafanya tathmini ya biashara zako na kugundua madudu na mara anapewa cheo ili kumfunga mdomo!
Ccm ni balaa!
 
Hiyo yote ni set up ya ccm. Kila moja anatokaje leo kwa nini asitoke wakati wa JK kwa sababu hizo hizo. Tunaulizia ruzuku ya less than 300m kwa mwezi tunaacha kuuliza uwizi mkubwa unaoendelea katika ccm including nyumba za uma, bus stands, mabango, viwanja vya mpira and all shenanigans??? Rubbish!
Mbowe haondoki!!!
Tunajuashida tenu ni Mbiwe kuwa mwenyekiti wa chadema. Poleni!
 
Ni siasa rahisi sana Kumtuhumu Mbowe kwamba anahujumu ruzuku ya CHADEMA, wajinga tu (ambao wengi ni CCM) ndo hutumia siasa ya namna hii wakiamini ndo itaimaliza CHADEMA na kufanya CCM ionekane bora,

Cha kushangaza zaidi unakuta anaesimamia hiyo hoja ni kijana anaedai kwamba ana elimu ya shahada na kuendelea, wengine ni wazee kabisa mfano POLEPOLE.
Point of correction.... Polepole sio Mzee ana miaka 17 tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumekuwa na maneno mengi na tuhuma mbalimbali zinazoelekezwa kwa Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Mheshimiwa Freeman Aikael Mbowe kuwa anatafuna pesa za Ruzuku za chama,

Tuhuma hizo zimekuwa zikiendelea kila mara na sasa zikichagizwa zaidi na wanaohama kutoka Chadema kwenda kwenye vyama vingine hususani Ccm,

Yafuatayo ni matokeo ya Utafiti;

*NAMNA FEDHA INAVYOTOKA SERIKALINI MPAKA KUFIKA KWENYE AKAUNTI YA CHADEMA*

Serikali hutoa ruzuku kwa Chadema kila mwezi,

Fedha ikitoka Hazina (Serikalini) hupelekwa kwa Msajili wa Vyama vya Siasa,

Msajili huiingiza pesa hiyo kwenye Akaunti ya Bodi ya Wadhamini wa Chadema (Board of Trustee Bank Account),

Bodi ya Wadhamini wa Chadema ndio hupeleka pesa hiyo kwenye Akaunti ya Chama tayari kwa matumizi. Pesa haiingizwi kwenye Akaunti binafsi ya kiongozi yeyote wa Chadema wala mwanachama wa Chadema. Huingizwa kwenye akaunti ya chama,

*NAMNA PESA INAVYOTOKA KWENYE AKAUNTI YA CHADEMA*

Wapo Watia Saini Wanne (4 Signatories) kwenye Akaunti ya Chadema Taifa. Ambapo watu wawili kati ya hao Wanne wanaruhusiwa kusaini Hundi (cheque) kwa ajili ya kufanya Malipo,

Watu hao kwa nafasi zao ni;
i) Mwenyekiti wa Chadema Taifa
ii) Katibu Mkuu wa Chadema Taifa
iii) Naibu Katibu Mkuu Tanzania Bara
iv) Mkurugenzi wa Fedha

Pesa yoyote haiwezi kutoka kwenye Akaunti ya Chadema mpaka Wawili kati ya hao wanne Watie Saini,

*WAKATI GANI PESA INATOKA KWENYE AKAUNTI*

Pesa yeyote ya Chadema haiwezi kutoka kwenye akaunti kama haijathibitishwa na Kamati Kuu,

Kamati Kuu ya Chadema tayari ilishaidhinisha matumizi ya kila mwezi ya chama (Normal Operation expenditures),

Lakini kama kuna matumizi mengine ya ziada ama dharura (mfano Uchaguzi wa marudio, kesi, matibabu), lazima Kamati Kuu ya Chadema ikae, ipime umuhimu wa kufanya matumizi ndio iidhinishe au ikatae matumizi hayo,

Sio Mbowe aidhinishe, sio Mashinji aidhinishe wala yeyote yule. Ni Kamati Kuu.

*CHADEMA INAPELEKA WAPI FEDHA YA RUZUKU WANAZOPATA KILA MWEZI*

i) Zipo fedha ambazo hutumika Makao Makuu kulipa Mishahara na Posho,

Chadema inao wafanyakazi kati ya 60 hadi 70 ambao wapo Makao Makuu ama hulipwa moja kwa moja toka Makao Makuu kuanzia nafasi za Wahudumu wa ofisi, Walinzi mpaka Mwenyekiti wa Taifa,

Mwenyekiti wa Taifa na wafanyakazi wengine walioko Makao Makuu ambao ni wanufaika wa Serikali (yaani wanaolipwa mishahara kutoka Serikalini), hawalipwi mishahara na Chadema,

Freeman Mbowe _(Mwenyekiti wa Chadema Taifa na Mbunge wa Hai)_, John Mnyika _(Naibu Katibu Mkuu - Bara na Mbunge wa Kibamba)_, hawa wawili ni mfano wa wasiolipwa mishahara kwa sababu ni wanufaika wa Serikali. Badala yake hulipwa posho pale wanapotumwa na chama kwenda kufanya shughuli maalum mikoani au nje ya nchi,

ii) Fedha nyingine hupelekwa kwenye Ofisi 10 za Kanda (Kanda Mbili zipo Tanzania Visiwani na Kanda 8 zipo Tanzania Bara)

Fedha hizo kwenye Kanda hutumika kulipa Mishahara ya Wafanyakazi, Posho na Ruzuku kwenye Majimbo yote 264 ya Uchaguzi,

iii) Kuna fedha hutumika kushughulikia kesi mbalimbali za Viongozi na Wanachama wa Chadema. Fedha hizo hutumika kuwasafirisha Mawakili na kuwalipa Posho.

iv) Matumizi ya dharura ambayo hayaepukiki. Mfano Chaguzi za Marudio za Ubunge (ambazo hugharimu kati ya Milioni 100 hadi 120), chaguzi za Madiwani, gharama za Matibabu na Vifaa vya Uenezi wa Chama.

Kwa kuangali mchanganuo huo hapo juu, utaona kabisa Ruzuku ya Milioni 236 wanayopata Chadema kwa mwezi, haitoshi kwa matumizi yote ya Chama kwa mwezi.

Kitendo cha kumtuhumu Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe ama kiongozi mwingine yeyote kuwa anakula fedha za Ruzuku, itabaki kuwa ni propaganda za kisiasa ambazo hazina ukweli wowote,

Na ikumbukwe, hakuna kiongozi yeyote anayeweza kutoa pesa ya ruzuku kutoka kwenye akaunti ya chama mpaka watia saini wawili wasaini hundi ndipo pesa itoke,

Mbowe anakulaje fedha ya ruzuku ya chama???

*Utafiti hupingwa kwa Utafiti. Nasubiri utafiti utakaoupinga utafiti huu.*

Asanteni
Mwache Mbowe ajisemee mwenyewe.
Rukuzu ni shidaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maajabu kweli. Anaelalamika Mbowe anakula ruzuku ni Kapuku wa CCM. Amejuaje? Inamuuma nini? Kwanini wanataka Mbowe aondoke ili fedha za Chadema zisiliwe? Kwa wema upi walionao kwa Chadema?

Vulture mwebye huruma kwa zebra aliyejeruhiwa na tembo. Vulture anataka tembo amuache zebra apone asife ili aende zake.

Babaaaaaakooooo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo la Chadema ni Moja tu, kuhisi wananchi ni Mazuzu, ya kwamba tutawapenda hata kwenye ujinga. Chadema imewadissapoint sana wananchi, kwa sasa hakuna mwananchi ambaye hata kwa kuchochewa ataingia barabarani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo la Chadema ni Moja tu, kuhisi wananchi ni Mazuzu, ya kwamba tutawapenda hata kwenye ujinga. Chadema imewadissapoint sana wananchi, kwa sasa hakuna mwananchi ambaye hata kwa kuchochewa ataingia barabarani

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama unaona chadema imewa dissapoint wananchi, ccm ambayo iko madarakani toka uhuru lakini wananchi walio wengi bado masikini wa kufa mtu tusemeje? Si ndo uzuzu wenyewe huo wa kupindukia?

Ujinga mwingine huu umeropoka. Usitumie hisia.

Usikubali kudanganywa kama mwanamke malaya mwenye shida lukuki bila kuchanganya na zako!

Nchi itabakia kwenye maktaimu kwa akili kama zako.
 
Tujitaidi upande wa pili maana hali mbaya sana...1.5Trillion tumeping na hatujui hizo wanazokusanya maana siku hizi zinaenda kwa mkuu.
Unapunguza jumla ni 2.5Trillion toka ameingia Ikulu, ndio zimepotea, alianza na 1.0 Trillion mwaka unafuata anachota tena 1.5 Trillion
 
Mleta mada mwongo kwanza hajui idadi ya wafanyakazi wa makao makuu anasema wako kati ya 60 au 70!!!!! halafu wote tunajua ofisi ya makao makuu ya chadema pale waweza kaa ofisini watu 60 au 70 kwenye kale kajumba ? Uongo mtupu.Aweke majina ya hao wafanyakazi Na kazi zao.Kile kiofisi huwezi weka wafanyakazi 60 au 70.uongo.Wezi wa ruzuku nyie.M Mbowe akiondoka madudu mengi yatagundulika

Huyu anajifanya mtafiti huku akificha baadhi ya takwimu muhimu. Ilichotaja ni kisasi gani cha ruzuku, wafanyakazi hewa waliopo makao makuu na ofisi za chama hizo. Kama kweli amefanya utafiti, angebainisha matumizi ya fedha kwa mwezi, kuwa mishahara ni kiasi gani, zinazokwenda kwenye ofisi kiasi gani, nk. Analeta hoja za uchaguzi ambazo hazina mashiko. Chaguzi ngapi zimefanyika tangu 2015 baada ya uchaguzi mkuu, na kiasi gani cha fedha kimetumika? Wewe unaonekana unatumia vibaya neno utafiti. Nenda ukajielimishe juu ya neno utafiti. Usimtetee mwizi, au ndo kama mnavyo mpamba Lowassa kuwa siyo fisadi, baada ya kumwita fisadi namba moja akiwa ccm?
 
Kumekuwa na maneno mengi na tuhuma mbalimbali zinazoelekezwa kwa Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Mheshimiwa Freeman Aikael Mbowe kuwa anatafuna pesa za Ruzuku za chama,

Tuhuma hizo zimekuwa zikiendelea kila mara na sasa zikichagizwa zaidi na wanaohama kutoka Chadema kwenda kwenye vyama vingine hususani Ccm,

Yafuatayo ni matokeo ya Utafiti;

*NAMNA FEDHA INAVYOTOKA SERIKALINI MPAKA KUFIKA KWENYE AKAUNTI YA CHADEMA*

Serikali hutoa ruzuku kwa Chadema kila mwezi,

Fedha ikitoka Hazina (Serikalini) hupelekwa kwa Msajili wa Vyama vya Siasa,

Msajili huiingiza pesa hiyo kwenye Akaunti ya Bodi ya Wadhamini wa Chadema (Board of Trustee Bank Account),

Bodi ya Wadhamini wa Chadema ndio hupeleka pesa hiyo kwenye Akaunti ya Chama tayari kwa matumizi. Pesa haiingizwi kwenye Akaunti binafsi ya kiongozi yeyote wa Chadema wala mwanachama wa Chadema. Huingizwa kwenye akaunti ya chama,

*NAMNA PESA INAVYOTOKA KWENYE AKAUNTI YA CHADEMA*

Wapo Watia Saini Wanne (4 Signatories) kwenye Akaunti ya Chadema Taifa. Ambapo watu wawili kati ya hao Wanne wanaruhusiwa kusaini Hundi (cheque) kwa ajili ya kufanya Malipo,

Watu hao kwa nafasi zao ni;
i) Mwenyekiti wa Chadema Taifa
ii) Katibu Mkuu wa Chadema Taifa
iii) Naibu Katibu Mkuu Tanzania Bara
iv) Mkurugenzi wa Fedha

Pesa yoyote haiwezi kutoka kwenye Akaunti ya Chadema mpaka Wawili kati ya hao wanne Watie Saini,

*WAKATI GANI PESA INATOKA KWENYE AKAUNTI*

Pesa yeyote ya Chadema haiwezi kutoka kwenye akaunti kama haijathibitishwa na Kamati Kuu,

Kamati Kuu ya Chadema tayari ilishaidhinisha matumizi ya kila mwezi ya chama (Normal Operation expenditures),

Lakini kama kuna matumizi mengine ya ziada ama dharura (mfano Uchaguzi wa marudio, kesi, matibabu), lazima Kamati Kuu ya Chadema ikae, ipime umuhimu wa kufanya matumizi ndio iidhinishe au ikatae matumizi hayo,

Sio Mbowe aidhinishe, sio Mashinji aidhinishe wala yeyote yule. Ni Kamati Kuu.

*CHADEMA INAPELEKA WAPI FEDHA YA RUZUKU WANAZOPATA KILA MWEZI*

i) Zipo fedha ambazo hutumika Makao Makuu kulipa Mishahara na Posho,

Chadema inao wafanyakazi kati ya 60 hadi 70 ambao wapo Makao Makuu ama hulipwa moja kwa moja toka Makao Makuu kuanzia nafasi za Wahudumu wa ofisi, Walinzi mpaka Mwenyekiti wa Taifa,

Mwenyekiti wa Taifa na wafanyakazi wengine walioko Makao Makuu ambao ni wanufaika wa Serikali (yaani wanaolipwa mishahara kutoka Serikalini), hawalipwi mishahara na Chadema,

Freeman Mbowe _(Mwenyekiti wa Chadema Taifa na Mbunge wa Hai)_, John Mnyika _(Naibu Katibu Mkuu - Bara na Mbunge wa Kibamba)_, hawa wawili ni mfano wa wasiolipwa mishahara kwa sababu ni wanufaika wa Serikali. Badala yake hulipwa posho pale wanapotumwa na chama kwenda kufanya shughuli maalum mikoani au nje ya nchi,

ii) Fedha nyingine hupelekwa kwenye Ofisi 10 za Kanda (Kanda Mbili zipo Tanzania Visiwani na Kanda 8 zipo Tanzania Bara)

Fedha hizo kwenye Kanda hutumika kulipa Mishahara ya Wafanyakazi, Posho na Ruzuku kwenye Majimbo yote 264 ya Uchaguzi,

iii) Kuna fedha hutumika kushughulikia kesi mbalimbali za Viongozi na Wanachama wa Chadema. Fedha hizo hutumika kuwasafirisha Mawakili na kuwalipa Posho.

iv) Matumizi ya dharura ambayo hayaepukiki. Mfano Chaguzi za Marudio za Ubunge (ambazo hugharimu kati ya Milioni 100 hadi 120), chaguzi za Madiwani, gharama za Matibabu na Vifaa vya Uenezi wa Chama.

Kwa kuangali mchanganuo huo hapo juu, utaona kabisa Ruzuku ya Milioni 236 wanayopata Chadema kwa mwezi, haitoshi kwa matumizi yote ya Chama kwa mwezi.

Kitendo cha kumtuhumu Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe ama kiongozi mwingine yeyote kuwa anakula fedha za Ruzuku, itabaki kuwa ni propaganda za kisiasa ambazo hazina ukweli wowote,

Na ikumbukwe, hakuna kiongozi yeyote anayeweza kutoa pesa ya ruzuku kutoka kwenye akaunti ya chama mpaka watia saini wawili wasaini hundi ndipo pesa itoke,

Mbowe anakulaje fedha ya ruzuku ya chama???

*Utafiti hupingwa kwa Utafiti. Nasubiri utafiti utakaoupinga utafiti huu.*

Asanteni
Mkuu kuna utafiti gani hapo? Pesa inapigwa kwa kutumia kichaka cha posho.

Mbona hujaongelea suala la Mwenyekiti kukikopesha chama wakati wa uchaguzi na hulipwa baada ya ruzuku kuingia?

Pesa toka account ya wadhamini hutoka yote kuingia kwenye account ya chama ama kiasi hubaki kuwakimu wadhamini?

Tumekuwa tukiaminishwa kwamba mawakili hujitolea kumbe hulipwa?

Hata ningekuwa mimi Mbowe nisingetoka madarakani.
 
Hapa kuna amchanganuo gani umeuelewa...kweli mmezoea kudanganya watanzania..this time inakula kwenu..angaliajinsi watu wanavyotimkia ccm...hivi unadhani wote hawana akili...hahahahaha wajinga ndio waliwaooooo
Huyu makene ndio kaharibu kabisa. Matumizi ya fedha hayaongelewi kwa maneno matupu kama tamthilia bali huongelewa kwa figures. Anaweka kiasi cha ruzuku wanachopata lakini matumizi yameegemea maneno matupu bila numbers na huku anajinasibu eti utafiti. Huu utafiti ni rubbish (kwa maneno ya Tundu).
 
Kumekuwa na maneno mengi na tuhuma mbalimbali zinazoelekezwa kwa Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Mheshimiwa Freeman Aikael Mbowe kuwa anatafuna pesa za Ruzuku za chama,

Tuhuma hizo zimekuwa zikiendelea kila mara na sasa zikichagizwa zaidi na wanaohama kutoka Chadema kwenda kwenye vyama vingine hususani Ccm,

Yafuatayo ni matokeo ya Utafiti;

*NAMNA FEDHA INAVYOTOKA SERIKALINI MPAKA KUFIKA KWENYE AKAUNTI YA CHADEMA*

Serikali hutoa ruzuku kwa Chadema kila mwezi,

Fedha ikitoka Hazina (Serikalini) hupelekwa kwa Msajili wa Vyama vya Siasa,

Msajili huiingiza pesa hiyo kwenye Akaunti ya Bodi ya Wadhamini wa Chadema (Board of Trustee Bank Account),

Bodi ya Wadhamini wa Chadema ndio hupeleka pesa hiyo kwenye Akaunti ya Chama tayari kwa matumizi. Pesa haiingizwi kwenye Akaunti binafsi ya kiongozi yeyote wa Chadema wala mwanachama wa Chadema. Huingizwa kwenye akaunti ya chama,

*NAMNA PESA INAVYOTOKA KWENYE AKAUNTI YA CHADEMA*

Wapo Watia Saini Wanne (4 Signatories) kwenye Akaunti ya Chadema Taifa. Ambapo watu wawili kati ya hao Wanne wanaruhusiwa kusaini Hundi (cheque) kwa ajili ya kufanya Malipo,

Watu hao kwa nafasi zao ni;
i) Mwenyekiti wa Chadema Taifa
ii) Katibu Mkuu wa Chadema Taifa
iii) Naibu Katibu Mkuu Tanzania Bara
iv) Mkurugenzi wa Fedha

Pesa yoyote haiwezi kutoka kwenye Akaunti ya Chadema mpaka Wawili kati ya hao wanne Watie Saini,

*WAKATI GANI PESA INATOKA KWENYE AKAUNTI*

Pesa yeyote ya Chadema haiwezi kutoka kwenye akaunti kama haijathibitishwa na Kamati Kuu,

Kamati Kuu ya Chadema tayari ilishaidhinisha matumizi ya kila mwezi ya chama (Normal Operation expenditures),

Lakini kama kuna matumizi mengine ya ziada ama dharura (mfano Uchaguzi wa marudio, kesi, matibabu), lazima Kamati Kuu ya Chadema ikae, ipime umuhimu wa kufanya matumizi ndio iidhinishe au ikatae matumizi hayo,

Sio Mbowe aidhinishe, sio Mashinji aidhinishe wala yeyote yule. Ni Kamati Kuu.

*CHADEMA INAPELEKA WAPI FEDHA YA RUZUKU WANAZOPATA KILA MWEZI*

i) Zipo fedha ambazo hutumika Makao Makuu kulipa Mishahara na Posho,

Chadema inao wafanyakazi kati ya 60 hadi 70 ambao wapo Makao Makuu ama hulipwa moja kwa moja toka Makao Makuu kuanzia nafasi za Wahudumu wa ofisi, Walinzi mpaka Mwenyekiti wa Taifa,

Mwenyekiti wa Taifa na wafanyakazi wengine walioko Makao Makuu ambao ni wanufaika wa Serikali (yaani wanaolipwa mishahara kutoka Serikalini), hawalipwi mishahara na Chadema,

Freeman Mbowe _(Mwenyekiti wa Chadema Taifa na Mbunge wa Hai)_, John Mnyika _(Naibu Katibu Mkuu - Bara na Mbunge wa Kibamba)_, hawa wawili ni mfano wa wasiolipwa mishahara kwa sababu ni wanufaika wa Serikali. Badala yake hulipwa posho pale wanapotumwa na chama kwenda kufanya shughuli maalum mikoani au nje ya nchi,

ii) Fedha nyingine hupelekwa kwenye Ofisi 10 za Kanda (Kanda Mbili zipo Tanzania Visiwani na Kanda 8 zipo Tanzania Bara)

Fedha hizo kwenye Kanda hutumika kulipa Mishahara ya Wafanyakazi, Posho na Ruzuku kwenye Majimbo yote 264 ya Uchaguzi,

iii) Kuna fedha hutumika kushughulikia kesi mbalimbali za Viongozi na Wanachama wa Chadema. Fedha hizo hutumika kuwasafirisha Mawakili na kuwalipa Posho.

iv) Matumizi ya dharura ambayo hayaepukiki. Mfano Chaguzi za Marudio za Ubunge (ambazo hugharimu kati ya Milioni 100 hadi 120), chaguzi za Madiwani, gharama za Matibabu na Vifaa vya Uenezi wa Chama.

Kwa kuangali mchanganuo huo hapo juu, utaona kabisa Ruzuku ya Milioni 236 wanayopata Chadema kwa mwezi, haitoshi kwa matumizi yote ya Chama kwa mwezi.

Kitendo cha kumtuhumu Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe ama kiongozi mwingine yeyote kuwa anakula fedha za Ruzuku, itabaki kuwa ni propaganda za kisiasa ambazo hazina ukweli wowote,

Na ikumbukwe, hakuna kiongozi yeyote anayeweza kutoa pesa ya ruzuku kutoka kwenye akaunti ya chama mpaka watia saini wawili wasaini hundi ndipo pesa itoke,

Mbowe anakulaje fedha ya ruzuku ya chama???

*Utafiti hupingwa kwa Utafiti. Nasubiri utafiti utakaoupinga utafiti huu.*

Asanteni
Ni UJINGA na UPUUZI mkuu kujibu kila propaganda unayotupiwa na mpinzani wako kwa sababu.

1. Zitakutoa katika hoja yako ya msingi unayoisimamia na hivyo kupoteza uelekeo wa kile unachokisimamia.

2. Katika ujibuji wa propaganda iliyoelekezwa kwako, mara nyingi huleta mianya zaidi katika jibu lako kwani kea ilivyo propaganda kadri unavyofunguka ndivyo unavyofungua mifereji ya mapungufu kwa adui yako kukushambulia zaidi.

3. Ukipigwa la kipropaganda na wewe tafuta la kipropaganda si kujibu hoja yake bali lipua sehemu ya adui yako ya mapungufu na si kujitetea namna hii!

Huu ni ushauri tu. Sie mlitupiga juu ya 1.5T, tukatulia tu, tukaibuka na hili lenu ya RUZUKU, nanyi mnaingia kichwa kichwa tu. Lazima tuchukue point.

Jifunzeni kwetu siasa ya maneno bwana!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom