Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,838
Wahenga wanasema kwamba Chura ukimuweka kwenye maji ya moto huruka mara moja na kutoka lkn ukimuweka kwenye maji ya uvuguvugu na atakaa, na ukiongeza joto la maji kidogo kidogo Chura atasikia raha na kuendelea kubakia kwenye maji huku akifurahia joto, ukiendelea kuongeza joto la maji na maji kuanza kuchemka Chura atakuja kushtuka kwamba anapaswa kuruka lkn anakuwa ameshachelewa na maji kumpika na kumuua.
Mbowe sasa hivi ni Chura ambaye yuko kwenye yanayongezeka joto pole pole huku akisikia raha, badala ya kuruka kungali mapema.
Kama kila mtu anakutaja wewe ni tatizo lkn hausikii na unang’ang’ania, una tofauti gani na Chura?
Mbowe sasa hivi ni Chura ambaye yuko kwenye yanayongezeka joto pole pole huku akisikia raha, badala ya kuruka kungali mapema.
Kama kila mtu anakutaja wewe ni tatizo lkn hausikii na unang’ang’ania, una tofauti gani na Chura?