residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 9,531
- 13,461
Kwa hiyo wakiongea na waandishi wa habari ndio wakinamama watapata huduma ya kujifungua salama,ndio wamama watakuwa hawatembei km 10 kutafuta maji,ndio viwanda vitaongezeka ili kuwapatia vijana wetu ajira,ndio wanafunzi wanaomaliza elimu ya msingi wasiojua kusoma na kuandika watapungua au kuisha kabisa!!!!???
Mh Haule, Mh Nassari na Mh Mnyika kesho wataongea na wandiahi wa habari