mtanzania1989
JF-Expert Member
- May 20, 2010
- 4,064
- 6,733
JokaKuu hayo maelezo yote ya nini ? Wao walishangalia kifo cha mpendwa wetu na sisi ni haki kushangilia mizoga yao, haina maelezo mengi. Mizoga yao ikipita tutairushia kinyesi kuonyesha isivyo na thamani kwetu, malipo ni hapa hapa duniani...watu ambao walitendewa UNYAMA na Magufuli kwanini unachukia wakishangilia kifo chake?
..inawezekana Magufuli alikuwa mtu mzuri kwako, lakini umejiuliza ukatili aliowafanyia Mbowe, Lissu, na wapinzani wengine?