Mbowe na CHADEMA wana itikadi na sera ya ubinafsi

kmbwembwe

JF-Expert Member
Aug 16, 2012
10,425
7,211
Kwa wale wasiyoelewa wala kuona itikadi za vyama ingetosha tu kumsikiliza mwenyekiti wa CHADEMA Mbowe ili kujua CHADEMA wanapigania nini.

Ukisikia jinsi Mbowe anamponda Magufuli mtu ambaye kabla ya kuwa Rais wa JMT kwa miaka 20 amekuwa anasimamia ujenzi wa miundombinu ya barabara nchini kwa uadilifu na mafanikio makubwa utashangaa.

Analoona yeye ni kukwamishwa miradi yake binafsi ikiwa ni pamoja na mradi wa kulima maua kwenye chanzo cha mto huko kwao Hai.

Anajidai eti kwa kukwamishwa uwekezaji wake atahamisha vitega uchumi vyake nchi zingine. Kwanza vitega uchumi kiasi gani amewekeza wakati wawekezaji toka nje wanakuja kuwekeza mabilioni kwenye madini na sekta chungu mzima.

Mtu anataka kutumia nafasi kama kiongozi wa chama cha siasa kukwepa kodi na kukwepa sheria na taratibu za uwekezaji kwa faida binafsi.

Utasikia baadhi ya wafuasi wake wakisema eti wanamuandama biashara zake ooh hoteli yake etc etc wakati kuna wawekezaji wakubwa kwenye mahoteli wanajua kuna sheria hivyo wametulia wanafanya kazi zao kwa ufanisi.

Mbowe na wasaidizi wake wametengeneza clips za propaganda ya uongo mkubwa dhidi ya Magufuli baada ya yeye kufa.

Wanamwita muuaji na dikteta kwa kukwamisha biashara zake bila kuheshimu hisia za mamilioni ya watanzania waliyofaidika kwa uongozi wa Magufuli.

Kuna kilometa maelfu ya barabara kuna kupatikana maji toka vyanzo hadi vya ziwa Victoria sehemu kubwa nchini. Kuna usambazaji wa umeme vijiji karibu vyote nchini. Kuna maendeleo makubwa kwenye elimu.

Kuna maendeleo makubwa kwenye afya na ujenzi wa hospitali kubwa vituo vya afya na hospitali za wilaya.

Kuna ongezeko kubwa la nidhamu na upunguaji wa rushwa serikalini kwa kiasi kikubwa.

Hakika mbowe kwa kumkejeli na kumtusi magufuli kwa kiwango kikubwa kiasi alichofanya ili kuwafurahisha maliberali wa ulaya hastahili huruma kwa watanzania.

Anachojali yeye ni kufanya kazi kwa niaba ya adui wa maendeleo ya Watanzania kwa kupewa ujira kwa kisingizio ni msaada wa chama chake.
 
Ndugu yangu kambwembwe kwako haki haijawahi kupewa nanfasi, hata uwekezaji kwako si chochote, zaidi ubinafsi, roho mbaya na kufurahia ukatili wanaotendewa wengine.
 
Malipo ni hapa hapa duniani, kuna watu watakufa huku midomo imepinda na sisi tutazodoa hiyo mizoga yao kuwaonesha chuki zetu kwao kwa kushangilia kifo cha JPM, Mbowe na Lissu utafika muda wao watakufa, itakuwa na zamu yetu kuzodoa mizoga yao, nisiambiwe ujinga wowote wa utu muda huo.
 
Malipo ni hapa hapa duniani, kuna watu watakufa huku midomo imepinda na sisi tutazodoa hiyo mizoga yao kuwaonesha chuki zetu kwao kwa kushangilia kifo cha JPM, Mbowe na Lissu utafika muda wao watakufa, itakuwa na zamu yetu kuzodoa mizoga yao, nisiambiwe ujinga wowote wa utu muda huo.
Akili ya mtz wa mwaka 988, uonage hata aibu basi.
 
Akili ya mtz wa mwaka 988,uonage hata aibu basi.
Malipo ni hapa hapa duniani, kuna watu watakufa huku midomo imepinda na sisi tutazodoa hiyo mizoga yao kuwaonesha chuki zetu kwao kwa kushangilia kifo cha JPM, Mbowe na Lissu utafika muda wao watakufa, itakuwa na zamu yetu kuzodoa mizoga yao, nisiambiwe ujinga wowote wa utu muda huo.
 
Kwa wale wasiyoelewa wala kuona itikadi za vyama ingetosha tu kumsikiliza mwenyekiti wa CHADEMA Mbowe ili kujua CHADEMA wanapigania nini.

Ukisikia jinsi Mbowe anamponda Magufuli mtu ambaye kabla ya kuwa Rais wa JMT kwa miaka 20 amekuwa anasimamia ujenzi wa miundombinu ya barabara nchini kwa uadilifu na mafanikio makubwa utashangaa.

Analoona yeye ni kukwamishwa miradi yake binafsi ikiwa ni pamoja na mradi wa kulima maua kwenye chanzo cha mto huko kwao Hai.

Anajidai eti kwa kukwamishwa uwekezaji wake atahamisha vitega uchumi vyake nchi zingine. Kwanza vitega uchumi kiasi gani amewekeza wakati wawekezaji toka nje wanakuja kuwekeza mabilioni kwenye madini na sekta chungu mzima.

Mtu anataka kutumia nafasi kama kiongozi wa chama cha siasa kukwepa kodi na kukwepa sheria na taratibu za uwekezaji kwa faida binafsi.

Utasikia baadhi ya wafuasi wake wakisema eti wanamuandama biashara zake ooh hoteli yake etc etc wakati kuna wawekezaji wakubwa kwenye mahoteli wanajua kuna sheria hivyo wametulia wanafanya kazi zao kwa ufanisi.

Mbowe na wasaidizi wake wametengeneza clips za propaganda ya uongo mkubwa dhidi ya Magufuli baada ya yeye kufa.

Wanamwita muuaji na dikteta kwa kukwamisha biashara zake bila kuheshimu hisia za mamilioni ya watanzania waliyofaidika kwa uongozi wa Magufuli.

Kuna kilometa maelfu ya barabara kuna kupatikana maji toka vyanzo hadi vya ziwa Victoria sehemu kubwa nchini. Kuna usambazaji wa umeme vijiji karibu vyote nchini. Kuna maendeleo makubwa kwenye elimu.

Kuna maendeleo makubwa kwenye afya na ujenzi wa hospitali kubwa vituo vya afya na hospitali za wilaya.

Kuna ongezeko kubwa la nidhamu na upunguaji wa rushwa serikalini kwa kiasi kikubwa.

Hakika mbowe kwa kumkejeli na kumtusi magufuli kwa kiwango kikubwa kiasi alichofanya ili kuwafurahisha maliberali wa ulaya hastahili huruma kwa watanzania.

Anachojali yeye ni kufanya kazi kwa niaba ya adui wa maendeleo ya Watanzania kwa kupewa ujira kwa kisingizio ni msaada wa chama chake.
asante Dadaetu tumekusikia
 
Ndugu yangu kambwembwe kwako haki haijawahi kupewa nanfasi, hata uwekezaji kwako si chochote, zaidi ubinafsi, roho mbaya na kufurahia ukatili wanaotendewa wengine.
Roho mbaya ipi ndugu. Hivi unaelewa maana ya ubinafsi. Mbowe na wanaomuunga mkono ndio wabinafsi maana wanapigania maslahi yao binafsi dhidi ya maslahi ya umma.
 
Kwa wale wasiyoelewa wala kuona itikadi za vyama ingetosha tu kumsikiliza mwenyekiti wa CHADEMA Mbowe ili kujua CHADEMA wanapigania nini.

Ukisikia jinsi Mbowe anamponda Magufuli mtu ambaye kabla ya kuwa Rais wa JMT kwa miaka 20 amekuwa anasimamia ujenzi wa miundombinu ya barabara nchini kwa uadilifu na mafanikio makubwa utashangaa.

Analoona yeye ni kukwamishwa miradi yake binafsi ikiwa ni pamoja na mradi wa kulima maua kwenye chanzo cha mto huko kwao Hai.

Anajidai eti kwa kukwamishwa uwekezaji wake atahamisha vitega uchumi vyake nchi zingine. Kwanza vitega uchumi kiasi gani amewekeza wakati wawekezaji toka nje wanakuja kuwekeza mabilioni kwenye madini na sekta chungu mzima.

Mtu anataka kutumia nafasi kama kiongozi wa chama cha siasa kukwepa kodi na kukwepa sheria na taratibu za uwekezaji kwa faida binafsi.

Utasikia baadhi ya wafuasi wake wakisema eti wanamuandama biashara zake ooh hoteli yake etc etc wakati kuna wawekezaji wakubwa kwenye mahoteli wanajua kuna sheria hivyo wametulia wanafanya kazi zao kwa ufanisi.

Mbowe na wasaidizi wake wametengeneza clips za propaganda ya uongo mkubwa dhidi ya Magufuli baada ya yeye kufa.

Wanamwita muuaji na dikteta kwa kukwamisha biashara zake bila kuheshimu hisia za mamilioni ya watanzania waliyofaidika kwa uongozi wa Magufuli.

Kuna kilometa maelfu ya barabara kuna kupatikana maji toka vyanzo hadi vya ziwa Victoria sehemu kubwa nchini. Kuna usambazaji wa umeme vijiji karibu vyote nchini. Kuna maendeleo makubwa kwenye elimu.

Kuna maendeleo makubwa kwenye afya na ujenzi wa hospitali kubwa vituo vya afya na hospitali za wilaya.

Kuna ongezeko kubwa la nidhamu na upunguaji wa rushwa serikalini kwa kiasi kikubwa.

Hakika mbowe kwa kumkejeli na kumtusi magufuli kwa kiwango kikubwa kiasi alichofanya ili kuwafurahisha maliberali wa ulaya hastahili huruma kwa watanzania.

Anachojali yeye ni kufanya kazi kwa niaba ya adui wa maendeleo ya Watanzania kwa kupewa ujira kwa kisingizio ni msaada wa chama chake.
Magufuli aliharibu nchi hii kuliko rais mwingine yeyote katika historia ya nchi hii. Tumevurugwa kikabila, ameacha utamaduni mbaya sana wa ubabe na uonevu; Sabaya ni mfano tu wa watoto wa magu. Nchi deni limepanda vibaya mno kutoka trillion 35 hadi trillion 72 ndani ya miaka 5! Haya ni dokezo tu. Ukiwa na akili nzuri huwezi kuambatana na dikteta yule.
 
Malipo ni hapa hapa duniani, kuna watu watakufa huku midomo imepinda na sisi tutazodoa hiyo mizoga yao kuwaonesha chuki zetu kwao kwa kushangilia kifo cha JPM, Mbowe na Lissu utafika muda wao watakufa, itakuwa na zamu yetu kuzodoa mizoga yao, nisiambiwe ujinga wowote wa utu muda huo.

..Magufuli alikuwa kiongozi katili na dikteta ndio maana wako baadhi ya ndugu zetu wanashangilia kifo chake.

..Hakuna dikteta yeyote aliyefariki halafu wasiwepo wananchi walioshangilia kifo hicho.

..Fuatilia kifo cha Saddam Hussein, Moamar Gaddafi, na madikteta wengine na jinsi wananchi walivyopokea vifo hivyo.

..Kama unaamini Mbowe, na Lissu, walikudhulumu, au walikutesa, unayo haki ya kushangilia ikiwa MUNGU atawachukua kabla yako. Atakayekulaumu atakuwa anakuonea.
 
Kwa wale wasiyoelewa wala kuona itikadi za vyama ingetosha tu kumsikiliza mwenyekiti wa CHADEMA Mbowe ili kujua CHADEMA wanapigania nini.

Ukisikia jinsi Mbowe anamponda Magufuli mtu ambaye kabla ya kuwa Rais wa JMT kwa miaka 20 amekuwa anasimamia ujenzi wa miundombinu ya barabara nchini kwa uadilifu na mafanikio makubwa utashangaa.

Analoona yeye ni kukwamishwa miradi yake binafsi ikiwa ni pamoja na mradi wa kulima maua kwenye chanzo cha mto huko kwao Hai.

Anajidai eti kwa kukwamishwa uwekezaji wake atahamisha vitega uchumi vyake nchi zingine. Kwanza vitega uchumi kiasi gani amewekeza wakati wawekezaji toka nje wanakuja kuwekeza mabilioni kwenye madini na sekta chungu mzima.

Mtu anataka kutumia nafasi kama kiongozi wa chama cha siasa kukwepa kodi na kukwepa sheria na taratibu za uwekezaji kwa faida binafsi.

Utasikia baadhi ya wafuasi wake wakisema eti wanamuandama biashara zake ooh hoteli yake etc etc wakati kuna wawekezaji wakubwa kwenye mahoteli wanajua kuna sheria hivyo wametulia wanafanya kazi zao kwa ufanisi.

Mbowe na wasaidizi wake wametengeneza clips za propaganda ya uongo mkubwa dhidi ya Magufuli baada ya yeye kufa.

Wanamwita muuaji na dikteta kwa kukwamisha biashara zake bila kuheshimu hisia za mamilioni ya watanzania waliyofaidika kwa uongozi wa Magufuli.

Kuna kilometa maelfu ya barabara kuna kupatikana maji toka vyanzo hadi vya ziwa Victoria sehemu kubwa nchini. Kuna usambazaji wa umeme vijiji karibu vyote nchini. Kuna maendeleo makubwa kwenye elimu.

Kuna maendeleo makubwa kwenye afya na ujenzi wa hospitali kubwa vituo vya afya na hospitali za wilaya.

Kuna ongezeko kubwa la nidhamu na upunguaji wa rushwa serikalini kwa kiasi kikubwa.

Hakika mbowe kwa kumkejeli na kumtusi magufuli kwa kiwango kikubwa kiasi alichofanya ili kuwafurahisha maliberali wa ulaya hastahili huruma kwa watanzania.

Anachojali yeye ni kufanya kazi kwa niaba ya adui wa maendeleo ya Watanzania kwa kupewa ujira kwa kisingizio ni msaada wa chama chake.

Kaburu Pieter Botha alifanya mara elfu huko Afrika Kusini kwenye maendeleo ya nchi yake, mbona tulimuunga mkono Mandela na weusi wa Afrika kusini, na si Kaburu Pieter Botha wa Afrika kusini aliyeleta maendeleo makubwa huko Afrika Kusini?
 
Malipo ni hapa hapa duniani, kuna watu watakufa huku midomo imepinda na sisi tutazodoa hiyo mizoga yao kuwaonesha chuki zetu kwao kwa kushangilia kifo cha JPM, Mbowe na Lissu utafika muda wao watakufa, itakuwa na zamu yetu kuzodoa mizoga yao, nisiambiwe ujinga wowote wa utu muda huo.

Hamna hata mtu anataka ww uwe na utu kwa hao wapinzani. Tena ukiona unachelewa kufurahia hivyo vifo vya hao wapinzani, ongea na mama wa kambo afufue lile kundi lenu la watu wasiojulikana lililokuwa likisimamiwa na yule dhalimu, ili muwaue ufurahie.
 
..Magufuli alikuwa kiongozi katili na dikteta ndio maana wako baadhi ya ndugu zetu wanashangilia kifo chake.

..Hakuna dikteta yeyote aliyefariki halafu wasiwepo wananchi walioshangilia kifo hicho.

..Fuatilia kifo cha Saddam Hussein, Moamar Gaddafi, na madikteta wengine na jinsi wananchi walivyopokea vifo hivyo.

..Kama unaamini Mbowe, na Lissu, walikudhulumu, au walikutesa, unayo haki ya kushangilia ikiwa MUNGU atawachukua kabla yako. Atakayekulaumu atakuwa anakuonea.
Maelezo hayo yote ya nini? Wewe jua tunasubiria mzoga wa Gaidi Mbowe na Lissu tushushie na beer, kama wao walivyoshangilia kifo cha JPM na sisi tutakuwa tunamwagia vinyesi mizoga yao ikiwa inaelekea Hai na Singida.
 
Magufuli aliharibu nchi hii kuliko rais mwingine yeyote katika historia ya nchi hii. Tumevurugwa kikabila, ameacha utamaduni mbaya sana wa ubabe na uonevu; Sabaya ni mfano tu wa watoto wa magu. Nchi deni limepanda vibaya mno kutoka trillion 35 hadi trillion 72 ndani ya miaka 5! Haya ni dokezo tu. Ukiwa na akili nzuri huwezi kuambatana na dikteta yule.
Yaani hapo unaona umeandika kitu cha maana?
 
Kwa wale wasiyoelewa wala kuona itikadi za vyama ingetosha tu kumsikiliza mwenyekiti wa CHADEMA Mbowe ili kujua CHADEMA wanapigania nini.

Ukisikia jinsi Mbowe anamponda Magufuli mtu ambaye kabla ya kuwa Rais wa JMT kwa miaka 20 amekuwa anasimamia ujenzi wa miundombinu ya barabara nchini kwa uadilifu na mafanikio makubwa utashangaa.

Analoona yeye ni kukwamishwa miradi yake binafsi ikiwa ni pamoja na mradi wa kulima maua kwenye chanzo cha mto huko kwao Hai.

Anajidai eti kwa kukwamishwa uwekezaji wake atahamisha vitega uchumi vyake nchi zingine. Kwanza vitega uchumi kiasi gani amewekeza wakati wawekezaji toka nje wanakuja kuwekeza mabilioni kwenye madini na sekta chungu mzima.

Mtu anataka kutumia nafasi kama kiongozi wa chama cha siasa kukwepa kodi na kukwepa sheria na taratibu za uwekezaji kwa faida binafsi.

Utasikia baadhi ya wafuasi wake wakisema eti wanamuandama biashara zake ooh hoteli yake etc etc wakati kuna wawekezaji wakubwa kwenye mahoteli wanajua kuna sheria hivyo wametulia wanafanya kazi zao kwa ufanisi.

Mbowe na wasaidizi wake wametengeneza clips za propaganda ya uongo mkubwa dhidi ya Magufuli baada ya yeye kufa.

Wanamwita muuaji na dikteta kwa kukwamisha biashara zake bila kuheshimu hisia za mamilioni ya watanzania waliyofaidika kwa uongozi wa Magufuli.

Kuna kilometa maelfu ya barabara kuna kupatikana maji toka vyanzo hadi vya ziwa Victoria sehemu kubwa nchini. Kuna usambazaji wa umeme vijiji karibu vyote nchini. Kuna maendeleo makubwa kwenye elimu.

Kuna maendeleo makubwa kwenye afya na ujenzi wa hospitali kubwa vituo vya afya na hospitali za wilaya.

Kuna ongezeko kubwa la nidhamu na upunguaji wa rushwa serikalini kwa kiasi kikubwa.

Hakika mbowe kwa kumkejeli na kumtusi magufuli kwa kiwango kikubwa kiasi alichofanya ili kuwafurahisha maliberali wa ulaya hastahili huruma kwa watanzania.

Anachojali yeye ni kufanya kazi kwa niaba ya adui wa maendeleo ya Watanzania kwa kupewa ujira kwa kisingizio ni msaada wa chama chake.
Hayo maendeleo mbona hatuyaoni zinapokuja changamoto?

Mioto inaunguza miundombinu tunashindwa kuzima kea kukosa vifaa

Corona imepiga kambi hospitality hazina oxyegen

Hazina kumekauka mpaka wameamua kuja na tozo

Samia kasema mwenyewe uchumi umeshuka toka 7% mpaka 4%

Maendeleo gani alituletea huyu kichaa wenu
 
Kwa wale wasiyoelewa wala kuona itikadi za vyama ingetosha tu kumsikiliza mwenyekiti wa CHADEMA Mbowe ili kujua CHADEMA wanapigania nini.

Ukisikia jinsi Mbowe anamponda Magufuli mtu ambaye kabla ya kuwa Rais wa JMT kwa miaka 20 amekuwa anasimamia ujenzi wa miundombinu ya barabara nchini kwa uadilifu na mafanikio makubwa utashangaa.

Analoona yeye ni kukwamishwa miradi yake binafsi ikiwa ni pamoja na mradi wa kulima maua kwenye chanzo cha mto huko kwao Hai.

Anajidai eti kwa kukwamishwa uwekezaji wake atahamisha vitega uchumi vyake nchi zingine. Kwanza vitega uchumi kiasi gani amewekeza wakati wawekezaji toka nje wanakuja kuwekeza mabilioni kwenye madini na sekta chungu mzima.

Mtu anataka kutumia nafasi kama kiongozi wa chama cha siasa kukwepa kodi na kukwepa sheria na taratibu za uwekezaji kwa faida binafsi.

Utasikia baadhi ya wafuasi wake wakisema eti wanamuandama biashara zake ooh hoteli yake etc etc wakati kuna wawekezaji wakubwa kwenye mahoteli wanajua kuna sheria hivyo wametulia wanafanya kazi zao kwa ufanisi.

Mbowe na wasaidizi wake wametengeneza clips za propaganda ya uongo mkubwa dhidi ya Magufuli baada ya yeye kufa.

Wanamwita muuaji na dikteta kwa kukwamisha biashara zake bila kuheshimu hisia za mamilioni ya watanzania waliyofaidika kwa uongozi wa Magufuli.

Kuna kilometa maelfu ya barabara kuna kupatikana maji toka vyanzo hadi vya ziwa Victoria sehemu kubwa nchini. Kuna usambazaji wa umeme vijiji karibu vyote nchini. Kuna maendeleo makubwa kwenye elimu.

Kuna maendeleo makubwa kwenye afya na ujenzi wa hospitali kubwa vituo vya afya na hospitali za wilaya.

Kuna ongezeko kubwa la nidhamu na upunguaji wa rushwa serikalini kwa kiasi kikubwa.

Hakika mbowe kwa kumkejeli na kumtusi magufuli kwa kiwango kikubwa kiasi alichofanya ili kuwafurahisha maliberali wa ulaya hastahili huruma kwa watanzania.

Anachojali yeye ni kufanya kazi kwa niaba ya adui wa maendeleo ya Watanzania kwa kupewa ujira kwa kisingizio ni msaada wa chama chake.
Chama kimekusanya makumi ya mamilioni ya wafuasi utakiitaje kina "ubinafsi"?
 
Kwa wale wasiyoelewa wala kuona itikadi za vyama ingetosha tu kumsikiliza mwenyekiti wa CHADEMA Mbowe ili kujua CHADEMA wanapigania nini.

Ukisikia jinsi Mbowe anamponda Magufuli mtu ambaye kabla ya kuwa Rais wa JMT kwa miaka 20 amekuwa anasimamia ujenzi wa miundombinu ya barabara nchini kwa uadilifu na mafanikio makubwa utashangaa.

Analoona yeye ni kukwamishwa miradi yake binafsi ikiwa ni pamoja na mradi wa kulima maua kwenye chanzo cha mto huko kwao Hai.

Anajidai eti kwa kukwamishwa uwekezaji wake atahamisha vitega uchumi vyake nchi zingine. Kwanza vitega uchumi kiasi gani amewekeza wakati wawekezaji toka nje wanakuja kuwekeza mabilioni kwenye madini na sekta chungu mzima.

Mtu anataka kutumia nafasi kama kiongozi wa chama cha siasa kukwepa kodi na kukwepa sheria na taratibu za uwekezaji kwa faida binafsi.

Utasikia baadhi ya wafuasi wake wakisema eti wanamuandama biashara zake ooh hoteli yake etc etc wakati kuna wawekezaji wakubwa kwenye mahoteli wanajua kuna sheria hivyo wametulia wanafanya kazi zao kwa ufanisi.

Mbowe na wasaidizi wake wametengeneza clips za propaganda ya uongo mkubwa dhidi ya Magufuli baada ya yeye kufa.

Wanamwita muuaji na dikteta kwa kukwamisha biashara zake bila kuheshimu hisia za mamilioni ya watanzania waliyofaidika kwa uongozi wa Magufuli.

Kuna kilometa maelfu ya barabara kuna kupatikana maji toka vyanzo hadi vya ziwa Victoria sehemu kubwa nchini. Kuna usambazaji wa umeme vijiji karibu vyote nchini. Kuna maendeleo makubwa kwenye elimu.

Kuna maendeleo makubwa kwenye afya na ujenzi wa hospitali kubwa vituo vya afya na hospitali za wilaya.

Kuna ongezeko kubwa la nidhamu na upunguaji wa rushwa serikalini kwa kiasi kikubwa.

Hakika mbowe kwa kumkejeli na kumtusi magufuli kwa kiwango kikubwa kiasi alichofanya ili kuwafurahisha maliberali wa ulaya hastahili huruma kwa watanzania.

Anachojali yeye ni kufanya kazi kwa niaba ya adui wa maendeleo ya Watanzania kwa kupewa ujira kwa kisingizio ni msaada wa chama chake.
Kwani jpm hakuwa muuaji? Akina ben saanane, akina azori gwanda na wengine si aliwachapa marisasi na kuwaua. Lisu mwenyewe aneponea chupuchupu. Kunawatu amewabimbikia makesi na sasa mahakama inawatoa mmoja mmoja. Yule hakuwa mtu tulikuwa tunaongozwa na shetani mungu ametusaidia
 
Maelezo hayo yote ya nini? Wewe jua tunasubiria mzoga wa Gaidi Mbowe na Lissu tushushie na beer, kama wao walivyoshangilia kifo cha JPM na sisi tutakuwa tunamwagia vinyesi mizoga yao ikiwa inaelekea Hai na Singida.

..watu ambao walitendewa UNYAMA na Magufuli kwanini unachukia wakishangilia kifo chake?

..inawezekana Magufuli alikuwa mtu mzuri kwako, lakini umejiuliza ukatili aliowafanyia Mbowe, Lissu, na wapinzani wengine?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom