esitena tetena
JF-Expert Member
- Aug 21, 2015
- 1,747
- 1,082
Weka ushahidi wa Benk transaction. Kama tunataka Msafi, basi tuchague Mtikila au Hashim Rungwe, wana kashfa gani hao ?
Chukua hiyoHatimae imebainika sababu za Lowasa kupewa nafasi ya kugombea Chadema.Zaidi ya bilioni 6 inasadikiwa zilitumika.Hata hivo bado hali inazidi kwenda mrama kwa mgombea huyo.
kama kweli wamepewa hizo pesa mbona dr.slaa siku ile ktk press conference hakusema? unadhani angelinyamazia hilo ktk tuhuma zote zile alizomsema lowassa? tunayajua magazeti ya lumumba,JAMBO LEO likiwemo.
Mabadiliko ya kweli ni magufuli. Tatizo letu watz ni mihemko tu. Sina shida na mabadiliko lakini ni mabadiliko yepi na nani anayeyaleta sio ili mradi mabadiliko. Tuhuma kama hizi si za kupuuzia hata kidogo eti kisa mabadiliko. Ivi tunawezaje kufunika tuhuma za kifisadi zilizofanywa na lowassa kwa kujivika kofia ya mabadiliko. Mimi ni mwana ukawa lakini napenda misingi bora ya uadilifu. Hatuwezi kupiga kura kwa ushabiki otherwise tutajutia
Tufanye wamepokea trillion 1 basi, bado tutamchagua lowassa
Mimi nimemuelewa sana.shida ni weweili mradi Lowasa amejitoa kwenye chama cha mafisadi, hata useme nini hakuna mtu atakaekuewa hapa ni mabadiliko tu
kwanza walisema bilioni 10 sasa wamepunguza hadi bilioni 5, kwani Slaa alipata ngapi kwa kumpeleka Lowasa ukawa? hii habari tunaijua tayari na tumeamua kumchagua Lowasa kama raisi mpya wa jamhuri ya muungano ya Tanzania.
Nimelidharau rasmi Gazeti Raia Tanzania, yaani wamefikia hatua ya kunukuu habari kutoka kwa chanzo cha pili!
Ulimwengu, Mbwambo et al angalieni msije mkaiua tena Kampuni yenu kama mlivyofanya kwa Gazeti la Rai miaka ile.
Vv