nolieonlytruth
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 340
- 64
Sawa tu, tunamtaka lowassa ndoi chaguo letu
Wekeni ushahidi. Si wana akaunt na biashara imefanyika na habari imeandikwa. Wekeni ushahidi nao!!
Tufanye wamepokea trillion 1 basi, bado tutamchagua lowassa
Sio rahisi, ndio maana wameiweka hiyo 'Milard Ayo' ili kujivua hatia ya kupika habari. Nimesikitishwa sana na Jenerali Ulimwengu kukubali Gazeti lake kutumika na Habari za kikanjanja, huenda baadaye wakashindwa kuliendesha kama ilivyowakuta enzi wakimiliki Rai.
Vv
hili gazeti lijiandae kuwapa hela mbowe na mtei kama fidia endapo itafunguliwa kesi
hili gazeti lijiandae kuwapa hela mbowe na mtei kama fidia endapo itafunguliwa kesi