Mbowe, mkanye Lissu

Anajipiga spana mwenyewe! Sisi watanzania tutampiga spana nyingine 2025 chini ya Jemedari mama samia!
Jemedari kishakuwa mama samia tena! Siyo kile chuma mlichotwambia? Kwani imekuwaje kwa Chuma hicho! Jiwe! Nini kimetokea kwa hyo mtu mliyetuaminisha kama ni MUNGU vile?
 
Ukiacha uana harakati wake ukiacha u siasa wake lakini

lissu kasahau kabisa kuwa yeye ni BABA mwenye familia

anachokiandika huko mitandaoni watu wana screenshot tu

hizi screenshot watu watazi re-post itakapotokea Nae yakimfika

watanzania huwezi waelewa ukifanya upumbavu,wanakusubiri ujae kwenye 18 zao

Lissu hilo bado hajifunzi na hataki kujifunza,ni sawa ndio alivyoamua ila akumbuke yeye ni BABA.
 
Wewe nawe ulisherehekea kifo Cha JPM??...tuanzie hapo Kwanza...
Ujinga imekutawala kabisa; kwani Magufuli ni nani adi watu wasisherekee akifa? ni propaganda tu ndo inawasumbua ili mpate chochote kutoka kwa Samia.
 
Wengi mnamlaumu lissu kwasababu na kuto kut
Sema ana jua hawezi kuja kua Rais kashajikatia tamaa
ata reaction kwenye post zake sio nyingi san
Wengi mnamlaumu lisu ni kwa sababu ya kukosa maarifa na ubinafsi , hata ungekuwa wewe usingeweza kumpenda mtu aliye dhamiria kukuuwa akakukosa ila kakuachia kilema cha maisha eti kisa tu unaeleza madhaifu yake ,

Na hakika hata wewe usinge weza kumpenda mtu huyo , mzigo alio nao lissu moyoni kuhusu JPM yeye mwenyewe ndiye anaye jua, wengine mnaongea ongea sana sababu hamuujui mzigo na mateso aliyo yapitia chini ya utawala huu na kilema cha maisha baada ya dhamira ya kuuliwa kufeli

hata mimi siwez kuwa mnafiki ni haki yake lissu kuto mpenda magufuli mimi simlaumu.
 
Ivi alipigwa risasi ngapi?

16 au 32!!!??
 
Alaaniwe yeyote aliyehusika kuondoa Umoja na Mshikamano wetu Watanzania.

Mtu anapigwa Risasi, wengine wanashangilia

Mtu anafariki, wengine wanachinja Kuku na kufanya sherehe.

Bila hili kurekebishwa mapema, ikitokea Vita kama ile ya Uganda 1978 - 1979 nahisi kuna watu wata side na Uganda ili tupigwe na kushindwa Vita.

Mungu wa Rehema awasaidie Viongozi wetu kubaini Ufa huu na kuwapa maarifa ya kuweza kupatanisha pande hizi hasimu ili Watanzania tuishi kwa upendo na kupendana na kuendelea kuwa wamoja.

Maandiko yanasema " Heri wapatanishi kwa maana wataitwa wana wa Mungu" pia Maandiko yanasema Samehe saba mara sabini.
Let's be one forever
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
 
Tundu lissu kasema nini mkuu? Maana navyomjua Tundu Lisuu akisema jambo lazima liwe na mantiki, Hawezi kubwabwaja tu kama RC Chalamila.
 
Ukipata taarifa za mtu aliyekosa kukuua mara kadhaa, haiwezi kuwa habari ya huzuni bali ni HABARI NJEMA.
Lisu naye ni binadamu kama ulivyo wewe, tena sikuwahi kukusikia ukinena mema juu ya IDD AMIN DADA wa Uganda, na hapo napata mashaka juu ya uwezo wako wa kufikiri
 
Mlitukaririsha nyimbo kwamba Iddi Amin akifa sisi hatuwezi kulia, tutamtupa Kagera awe chakula cha Mamba.
Sasa Leo kafa Iddi Amin wa Tanzania mnataka watu walie?
 
Ni wapi mila za afrika zilisema watu washangilie mtu kuuawa
 
Tulieni Lissu awanyooshe na yeye ni binadamu atoe machungu yake moyoni,huu msiba usiwafanye mna huruma sana
Msiba wa jirani ni wetu sote kama alikuwa jirani mwema vinginevyo ni wao hukohuko na yeyote anayejaribu kulazimisha watu wahudhurue kwa wingi matokeo yake ndio hayo yanaongeza misiba na machungu.
 
Meko kafa huku Lissu (aliyekuwa amepangiwa na kina farao afe) bado yu hai. Huyo ndiye Mungu!
 
Alivyoshambuliwa kwa maelekezo zile risasi 38 huku jeshi la Polisi likikataza hata kumuombea dua ulikuwa uko wapi ?
Risasi, risasi mpaka lini? unapigwa risasi tukiwa watoto hadi tunapata umri wa kupiga kura, wewe bado unasimulia risasi! Kila siku kulia-lia tu! Mbona Ulimboka hatusikii akilia-lia na mkasa wa kutaka kuuwawa? Mandela je?

Hao ndo wakomavu! Hakuna kusimulia mambo ya kifungo, ni uimara wa akili na kuwa President. Hiyo akili ya Lissu ya kutaja risasi kila siku kwa miaka ya uhai wake haituoneshi uimara wa akili anayestahili kuwa President. Yeye ni mtu wa mitaani tu, akitafuta kulipiza kisasi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…