SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,758
Mkanye mumeo,shauri yake tutamfanya kitu mbayaunafikiri wote tumeolewa ka wewe?? Jiti la jicho limekuingia ndo mana povu
Mkanye mumeo,shauri yake tutamfanya kitu mbayaunafikiri wote tumeolewa ka wewe?? Jiti la jicho limekuingia ndo mana povu
Mkuu,Popote ulipo mwenyekiti wa chama.
Tunakufikishia salamu hizi sisi Watanzania tusio na chama na wanachama wa CHADEMA.
Mwambie Tundu Lissu akae kimya wakati huu, aache tabia za kuropoka ropoka na kujibishana asiye jibishane naye.
Mwambie kwenye msiba tamaduni zetu ni kuungana na kua wamoja huo utofauti anaoulazimisha utazidi kumuumbua na kukiumbua chama chenu.
Mwambie hata kama ana uchungu na kisasi kwa yale aliyofanyiwa mwambie kwa nafasi yake hastahili kufanya anayoyafanya labda kama hana mpango wakugombea.
Mwambie anaharibu image ya chama, kama anajua hatarudi wala kugombea mwambie anawaponza wenzake. Mbona wewe (Mbowe) hupost post au anadhani huna bando au smartphone?
Mwambie au mumkanye adharani au mumfute uanachama. Tundu Lissu behave like gentleman.
Ukweli upi? hatima ya mtu haipo mikononi mwa binadamu wenzake JPM mwenyewe hakujua Kama angekua Rais refer speech zake uliwaza one day Samia atakua Rais? usijipe uungu mtu imagine JK, Nyerere, Mkapa enzi zao walishindwa kumuweka mtu wanao mtaka wao who are you to judge?ukwel utabaki kuwa ukwel kma huamini subiri muda
Huyu mtu ame-cross red line zamani sana.Kwa kushirikiana na maadui zetu kutu-sabotage kwa kila hali,he deserves an extremely harsh action.Mimi naishangaa serikali yetu sana,sio mtu wa kuvimiliwa kabisa huyu.Popote ulipo mwenyekiti wa chama.
Tunakufikishia salamu hizi sisi Watanzania tusio na chama na wanachama wa CHADEMA.
Mwambie Tundu Lissu akae kimya wakati huu, aache tabia za kuropoka ropoka na kujibishana asiye jibishane naye.
Mwambie kwenye msiba tamaduni zetu ni kuungana na kua wamoja huo utofauti anaoulazimisha utazidi kumuumbua na kukiumbua chama chenu.
Mwambie hata kama ana uchungu na kisasi kwa yale aliyofanyiwa mwambie kwa nafasi yake hastahili kufanya anayoyafanya labda kama hana mpango wakugombea.
Mwambie anaharibu image ya chama, kama anajua hatarudi wala kugombea mwambie anawaponza wenzake. Mbona wewe (Mbowe) hupost post au anadhani huna bando au smartphone?
Mwambie au mumkanye adharani au mumfute uanachama. Tundu Lissu behave like gentleman.
sema mume wetu maninaaaaMkanye mumeo,shauri yake tutamfanya kitu mbaya
kama umenielewa si inatosha au unasemaje ndugu yangu??Mkuu,
Nawe ni Mdumisha Kiswahili kama 'Mwendazake' ee?
'Tundu Lissu behave like gentleman' ndio nini?
Si ungeongea Kiswahili tu
nikweli sema kwenye harsh action hapana kuna namna ya kudeal nae tuuHuyu mtu ame-cross red line zamani sana.Kwa kushirikiana na maadui zetu kutu-sabotage kwa kila hali,he deserves an extremely harsh action.Mimi naishangaa serikali yetu sana,sio mtu wa kuvimiliwa kabisa huyu.
"Tamaduni zenu?"
My foot.. Hizo tamaduni zenu za kijinga na za kishirikina, ni mbaya, ni chafu. Kaeni nazo menyewe. Zinapaswa kuvunjwa haraka.
Mimi nasema hivi;
Tundu Lissu endelea kusema kila lililo muhimu kwa Tanzania na ulimwengu kusikia.
Nasema Kikristo chako kina matege mkuu.kama umenielewa si inatosha au unasemaje ndugu yangu??
naona kikristo chako kilivyo nyooka kishafika mbinguni sio??Nasema Kikristo chako kina matege mkuu.
mwambie apunguze mihemko anaharibuDah....nimesoma mabandiko yote ya mh Rais mtarajiwa Tundu Lissu.....nimeangalia video zote.....sijaona popote pale alipokosea...nadhani wengi humu tunasumbuliwa na wivu tu.....mwacheni Rais wetu aendelee kukamua
Sent using Jamii Forums mobile app
we huioni ??
Hapo umezidishanaona kikristo chako kilivyo nyooka kishafika mbinguni sio??