Mbowe, mkanye Lissu

Popote ulipo mwenyekiti wa chama.

Tunakufikishia salamu hizi sisi Watanzania tusio na chama na wanachama wa CHADEMA.

Mwambie Tundu Lissu akae kimya wakati huu, aache tabia za kuropoka ropoka na kujibishana asiye jibishane naye.

Mwambie kwenye msiba tamaduni zetu ni kuungana na kua wamoja huo utofauti anaoulazimisha utazidi kumuumbua na kukiumbua chama chenu.

Mwambie hata kama ana uchungu na kisasi kwa yale aliyofanyiwa mwambie kwa nafasi yake hastahili kufanya anayoyafanya labda kama hana mpango wakugombea.

Mwambie anaharibu image ya chama, kama anajua hatarudi wala kugombea mwambie anawaponza wenzake. Mbona wewe (Mbowe) hupost post au anadhani huna bando au smartphone?

Mwambie au mumkanye adharani au mumfute uanachama. Tundu Lissu behave like gentleman.
Mkuu,
Nawe ni Mdumisha Kiswahili kama 'Mwendazake' ee?
'Tundu Lissu behave like gentleman' ndio nini?

Si ungeongea Kiswahili tu:D
 
ukwel utabaki kuwa ukwel kma huamini subiri muda
Ukweli upi? hatima ya mtu haipo mikononi mwa binadamu wenzake JPM mwenyewe hakujua Kama angekua Rais refer speech zake uliwaza one day Samia atakua Rais? usijipe uungu mtu imagine JK, Nyerere, Mkapa enzi zao walishindwa kumuweka mtu wanao mtaka wao who are you to judge?
 
Popote ulipo mwenyekiti wa chama.

Tunakufikishia salamu hizi sisi Watanzania tusio na chama na wanachama wa CHADEMA.

Mwambie Tundu Lissu akae kimya wakati huu, aache tabia za kuropoka ropoka na kujibishana asiye jibishane naye.

Mwambie kwenye msiba tamaduni zetu ni kuungana na kua wamoja huo utofauti anaoulazimisha utazidi kumuumbua na kukiumbua chama chenu.

Mwambie hata kama ana uchungu na kisasi kwa yale aliyofanyiwa mwambie kwa nafasi yake hastahili kufanya anayoyafanya labda kama hana mpango wakugombea.

Mwambie anaharibu image ya chama, kama anajua hatarudi wala kugombea mwambie anawaponza wenzake. Mbona wewe (Mbowe) hupost post au anadhani huna bando au smartphone?

Mwambie au mumkanye adharani au mumfute uanachama. Tundu Lissu behave like gentleman.
Huyu mtu ame-cross red line zamani sana.Kwa kushirikiana na maadui zetu kutu-sabotage kwa kila hali,he deserves an extremely harsh action.Mimi naishangaa serikali yetu sana,sio mtu wa kuvimiliwa kabisa huyu.
 
Huyu mtu ame-cross red line zamani sana.Kwa kushirikiana na maadui zetu kutu-sabotage kwa kila hali,he deserves an extremely harsh action.Mimi naishangaa serikali yetu sana,sio mtu wa kuvimiliwa kabisa huyu.
nikweli sema kwenye harsh action hapana kuna namna ya kudeal nae tuu
 
"Tamaduni zenu?"

My foot.. Hizo tamaduni zenu za kijinga na za kishirikina, ni mbaya, ni chafu. Kaeni nazo menyewe. Zinapaswa kuvunjwa haraka.

Mimi nasema hivi;

Tundu Lissu endelea kusema kila lililo muhimu kwa Tanzania na ulimwengu kusikia.

Shida ni kama anayozungumza ni kwa manufaa ya Taifa. Anaonekana ni hisia zake tu.
 
Huyu bingwa CHAUROPOKAJI sidhani kama anaweza kukanywa na FAM.
Inasemekana kama anaweza kuwa tatizo katika sehemu fulani ya ubongo.
Kwa mtu mwenye akili timamu angeweza kuwa amejifunza kitu wakati wa kuaga mwili wa Hayati JPM. Kwa umati ule ni wazi kwamba JPM alikuwa anapendwa sana wananchi wake. Kwa hiyo, yeyote anayekuwa kinyume na JPM anakuwa pia kinyume na mamilioni ya Watanzania wanaomkubali.
 
Back
Top Bottom