Mbowe mgeni rasmi uzinduzi wa kampeni za CDM arumeru

nasikitika lakini nadhan napaswa kukiri kwamba mh raisi aliogopa kuzungumza na hao wazee kwa kuogopa kufunikwa na kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani,jaribu kufikiri leo Raisi angeongea bila shaka kama kwaida hotuba isiyo na matumaini wala mamlaka halafu kesho yake vijana wa aina ya chadema unategemea ni hotuba ipi ingekubaliwa na umma? ,TISS hapa wamefanya vizuri wamesoma alama za nyakati.
 
Hotuba yake isiwe ya kulalamika atoe kweli suluhisho la matatizo ili tusio na vyama atuvutie.Naamini atajitahidi kutoa sera zaidi zenye mvuto vinginevyo iwapo atatoa malalamiko tu atakuwa amewaboa watu.
kwa Aikael wala usipate shida tatizo lako limekwisha tatizo angekuwa dk. Shotgun ndio michosho.
 
Ni upotezaji tu wa pesa hata kanuni za kutafuta soko zinataka kampeni ya kutafuta wateja ulenge wateja husika.Uchaguzi unafanyika arumeru unahutubia taifa hiki nini nini kama si kupoteza pesa tu ilibidi Chadema ilenge Arumeru tu.

Pili nakumbuka niliwahi kukutana na Kiongozi mmoja mwandamizi wa CCM mahali nikamuuliza kwa nini CCM waligoma Mgombea Uraisi wa CCM asifanye mdahalo na wagombea uraisi wengine kwenye TV ili watu wawapime na wawahoji lakasema uzoefu wake wa kisiasa watu wenye TV ni watu wenye maisha mazuri (MAISHA BORA YALISHAWAFIKIA) na wengi wao huwa hawaendi kupiga kura. Hawapendi kushinda juani kwenye mistari kusubiri wapige kura hivyo si kundi kubwa la kuaminika la kukusaidia ushinde akasema sisi tunaenda vijijini ma-tv tunawaachia vyama vya upinzani wanaozura mijini na matajiri wao na wasomi wao wasiopiga kura wanaowalenga.Hatuwezi kumwanika mgombea wetu kwenye TV ashambuliwe na maprofesa na wasomi wachache walioshiba wanaoishi kwenye nyumba zenye A/C ,Feni na TV ambao kazi yao kuzomea au kushangilia wakiwa kweye sofa set za nguvu lakini kwenye kura hawaendi.Akasema CCM wako makini kutumia pesa kwenye kampeni.Hawaendi kwenye huo mdahalo usio na Tija wanawaachia akina Profesa Lipumba na wagombea uraisi wa upinzani wengine ambao ndio wanaanza kujifunza siasa.

Arumeru wenye TV na radio na muda wa kusikiliza hizo TV na Radio majumbani ni wachache mno na hawana muda kufuatana na aina ya maisha ya watu wa Arumeru.Ni upotezaji tu wa hela.Anyway ngoja tusikilize hiyo hotuba kwa Taifa badala ya hotuba kwa Arumeru.

Yaelekea siasa za Tanganyika wewe huzijui
na wala hutaki kuzijua

Hii ni strategy sio wanataka ujumbe uwafikia sio wapiga kura wa Arumeru tu wanataka ufike Mtwara, Mwanza, kigoma, kagera moshi singida ili wajue time ya ukombozi imewadia,

Kwani mpangaji wa magogoni anavyongea na WAZEE WA BONGO si wanawakilisha watanganyika wote???????
 
Yaelekea siasa za Tanganyika wewe huzijui
na wala hutaki kuzijua

Hii ni strategy sio wanataka ujumbe uwafikia sio wapiga kura wa Arumeru tu wanataka ufike Mtwara, Mwanza, kigoma, kagera moshi singida ili wajue time ya ukombozi imewadia,

Kwani mpangaji wa magogoni anavyongea na WAZEE WA BONGO si wanawakilisha watanganyika wote???????

Yeyote aliyeshauri hii strategy kampotosha Mwenyekiti wa Chadema.Mikoa hiyo uliyotaja hawapigi kura target market ni Arumeru.Kwa sasa kinachotafutwa ni kura siyo umaarufu mwisho wa mchezo ni magoli siyo vinginevyo.

Nchi yetu ina matatizo ya washauri wazuri kuanzia serikalini hadi kwenye vyama vya upinzani.

With due respect kwako narudia tena strategy hiyo haiko sahihi.Na aliyemshauri mwenyekiti wa Chadema Kampotosha haitaleta matokeo tarajiwa.Kwani matokeo ni kutaka kupata kura nyingi Arumeru au kushangiliwa nchi nzima kuwa katoa hotuba ya kihistoria Arumeru? Misifa haina tija kinatakiwa kura zipatikane Arumeru.ok mnaweza bisha ila CHADEMA ikishindwa ijue moja ya sababu ni hii wametumia wrong strategy.
 
Ni upotezaji tu wa pesa hata kanuni za kutafuta soko zinataka kampeni ya kutafuta wateja ulenge wateja husika.Uchaguzi unafanyika arumeru unahutubia taifa hiki nini nini kama si kupoteza pesa tu ilibidi Chadema ilenge Arumeru tu.

Pili nakumbuka niliwahi kukutana na Kiongozi mmoja mwandamizi wa CCM mahali nikamuuliza kwa nini CCM waligoma Mgombea Uraisi wa CCM asifanye mdahalo na wagombea uraisi wengine kwenye TV ili watu wawapime na wawahoji lakasema uzoefu wake wa kisiasa watu wenye TV ni watu wenye maisha mazuri (MAISHA BORA YALISHAWAFIKIA) na wengi wao huwa hawaendi kupiga kura. Hawapendi kushinda juani kwenye mistari kusubiri wapige kura hivyo si kundi kubwa la kuaminika la kukusaidia ushinde akasema sisi tunaenda vijijini ma-tv tunawaachia vyama vya upinzani wanaozura mijini na matajiri wao na wasomi wao wasiopiga kura wanaowalenga.Hatuwezi kumwanika mgombea wetu kwenye TV ashambuliwe na maprofesa na wasomi wachache walioshiba wanaoishi kwenye nyumba zenye A/C ,Feni na TV ambao kazi yao kuzomea au kushangilia wakiwa kweye sofa set za nguvu lakini kwenye kura hawaendi.Akasema CCM wako makini kutumia pesa kwenye kampeni.Hawaendi kwenye huo mdahalo usio na Tija wanawaachia akina Profesa Lipumba na wagombea uraisi wa upinzani wengine ambao ndio wanaanza kujifunza siasa.

Arumeru wenye TV na radio na muda wa kusikiliza hizo TV na Radio majumbani ni wachache mno na hawana muda kufuatana na aina ya maisha ya watu wa Arumeru.Ni upotezaji tu wa hela.Anyway ngoja tusikilize hiyo hotuba kwa Taifa badala ya hotuba kwa Arumeru.


Umejitahidi kueleza mkuu,
But me napata shida, hivi una uhakika na kuwa wale wasioangalia TV wanaikobali CCM? rejea uchaguzi mkuu 2010 hasa Mbulu, Maswa, Kigoma nk
Hivi mbona kwa matajiri na wasomi wamechagua CCM, na hawajawazomea: Refer matokeo ya Uchaguzi 2010 pia
Suala la rushwa wakati wa kura za maoni CCM kumpata mgombea ubunge, ni la Arumeru au ni tatizo la Kitaifa?
Umaskini na matatizo ya watanzania kwani hayafanani na ya wale wa Meru?
Najaribu kutafakari tu, ili nione kama Mh. Mbowe kulihutubia Taifa kupita kampeni za Arumeru ni upotevu wapesa!
Mbona mkuu wa kaya anawahutubia wazee wa CCM wa Dar, kuhusu masuala ya kitaifa, au yeye yuko sahihi hapa!
 
Zingekuwa zimepangwa sambamba na mkuu wa kaya sidhani kama kuna mtu angeangalia na kusikiliza ya mkuu wa kaya..Kamanda kesho nitakuwa mbele ya screen yangu mapema mno. Na nashauri utaratibu huu uwe unafanyika kila mwisho wa mwezo..tumechoka kusikiliza hotuba za mtu asiye na tija.

Ha ha waliomchoka rais wao wanajulikana ni akina misri, tunisya na libya na siyo sisi waTz
 
katika Uzinduzi wa kampeni za uchaguzi jimbo la Arumeru Mhe Mwenyekiti wa CHADEMA (T), KIONGOZI WA UPINZANI BUNGENI Freeman Mbowe (MB) atahutubia TAIFA-WATANZANIA.

Hotuba hiyo itarushwa LIVE na STAR TV, RADIO Sunrsie na RADIO MJ katika siku ya uzinduzi wa kampeni za uchaguzi arumeru mashariki TAREHE 10 MACHI 2012 katika mji mdogo wa USA RIVER.

Watanzania WOTE WATUNE STAR TV kusikiliza hotuba hiyo yenye mustakabali wa TAIFA LETU na yumkini yenye majibu ya MASUALA MENGI YA WATANZANIA.
hivi mbowe ni nani vile? huku kwetu hata hatumjui vizuri kwani hatuone anasehemu gani kwenye maisha yetu. he is just a mbunge wa huko kwao siha. Nasi tuna mbunge wetu.
 
Zingekuwa zimepangwa sambamba na mkuu wa kaya sidhani kama kuna mtu angeangalia na kusikiliza ya mkuu wa kaya..Kamanda kesho nitakuwa mbele ya screen yangu mapema mno. Na nashauri utaratibu huu uwe unafanyika kila mwisho wa mwezo..tumechoka kusikiliza hotuba za mtu asiye na tija.
hivi kuna uhusiano wowote wa kuahirisha mazungumzo ya mzee wa msoga na wazee wa ubwabwa leo iwe kesho kwa kusudi la kuingilia hotuba ya kamanda wa jeshi la ang???? najiuliza kwann aahirishe leo? au mambo ya sangoma??????????
 
hawa jamaa walivyokuwa na hira kesho watakata umeme ili tusipate vitu live. hapo ni kujipanga na umeme wa asili (kinyesi), tena ngoja niende muda huu nikaseti kabisa hili jambo la kesho si la kukosa kabisa.
 
hivi kuna uhusiano wowote wa kuahirisha mazungumzo ya mzee wa msoga na wazee wa ubwabwa leo iwe kesho kwa kusudi la kuingilia hotuba ya kamanda wa jeshi la ang???? najiuliza kwann aahirishe leo? au mambo ya sangoma??????????
Anataka aisubiri ya kamanda aigilizie.
 
ni upotezaji tu wa pesa hata kanuni za kutafuta soko zinataka kampeni ya kutafuta wateja ulenge wateja husika.uchaguzi unafanyika arumeru unahutubia taifa hiki nini nini kama si kupoteza pesa tu ilibidi chadema ilenge arumeru tu.

Pili nakumbuka niliwahi kukutana na kiongozi mmoja mwanamizi wa ccm mahali nikamuuliza kwa nini ccm waligoma mgombea uraisi wa ccm asifanye mdahalo na wagombea uraisi wengine kwenye tv ili watu wawapime na wawahoji live akasema uzoefu wake wa kisiasa watu wenye tv ni watu wenye maisha mazuri na wengi wao huwa hawaendi kupiga kura. Hawapendi kushinda juani kwenye mistari kusubiri wapige kura hivyo si kundi kubwa la maana la kukusaidia ushinde akasema sisi tunaenda vijijini ma-tv tunawaachia vyama vya upinzani wanaozura mijini na matajiri wao wasiopiga kura wanaowalenga.hatuwezi kumwanika mgombea wetu kwenye tv ashambuliwe na maprofesa na wasomi wachache walioshiba wenye nyumba zenye a/c ,feni na tv ambao kazi yao kuzomea au kushangilia lakini kwenye kura hawaendi.akasema ccm wako makini kutumia pesa kwenye kampeni.

Arumeru wenye tv na radio na muda wa kusikiliza hizo tv na radio majumbani ni wachache mubia mkutananono na hawana muda kufuatana na aina ya maisha ya watu wa arumeru.ni upotezaji tu wa hela.anyway ngoja tusikilize hiyo hotuba kwa taifa badala ya hotuba kwa arumeru.

kwani akihutubia mkutano wa hadhara huko arumeru media zikatufikishia hata sie tusiokuwa arumeru taabu iko wapi? Chadema ni chama cha kitaifa hivyo tunahitaji kujua maendeleo yake muda wote. Kama we hutaki si neno lakini huwezi kutufanya wote tuwe kama wewe.
 
katika Uzinduzi wa kampeni za uchaguzi jimbo la Arumeru Mhe Mwenyekiti wa CHADEMA (T), KIONGOZI WA UPINZANI BUNGENI Freeman Mbowe (MB) atahutubia TAIFA-WATANZANIA.

Hotuba hiyo itarushwa LIVE na STAR TV, RADIO Sunrsie na RADIO MJ katika siku ya uzinduzi wa kampeni za uchaguzi arumeru mashariki TAREHE 10 MACHI 2012 katika mji mdogo wa USA RIVER.

Watanzania WOTE WATUNE STAR TV kusikiliza hotuba hiyo yenye mustakabali wa TAIFA LETU na yumkini yenye majibu ya MASUALA MENGI YA WATANZANIA.

Labda uwe kichaa ndio unaweza kumsikiliza huyu jamaa ! huwana hana point kabisa

 
katika Uzinduzi wa kampeni za uchaguzi jimbo la Arumeru Mhe Mwenyekiti wa CHADEMA (T), KIONGOZI WA UPINZANI BUNGENI Freeman Mbowe (MB) atahutubia TAIFA-WATANZANIA.

Hotuba hiyo itarushwa LIVE na STAR TV, RADIO Sunrsie na RADIO MJ katika siku ya uzinduzi wa kampeni za uchaguzi arumeru mashariki TAREHE 10 MACHI 2012 katika mji mdogo wa USA RIVER.

Watanzania WOTE WATUNE STAR TV kusikiliza hotuba hiyo yenye mustakabali wa TAIFA LETU na yumkini yenye majibu ya MASUALA MENGI YA WATANZANIA.

Ni confirmed CDM kwa sasa haina hela na inatembeza bakuli km matonya kwa ajili ya kampeni za arumeru, je nikusema Sabodo ameisha wapiga tafu ?

 
hawa jamaa walivyokuwa na hira kesho watakata umeme ili tusipate vitu live. hapo ni kujipanga na umeme wa asili (kinyesi), tena ngoja niende muda huu nikaseti kabisa hili jambo la kesho si la kukosa kabisa.

labda wavuruge na system na serve za JF hapo watakua wametukomoa, lhata kama watakata umeme sio ishu
 
Ni upotezaji tu wa pesa hata kanuni za kutafuta soko zinataka kampeni ya kutafuta wateja ulenge wateja husika.Uchaguzi unafanyika arumeru unahutubia taifa hiki nini nini kama si kupoteza pesa tu ilibidi Chadema ilenge Arumeru tu.

Pili nakumbuka niliwahi kukutana na Kiongozi mmoja mwanamizi wa CCM mahali nikamuuliza kwa nini CCM waligoma Mgombea Uraisi wa CCM asifanye mdahalo na wagombea uraisi wengine kwenye TV ili watu wawapime na wawahoji live akasema uzoefu wake wa kisiasa watu wenye TV ni watu wenye maisha mazuri na wengi wao huwa hawaendi kupiga kura. Hawapendi kushinda juani kwenye mistari kusubiri wapige kura hivyo si kundi kubwa la maana la kukusaidia ushinde akasema sisi tunaenda vijijini ma-tv tunawaachia vyama vya upinzani wanaozura mijini na matajiri wao wasiopiga kura wanaowalenga.Hatuwezi kumwanika mgombea wetu kwenye TV ashambuliwe na maprofesa na wasomi wachache walioshiba wenye nyumba zenye A/C ,Feni na TV ambao kazi yao kuzomea au kushangilia lakini kwenye kura hawaendi.Akasema CCM wako makini kutumia pesa kwenye kampeni.

Arumeru wenye TV na radio na muda wa kusikiliza hizo TV na Radio majumbani ni wachache mno na hawana muda kufuatana na aina ya maisha ya watu wa Arumeru.Ni upotezaji tu wa hela.Anyway ngoja tusikilize hiyo hotuba kwa Taifa badala ya hotuba kwa Arumeru.

Sitegemei hii kauli itolewe na mtu anayeishi karne ya 21 ni ajabu na kweli..hivi CDM wamesema baada ya hapo hawataenda vijijini? au baada ya hapo hawatafanya kampeni tena? Kumbuka hii strategy ya kuua ndege wawili kwa jiwe moja mkuu..Arumeru tutakuwa live lakini watanzania wengine wataendelea kutupata kupitia TV zao hasa wale wanaoishi nje ya Arusha au hata wa Arusha lakini hawawezi pata nafasi ya kuja kwenye mkutano.
 
Back
Top Bottom