Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 70,985
- 93,997
Jamani msishangae kutukanwa,kukejeliwa na kushambuliwa pale utakaposema ukweli kuhusu chadema na viongozi wake, wanaofanya kazi hiyo ni vijana wa chadema wasiojitambua wako pale makao makuu ni kikosi kazi kinaongozwa na Mnyika hawa vijana wanapewa Posho kwa kazi ya kuitetea chadema na kuisemea mazuri mitandaoni wakati huo huo wanaishambulia CCM na serikali yale lendo kuui kuidhoofisha kwa wananchi ili waichukie na kuja kuipa madaraka ya utawla chadema yani wanapandikiza chuki kwa wananchi dhidi ya CCM na serikali yake usifikiri wako vijana wengi hapana ni vijana wachache wanejisajili kwa IDs tofauti tofauti hiyo ndiyo chadema yenye mikakati michafu ya kushika dola ukionganisha na ule mkakati wa kushawishi,kudhamini na kuchochea migomo na fujo zote hapa nchini kwa Madaktari,Wanafunzi vyuoni na walimu! SHAME ON U CHADEMA Kwa mbinu chafu zinazoumiza watanzania!
just one question bro,
mie sio mshabiki, mwanachama au kada wa chama chochote, ila nina maswali haya kwako:
1. Ni chama gani kinapaswa kusifiwa au kupondwa kutokana na hali ya nchi(kiuchumi) ilivyo sasa?
2. Je ni dhambi kuisema vibaya CCM hata kama yanayosemwa yana mantiki?
Ushauri, jaribu kuweka itikadi pembeni, halafu tathimini kidogo kama hali ya kila Mtanzania kimaisha inaridhisha.