Mkwanzania
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,130
- 4,292
Mimi sijaona threat yoyote kwenye hiyo memo hata kama ni kweli imeandikwa na KUB, kwenye siasa ni jambo la kawaida sana watu kuwa na malumbano kama haya.
Kwenye ushindani wowote wa siasa duniani hivi ni vitu vya kawaida ni lazima watanzania tuamke na tusijione kama peculiar case kwenye siasa. Huu unafiki wa amani na utulivu ndio unaotuondolea utulivu.
Kwenye ushindani wowote wa siasa duniani hivi ni vitu vya kawaida ni lazima watanzania tuamke na tusijione kama peculiar case kwenye siasa. Huu unafiki wa amani na utulivu ndio unaotuondolea utulivu.