Mwanaukweli
JF-Expert Member
- May 18, 2007
- 4,786
- 1,710
Katika mkutano huo kulikuwa na watu wengi wanapiga video kutoka pande mbalimbali.Viko wazi kiasi gani? au unadhani kesi inaendeshwa kwa mawazo ya mtu mmoja tu mkuu? tena Dj?
Amesema ana ushahidi wa video. Ametamka hadharani na atawajibika kuutoa ushahidi huo. Na yeye ni mtu mzima anaelewa matokeo ya kudanganya katika suala kubwa kama hilo, endapo kauli aliyotoa si ya kweli.
Kama amedanganya bila shaka atachukuliwa hatua kali kwa hiyo kulumbana hapa juu ya kauli yake haisaidii. Yeye ndiye angepaswa kuogopa wala si mimi au wewe au mwingine yeyote.
Wewe na mimi hatujui ushahidi alio nao.
Tuwe na subira.