Ukitazama watia nia wote katika majimbo Tanzania bars kwa tiketi ya CDM 70% ni wachaga. Hakuna ufisadi makubwa Kama huu. Na mwenyekiti ameshindwa kuukemea.Salama ya CDM ni Dr. Slaa kuwa katibu mkuu wa chama. Nje yahapo chadema kingebaki kuwa chama cha mlima mweupe Tanzania.
Hata serikali sasa zingine inalegalega kutokana na hujuma zinazofanywa na wafuasi wa CDM waliopo serikalini. Je upinzani wazipataje hizi siri kama siyiokuvujishwa na walioko ndani wasiyoitakia mema serikali?
Ifahamike kuwa ACT uko juu na itakuwa na wabunge wengi kuliko CDM na CUF Rafiki wakubwa wa chama tawala watasimama tena nakuwa mwamba katika siasa za upinzani Tanzania.
Tusubiri tuone october
Hata serikali sasa zingine inalegalega kutokana na hujuma zinazofanywa na wafuasi wa CDM waliopo serikalini. Je upinzani wazipataje hizi siri kama siyiokuvujishwa na walioko ndani wasiyoitakia mema serikali?
Ifahamike kuwa ACT uko juu na itakuwa na wabunge wengi kuliko CDM na CUF Rafiki wakubwa wa chama tawala watasimama tena nakuwa mwamba katika siasa za upinzani Tanzania.
Tusubiri tuone october