ISMAIL MKIMBIZI
Senior Member
- Jan 13, 2013
- 192
- 23
Samahani Ndugu Wadau wa Jf kamera yangu inasoma tarehe tofauti na jana lakini tukio ni la jana ni kosa la kiufundi nisameheni sana najuta kutokuwa makini kwa hilo.
Kamanda wa Vijana (Katibu BAVICHA Kasulu) Kamanda Masooud Bigangika (Mwenye SUTI NYEUSI)akiwa pamoja na Mwl Kaijage Katibu Mwenezi CHADEMA Kasulu wakikagua eneo la Ndege ya Viongozi wa CHADEMA iView attachment 107902View attachment 107902takapotua.
Huyo ASP anaonekana mwelewa, tofauti na the Shilogiles.Kamanda wa Vijana (Katibu BAVICHA Kasulu) Kamanda Masooud Bigangika (Mwenye SUTI NYEUSI)akiwa pamoja na Mwl Kaijage Katibu Mwenezi CHADEMA Kasulu wakikagua eneo la Ndege ya Viongozi wa CHADEMA iView attachment 107902View attachment 107902takapotua.
Muulize Fast jet wako sasa hivi ni nini kilichobaki hakijauzwa!! tunadanganywa anaenda kutafuta misaada kumbe anaenda kunadia raslimali zetu!!Watu wanashangilia tu, hizo pesa za kukusanya maoni wakati mnajua tayari tume iko equipped kwa kila kitu ikowemo fedha, zinatoka wapi, shangilia tu utakuja kulipa, we are going to finance you in return you will give us some.......................... ... At .................... Once you get...............," cdm reply " you shouldn`t worry reagarding that issue, not only .................. But also we will provide you with .............. At .....................