Acha Unafiki Dogo! Huku kwetu waislamu wan apita kila kukicha kuomba misaaada ya kujenga msikiti. tunatoa bila kujali dini zetu, wala vyama vyetu! Maana waislamu hawana kitu, hela yao wanatumiamia kuoa wake wenza na kutafunia gomba!Uislam unakataza kutoa kitu/msaada hadharani na kwa majigambo. Unasisitiza unapotoa kwa mkono wa kulia basi ule wa kushoto usione.
Sasa nashangaa kusikia harambee ya kujenga msikiti.
Labda mnijuze ni msikiti wa Kisiasa?
Kweli "ukipenda chongo utasema kengeza" wale waliomtoa Gadaffi kwenye drainage pipe hakiwa hai na kumua walikuwa ni NATO?Naona kwa hakika hujui usemalo, kwani Gadaffy kamdhulumu nani? Labda kawadhulumu wamerakani na wenzake wa NATO kwa kuwazuia wasijichotee mafuta ya Libya kama wanavyofukua dhahabu yetu hapa bongo na kutuachia chengachenga na mishimo! Gadaffy alidhibiti mafuta ya Libya kwa 100% ndio maana wananchi wake walineemeka, kilichozidi alisaidia kwenye nchi maskini za Afrika, hakuondolewa na wananchi wake bali kwa nguvu za NATO na vibaraka. Kama ni misaada inayotokana na mabavu na dhuluma ni ile inayotoka nchi za magharibi wanaotunyonya rasilimali zetu kisha wanajidai kutusanifu na misaada ya masharti ya kulawitiana! Mh Mbowe kusaidia ujenzi wa Msikiti jimboni mwake ni sahihi kwani wananchi wa jimbo lake waliomchagua ni wa dini mbalimbali wakiwemo Waislamu, hata Baba wa Taifa kule Butiama alijenga msikiti wa kisasa.
Gadaffi alitoa pesa kwa mbwembwe nyingi akajenga msikiti pale dodoma bila shaka msikiti ule akaupatia jina lake mwenyewe (msikiti wa gadaffi) ili aendelee kutambulika na kujulikana kote duniani kwamba amejenga msikiti
tujuze ule msikiti wanaoswali ni walibya?
Uislam unakataza kutoa kitu/msaada hadharani na kwa majigambo. Unasisitiza unapotoa kwa mkono wa kulia basi ule wa kushoto usione.
Sasa nashangaa kusikia harambee ya kujenga msikiti.
Labda mnijuze ni msikiti wa Kisiasa?
Kumbuka hakuitisha harambee bali alijenga kwa mapenzi yake mara baada ya kupokea maombi ya wakazi wa pale.
Suala langu nihiyo harambee. Inakuwaje?
Mbowe anasherehekea siku yake ya 'kubatizwa' kwa kujenga Msikiti. Kama ulivyosema ni kweli, Msikiti wa kisiasa.Kumbuka hakuitisha harambee bali alijenga kwa mapenzi yake mara baada ya kupokea maombi ya wakazi wa pale.
Suala langu nihiyo harambee. Inakuwaje?
Uislam unakataza kutoa kitu/msaada hadharani na kwa majigambo. Unasisitiza unapotoa kwa mkono wa kulia basi ule wa kushoto usione.
Sasa nashangaa kusikia harambee ya kujenga msikiti.
Labda mnijuze ni msikiti wa Kisiasa?
Usituletee porojo za vigengeni. Tupe ushahidi kuwa Waislam wa Hai walipanga leo kuchangishana na kumuomba Mbowe awajengee Msikiti kama sio sherehe za 'kubatizwa' kwake Mbowe.nashindwa kutofautisha kati ya hii mifano ya misikiti ya dodoma na hai.
waislam wa dodoma walimwomba gadaffi awasaidie kujenga msikiti, akajenga and it became pulic knowledge
waislam wa hai wamemwomba mbowe a-grace tamasha walioliandaa wao wenyewe (waislam) kuchangia msikiti, amekubali na msikiti utajengwa inshallah.
so, what's fnckiug diferrence?
Gadaffi alitoa pesa kwa mbwembwe nyingi akajenga msikiti pale dodoma bila shaka msikiti ule akaupatia jina lake mwenyewe (msikiti wa gadaffi) ili aendelee kutambulika na kujulikana kote duniani kwamba amejenga msikiti
tujuze ule msikiti wanaoswali ni walibya?
Nadhani uislam wa Hai ni tofauti na kwenu! wao ndio wamempa mwaliko Mh. Mbowe awe mgeni rasmi kwenye harambee ya kuchangia ujenzi wa msikiti wao! kama kwenu hamruhusu hiyo basi waislam wa Hai hawana tatizo nalo!
JAMANI JAMANI...Kupinga kila kitu sio Ujanja! tuache Ushabiki wa Kisiasa...,Mbowe anajitolea kufanya harambee ya msikiti...! kwakuwa yeye ni mbunge na anaitumikia Jamii na Umma kwanini jambo lisiwekwe hadharani...,Sijackia Majigambo yeyote ambayo Mbowe Amefanya! Zaidi tu Mshaanza Majungu
Usituletee porojo za vigengeni. Tupe ushahidi kuwa Waislam wa Hai walipanga leo kuchangishana na kumuomba Mbowe awajengee Msikiti kama sio sherehe za 'kubatizwa' kwake Mbowe.
Mbowe anasherehekea siku yake ya 'kubatizwa' kwa kujenga Msikiti. Kama ulivyosema ni kweli, Msikiti wa kisiasa.
Barubaru,
..kila mahali pana taratibu na mipangilio yake.
..binafsi sioni tatizo kwa Freeman Mbowe kuchangia ujenzi wa msikiti kwa siri-siri au mbele ya kadamnasi[in public].
Kwa kuutaka Urais hata nikisikia kasilim sitoshangaa. Ana uchu wa madaraka.