M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,203
- 23,020
Usituletee porojo za vigengeni. Tupe ushahidi kuwa Waislam wa Hai walipanga leo kuchangishana na kumuomba Mbowe awajengee Msikiti kama sio sherehe za 'kubatizwa' kwake Mbowe.
ungekuwa umesema cha maana kama ungetuthibitishia kuwa mbowe (asiye mwislamu) ndiye aliyeandaa tamasha la waislamu!
vinginevyo, common sense ina-apply!