Wamwalike na mh.ElKesho tar. 10 Desemba Mhe. Freeman Mbowe atazindua fundraising campaign kwa ajili ya ujenzi wa msikiti na kanisa la kisasa huko jimboni kwake Hai. Ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 50 ya kuzaliwa kwake.
Chanzo: EA Radio
Kesho tar. 10 Desemba Mhe. Freeman Mbowe atazindua fundraising campaign kwa ajili ya ujenzi wa msikiti na kanisa la kisasa huko jimboni kwake Hai. Ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 50 ya kuzaliwa kwake.
Chanzo: EA Radio
Uislam unakataza kutoa kitu/msaada hadharani na kwa majigambo. Unasisitiza unapotoa kwa mkono wa kulia basi ule wa kushoto usione.
Sasa nashangaa kusikia harambee ya kujenga msikiti.
Labda mnijuze ni msikiti wa Kisiasa?
Nadhani ni move nzuri kwa CDM dhidi ya propaganda za udini wanazozushiwa.
Safi sana!
Uislam unakataza kutoa kitu/msaada hadharani na kwa majigambo. Unasisitiza unapotoa kwa mkono wa kulia basi ule wa kushoto usione.
Sasa nashangaa kusikia harambee ya kujenga msikiti.
Labda mnijuze ni msikiti wa Kisiasa?
Ingekuwa ni move nzuri kama angewauliza waislamu wenzake katika chama chake taratibu za kutafuta rasilimali za ujenzi wa msikiti kwa taratibu za kiislamu, kuliko kutumia hizo njia zinazotumiwa na manaswara kujenga nyumba zao za ibada. Lengo si baya ila njia sio sahihi na inaweza kumletea matatizo na waislamu.
Jibu zuri na si Ghadafi tu kuna bahadhi ya waislamu wengi wanatoa ili wapate sifa, Mh Mbowe nakukubali kaza buti mwendo mdundo achana na hawa vizabizabina, mbona wao hawajatoa? na ndio wa kwanza kukimbia misikitini wakisikia wanaombwa michango, kama huyu barubaruGadaffi alitoa pesa kwa mbwembwe nyingi akajenga msikiti pale dodoma bila shaka msikiti ule akaupatia jina lake mwenyewe (msikiti wa gadaffi) ili aendelee kutambulika na kujulikana kote duniani kwamba amejenga msikiti
Hata kama je ni wabunge wangapi wamefanya hayo? bado mh Mbowe anastahili sifa kwa hili.at the best of my knowledge najua huu ni mpango wa ofisi ya mbunge, sio mpango wa CHADEMA.
at the best of my knowledge najua huu ni mpango wa ofisi ya mbunge, sio mpango wa CHADEMA.
Gadaffi alitoa pesa kwa mbwembwe nyingi akajenga msikiti pale dodoma bila shaka msikiti ule akaupatia jina lake mwenyewe (msikiti wa gadaffi) ili aendelee kutambulika na kujulikana kote duniani kwamba amejenga msikiti
tujuze ule msikiti wanaoswali ni walibya?
Kumbuka hakuitisha harambee bali alijenga kwa mapenzi yake mara baada ya kupokea maombi ya wakazi wa pale.
Suala langu nihiyo harambee. Inakuwaje?
Kwangu haibadilishi kitu iwe ni Mbowe, CDM au ofisi ya mbunge kuchangia ujenzi wa nyumba ya ibada hasa kwa waislamu kuna taratibu zake na ni wazi katika hili anayeitisha harambee jimboni kwa Mbowe hakushauriwa vizuri.
Uislam unakataza kutoa kitu/msaada hadharani na kwa majigambo. Unasisitiza unapotoa kwa mkono wa kulia basi ule wa kushoto usione.
Sasa nashangaa kusikia harambee ya kujenga msikiti.
Labda mnijuze ni msikiti wa Kisiasa?
hujanielewa, pesa ya Gadaffi ni ya udhalimu na ni rasilimali iliyochotwa nchini libya kimabavu still yet imejenga msikiti Tanzania,
funguka wewe