Mbowe kuwauzia UKAWA malori ya Kampeni

Mbowe kuwauzia UKAWA malori ya Kampeni

"Ccm wanatetemeka wanateaaateee wanatetemekAaa"

mpinga shetaaani anatetemeka,anateaateee anatetemeka

nae mods anatetemeka, anateaate anateyemeka

kufuta sreedi anatetemeka, anateeatee anatetemeka.
 
Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe anapiga dili za kichini chini ili awauzie UKAWA malori chakavu ya kufanyia kampeni.
Source... Mmoja wa wajumbe wa mkutano

Mbona ccm inaingia mikataba ya kidhulumati katika madini na gesi na bado umekaa kimya ,barabara sub standard ya mabasi yaendayo haraka BRT dar es salaam ina jengwa bado umekaa kimya hilo la mbowe ndiyo limekukuna, hivi wewe embu nikuulize kwanza umeolewa au umeshachumbiwa?
 
Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe anapiga dili za kichini chini ili awauzie UKAWA malori chakavu ya kufanyia kampeni.
Source... Mmoja wa wajumbe wa mkutano

Mungu wangu! Amerudia tena ufisadi ule ule wa 2010 na bado atawauzia na maspika mabovu! Lakini kwa kuwa wapenzi wa Mbowe ni sikio la kufa, ngoja uone watakavyoropoka!
 
Mbona ccm inaingia mikataba ya kidhulumati katika madini na gesi na bado umekaa kimya ,barabara sub standard ya mabasi yaendayo haraka BRT dar es salaam ina jengwa bado umekaa kimya hilo la mbowe ndiyo limekukuna, hivi wewe embu nikuulize kwanza umeolewa au umeshachumbiwa?
Si kila mtu anaolewa kama wewe.
 
Mbona ccm inaingia mikataba ya kidhulumati katika madini na gesi na bado umekaa kimya ,barabara sub standard ya mabasi yaendayo haraka BRT dar es salaam ina jengwa bado umekaa kimya hilo la mbowe ndiyo limekukuna, hivi wewe embu nikuulize kwanza umeolewa au umeshachumbiwa?
Acha kushabikia upumbavu wewe, kwa maana hiyo unasupport/unahalalisha kinachotaka kufanyika? Je kama ni kweli kinachosemwa we unaona ni sawa ,mwenyekiti wa chama kufanya hivyo. Ungekuwa na akili timamu ungeanza kwa kulaani ujenzi chini ya kiwango wa BRT,then kwa msimamo huo huo wa kuchukia maovu ungeonesha kutoliunga mkono suala lililosemwa na mtoa mada. By the way, MTOTO WA JIRANI AKILA MAVI HAKUHALALISHI KUMWACHA MWANAO NAE ALE MAVI
 
Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe anapiga dili za kichini chini ili awauzie UKAWA malori chakavu ya kufanyia kampeni.
Source... Mmoja wa wajumbe wa mkutano

Wewe ni wakala wa shetani. Pole sana kwani njia uliyochagua siyo salama.
 
Back
Top Bottom