<br />Kati ya wanamagamba wa kupimwa akili, wa kwanza ni huyo huyo Lusinde.
CCM hawawezi kupimwa akili.Kimsingi huwezi kupima kitu ambacho hakipo.Waanze na wa ccm ambao wanasinzia hadi kutoa udenda bungeni.
<br />Sawa wewe,, huna lugha nyingine zaidi ya matusi tu? wa wapi wewe usiyejua kujenga hoja na kukalia matusi tu?? Ninyi ndiyo mnaipaka picha mbaya CDM
<br />Naombeni ID ya huyu Fisichawene kama yupo humu nim'PM nina ujumbe mzito naogopa ban
Simbachawene anawatoa nishai wapinzani kinomanoma kwamba allegations zao kuwa eti serikali hii ina vitisho ni hoja ya ajabu kabisa. Anaendelea kusema kwamba duniani kote hajawahi kuona serikali pole na Rais mpole kama Mh. Kikwete, Rais ambaye mtu yeyote yuko huru kumtukana na kumwita majina mabaya ypote apendayo na kesho yake akawa huru kabisa anadunda mitaani bila kukamatwa ama kuchukuliwa hatua za kisheria.
<br />Naombeni ID ya huyu Fisichawene kama yupo humu nim'PM nina ujumbe mzito naogopa ban