Mbowe kukamatwa kwa ufisadi

Mimi nadhani, kwa kuwa Mh. Mbowe ni mfanya biashara wa kimataifa basi ataweza kuwaeleza tu ni nini alichokuwa anafanya na zile transfers kutoka Dubai kwenda Hong-Kong, kama ni za ukweli. Tusubiri matokeo ya uchunguzi.

Tusimsakame mleta mada au gazeti lenyewe kwa sababu wameeleza walichokipata toka Polisi - kama ni kweli.

Wasiwasi wangu ni kile kipengele cha kuwa CHADEMA ilipatiwa ruzuku kutoka kikundi cha Japan ya $300,000. Kwa kuwa CDM ni chama cha siasa kinachopata ruzuku kutoka serikalini basi accounts zake zote zinapaswa kukaguliwa na Mkaguzi mkuu wa serikali.

Katika huu ukaguzi kama ikionekana kuwa account za CDM hazikupata hizo pesa na badala yake waJapan wakisema waliziingiza kwanye account ya Mh. Mbowe ilioko Dubai basi itabidi Mh. Mbowe aeleze alizifanyia nini hizo hela za ruzuku (sidhani kama ni hivyo).

Kama ni kweli bado sio lazima kuwe na kosa. Inawezekana uongozi wa CDM ulikubaliana kuwekeza hizo hela nje ili zizaliane kidogo kabla ya kuzileta hapa Tanzania. Hapa CDM itabidi waoneshe huu mlolongo wa uwekezaji huko nje kiuwazi katika mahesabi yao.

Ni muhimu hili suala liwekwe wazi haraka sana ili liondoe haka kawingu kalikomzunguuka Mh. Mbowe. Nasema ni muhimu kiwingu kiondoke kwa sababu CDM ina safari ndefu sana kurudisha mvuto iliokuwa nao kabla ya Julai, 2015.

Mh. Mbowe ni mtu smart sana na hawezi kufanya upuuzi utakaomletea kashfa za money laundering. I hope hii habari haina mashiko. Tunahitaji waTanzania wanaojiamini kuwekeza nje kama huyu bwana. Kuna watu wa nnje chungu nzima wanawekeza hapa Tanzania, kwa nini na sisi tusiwekeze nje?

Wana CDM Kweli ni Mataahira, Hata Mbowe Akijinyea Wakamuona kwa Macho Yao, Wao Bado Watasema Kajamba tu.

Yanayosemwa Sio tena porojo za mitandaoni, ni gazeti lililosajiliwa limeyaandika, kwa nini Mbowe asiyakanushe au kwenda mahakamani kama sio ya kweli?
 
ujinga huu. Jamvi la Habari linalia na Mbowe tu, Kina Chenge je?
Huu ndio ujinga ambao ungewagharimu watanzania kwa miaka mitano endapo tungemchagua fisadi EL na genge lake,yaani kosa LA fisadi linasahihishwa kwa kosa LA fisadi mwengine.
Ahsante Mungu.
 
Wana CDM Kweli ni Mataahira, Hata Mbowe Akijinyea Wakamuona kwa Macho Yao, Wao Bado Watasema Kajamba tu.

Yanayosemwa Sio tena porojo za mitandaoni, ni gazeti lililosajiliwa limeyaandika, kwa nini Mbowe asiyakanushe au kwenda mahakamani kama sio ya kweli?
Mawazo ya ajabu kabisa...! Unataka akanushe nini hapo...!!? Pesa zinaonyesha zimetoka Dubai kwenda nchi zingine,halafu hela zenyewe billioni 2..! Umasikini wa fikra ni mbaya sana. Mtoa mada asipokuwa mwangalifu,akizeeka lazima atakuwa mchawi..!
 
Wana CDM Kweli ni Mataahira, Hata Mbowe Akijinyea Wakamuona kwa Macho Yao, Wao Bado Watasema Kajamba tu.

Yanayosemwa Sio tena porojo za mitandaoni, ni gazeti lililosajiliwa limeyaandika, kwa nini Mbowe asiyakanushe au kwenda mahakamani kama sio ya kweli?


Mkuu nilichoainisha hapa ni scenarios za kuwa ni kitu gani kilichotokea katika hizi transfers za fedha. Tusubiri uchunguzi umalizike tutajua mbivu na mbichi. Mimi sina chama mkuu - neutral.
 
Siku Magufuli akipiga ziara ya kushtukiza pale Billcanas nchi itatikisika. Mbowe ameiba pesa za chama na mabilioni ya lowassa bila ata kuona haya. Pale bills ni ngono inauzwa nje nje mirungi ganja na ndio pesa inayomtajirisha Mbowe.


mmmh aende kwa wazungu wanaochukuwa kila siku madini yao kwa maelfu ya kilo
 
haa haa yaani yanaachwa mafisadi papa halafu wanakamatwa watu binafsi duh. huu usanii utaisha lini?
 
Huu ni ujinga uliopitiliza. Mfanyabiashara wa siku nyingi na anayemiliki biashara kubwa na halali kufanya transactions za shilingi Bilioni 2 mnaleta maneno mengi kwa vile tuu ni kiongozi wa upinzani lakini mtumishi wa Umma anayetegemea mshahara anapopewa dhamana ya kesi kwa kuambiwa aweke Bilioni mbili na ushee hilo linakuwa la kawaida kwa vile hahusiani na siasa.
Lakini nadhani ni ujinga wa hapa JF tuu.
 
zitakuwa ni hela za malipo halali ya kuiuza chadema kwa Lowasa......ndege wafananao huruka pamoja.

Mi sina tatizo na mihela ya mbowe.tatizo langu ni je amelipa kodi kabla ya kuitorosha?

Ukisikia toilet papers ndio kama hili linalojiita jamvi la habari. Mimi nikadhani amehamisha fedha za umma pale BoT kupeleka kusikojulika kumbe amehamisha kutoka katika akaunti yake kupeleka kwenye akaunti yake nyingine! Hakuna sheria inayozuia mtu kufanya hivyo. By the way Tume ya Warioba walikuja na wazo hilo kwenye Katiba Mpya magamba wakalipiga chini.

Mkuu katorosha kutoka wapi kwenda wapi!?

Majipu n mengi sana, mengine yamejificha sehemu za siri.

Mateka wa Mbowe lazima watamtetea boss wao.

Yangu masikio na macho

sheria inasemaje kuhusu mtanzania kumiliki akaunti nje ya nchi?.

Kweli mapenzi yana upofu.

Teh teh teh

Naona boss wako kaguswa povu linakutoka ovyo.

Mkuu si ujibu tu.
Sheria inasemaje kuhusu umiliki wa akaunts nje ya nchi?.

2b sio hela nyingi kama mleta mada anavo iweka kwa mfanya biashara kama mbowe.... je yale mabilion ya uswis na escrow huoni ni kilimanjaro na kichuguu? Kajipangeni upya hapo hamna kitu....

Uko sahihi lkn ni kweli alitorosha?

jamani c kuuza chama?au hawalijui?chamana labda km amelipia kodi na km hajalipa basi awajibike hakuna namna

sheria inasemaje kuhusu watanzania kumiliki akaunti nje ya nchi?

What is money laundering?

Katorosha toka Tanzania kwenda Dubai ,Uswis na Jessey bila kibali cha BOT.

Nikinyume cha sheria ya fedha.

Hoja ni Mbowe kutorosha fedha kinyume na sheria ya fedha.

mbowe ni mpiga dili nguli

Watu wengi uelewa wenu ni mdogo kuliko sisimizi.
Wafanyabiashara wa Kariakoo kila siku wanasafiri hadi Billion kumi, sembuse hii 2 tena kwa mfanyabiashara Mkubwa?

Tena pesa yenyewe ilikuwa inasafirishwa toka Dubai si Tanzania, kama ni kodi anayepaswa kudai ni Serikali ya Dubai.

Money Laundering inawahusu watu wanao safirisha fedha zilizopatikana kwa njia haramu tu.

Kuhusu Umiliki wa Accounts Nje ya Nchi, hakuna sheria inayozuwia mtu yeyote kumiliki. Mimi pia namiliki Account Zambia Africa Kusina na Hong Kong.
Najua si kosa kumiliki account bali ziwe halali si za akina Chenge.
 
'...kila kitu kimekamilika..'
'...taarifa ambazo gazeti hili linazo zinasema...FIU inaendelea kushughulikia suala hilo...'
'...ikiwa FIU watakamilisha uchunguzi wao...'
Ding dong, ding dong!
 
Kweli sometimes ukitaka kujua watu wamelalia wapi, we lete mana unayohusu mtu binafisi.
Kama mbowe ni jipu bas na walitumbue but time will tell.

Mihemko ya kisiasa isitufanye tukawa mazwazwa... Una uhakika gani kama hizo sio fedha za umma?

Kama shule hatukwenda tuwe tuna Google basi tusome money laundering kwa undani sio tunatumia internet kuangalia porno tu

Huyu mbowe bora akamatwe fisadi mkubwa huyu

Na ndipo tunapokwamia hapo kama taifa.

Interest yangu ilikuwa kufahamu serikali imepoteza nini kutokana na muamala huu, tuambiwe kwa makadirio ya fedha zilizotoroshwa kiasi gani cha kodi tumepoteza, tuambiwe kama ikithibitika adhabu inayoweza kumkabili ni ipi na mwisho tuambiwe maoni ya wanasheria juu ya hili

Mm nafikiri ww ndo mpuuzi

That is exactly my question.

akamatwe tu hakuna namna

Ahsante sana kaka siku ingine utakuja na adabu na lugha ya stara.

Na wala hujiulizi NOOR BANK ya Dubai zilifikaje?

Kwa hiyo NOOR BANK hizo pesa zinefikaje?. Au zimejiingiza zenyewe?

Tulishasema kitambo kuwa ni vema huyu fisadi akamatwe kwa utoroshaji wa pesa hizi na ufisadi wao anaofanya na Lowasa.

Kama ni kajipu atumbuliwe tu, anajifnya kutoa pongezi...ooh mh rais kaanza vizuri, ooh anafanya yale wapinzani tulikuwa tunapigia kelele....! kumbe ana kajipu..! kama kajipu acha tu katumbuliwe.

Mkuu me nadhani ungepiga kimya tuu mambo yapite, acha kubisha na kitu usichojua, sema hilo ni gazeti umecopy na kupaste basi hapo utaeleweka zaidi. Maelezo yako hayaendani na swali lako.

sasa hapa unatetea nini?
akili za chooni hizi ni shida sana. huyo mbowe hata umtetee hulambi hata senti yake labda kama wewe ni joyce nkya au yule binti wa mtei anayeishi naye.
acha tu alipe kodi au kama ni rushwa vyombo vya sheria vichukue mkondo wake tupate hela ya kujengea barabara tupite wote.

Siku Magufuli akipiga ziara ya kushtukiza pale Billcanas nchi itatikisika. Mbowe ameiba pesa za chama na mabilioni ya lowassa bila ata kuona haya. Pale bills ni ngono inauzwa nje nje mirungi ganja na ndio pesa inayomtajirisha Mbowe.

Hili gazeti ndo kipimo cha uwajibikaji kwa nape

Kaskazini pesa kwanza mengine baadaye

steven robart masatu nadhani ushauri wako ni bora pia kabla hujakanusha utafakari kama ambavyo mie naendelea kutafakari hoja

Wana CDM Kweli ni Mataahira, Hata Mbowe Akijinyea Wakamuona kwa Macho Yao, Wao Bado Watasema Kajamba tu.

Yanayosemwa Sio tena porojo za mitandaoni, ni gazeti lililosajiliwa limeyaandika, kwa nini Mbowe asiyakanushe au kwenda mahakamani kama sio ya kweli?

Huu ndio ujinga ambao ungewagharimu watanzania kwa miaka mitano endapo tungemchagua fisadi EL na genge lake,yaani kosa LA fisadi linasahihishwa kwa kosa LA fisadi mwengine.
Ahsante Mungu.

haa haa yaani yanaachwa mafisadi papa halafu wanakamatwa watu binafsi duh. huu usanii utaisha lini?

Account ipo Dubai anahamisha kwenda Hong Kong hapo tatizo ni nini?
Mumekiri kuwa anamiliki Makampuni nje na ndami ya Nchi. Transfer hii ni ya. Kabisa
 
mkuu wasiwasi wako ni nini kama kila kitu kiko sahihi na transfer zake ziko kihalali?
Si vyombo vya sheria vitathibitisha?

nakuona ukiwa umechanganyikiwa.

Account ipo Dubai anahamisha kwenda Hong Kong hapo tatizo ni nini?
Mumekiri kuwa anamiliki Makampuni nje na ndami ya Nchi. Transfer hii ni ya. Kabisa
 
mkuu wasiwasi wako ni nini kama kila kitu kiko sahihi na transfer zake ziko kihalali?
Si vyombo vya sheria vitathibitisha?

nakuona ukiwa umechanganyikiwa.

Mimi sijachanganyikiwa na wala sitarajii hata kidogo.
Ila nachoona hapa ni upumbavu wa baadhi ya watu kuchafua watu kwenye Magazeti ya Udaku.
Tunafanya mihamala kila wakati tena toka hapa hapa Tz, lakini hakuna kelele kama hizi. Sasa Mtu anawaagiza wafanyakazi wake wahamishe pesa zake toka kwenye account zake tena zilizoko Nje kwenda Nje, wanafiki wanalalamika.
Ingeingia akilini kama wangelalamika Dubai au HK.
Hata Money Laundering inahusu pesa zinazoingia au kutoka Nchini au kwenye account moja kwenda nyingine hapa hapa Nchini si Mihamala ya Nje kwa Nje.
Kwa maelezo haya hata watu hawataruhusiwa kuagiza bidhaa Nje maana itasomeka wanakimbiza pesa.
 
Ni kosa kumiliki account nje ya nchi bila kibali cha benki kuu.

Wewe nyumbu unatetea usichokijua hadi umejiingiza katika jinai
 
mkuu sasa wasiwasi wako ni nini nimekuuliza? kama huyo mbowe amefanya kila kitu kihalali si itathibitika?
usiwaamini wafanyabiashara hata kidogo wengi wao ni wezi na wapo kimasilahi zaidi. najua kinachokufanya ubweke humu ni kwa sababu ya unazi wa kichama tu. ila angekuwa kwa mfano Bakharesa usingekuja na hizi ngojera zako. narudia tena, usijifanye unamjua sana huyo mfanyabiashara mbowe. acha vyombo vyenye mamlaka vifanye kazi zake na mwishoni mbivu na mbichi zitajulikana tu.

Mimi sijachanganyikiwa na wala sitarajii hata kidogo.
Ila nachoona hapa ni upumbavu wa baadhi ya watu kuchafua watu kwenye Magazeti ya Udaku.
Tunafanya mihamala kila wakati tena toka hapa hapa Tz, lakini hakuna kelele kama hizi. Sasa Mtu anawaagiza wafanyakazi wake wahamishe pesa zake toka kwenye account zake tena zilizoko Nje kwenda Nje, wanafiki wanalalamika.
Ingeingia akilini kama wangelalamika Dubai au HK.
Hata Money Laundering inahusu pesa zinazoingia au kutoka Nchini au kwenye account moja kwenda nyingine hapa hapa Nchini si Mihamala ya Nje kwa Nje.
Kwa maelezo haya hata watu hawataruhusiwa kuagiza bidhaa Nje maana itasomeka wanakimbiza pesa.
 
Back
Top Bottom