Tetesi: GE2025 Mbowe kugombea Urais, mgombea mwenza Halima Mdee

Tetesi: GE2025 Mbowe kugombea Urais, mgombea mwenza Halima Mdee

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Annunaki

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2021
Posts
2,210
Reaction score
4,631
Habari zinaeleza kwamba Mbowe aliyegalagalazwa vibaya mnoo kwenye uchaguzi wa CHADEMA dunia nzima ikishuhudia live, kama tunavyojua kwamba atakimbilia CCM B(Chauma) muda si mrefu kama ilivyotabiriwa hapo awali.

Lakini cha kusikitisha ni kwamba yeye au Halima Mdee mmoja wao atagombea Urais.

Namsikitikia MBOWE katika siasa, maana umaarufu wake na legasi yake katika siasa za Tanzania itazimika ghafla na jumla kama mshumaa.

CCM mnapoteza hella zetu bure kutengeneza kitu ambacho kishafeli mapema sana.

Na hii ndiyo futuhi ya siasa ya Mwaka huu.

Nashauri uongozi wa CHADEMA usihangaike naye kwanza, hadi pale atakapoondoka mwenyewe bila shuruti.
 
sasa hivi chadema nao wana wagombea wao ccm wansikitika wengine kukatwa na wanashangilia wengine kupitishwa
 
Habari zinaeleza kwamba Mbowe aliyegalagalazwa vibaya mnoo kwenye uchaguzi wa CHADEMA dunia nzima ikishuhudia live, kama tunavyojua kwamba atakimbilia CCM B(Chauma) muda si mrefu kama ilivyotabiriwa hapo awali.

Lakini cha kusikitisha ni kwamba yeye au Halima Mdee mmoja wao atagombea Urais au wote kwa pamoja, mgombea na mgombea mwenza.

Namsikitikia MBOWE katika siasa, maana umaarufu wake na legasi yake katika siasa za Tanzania itazimika ghafla na jumla kama mshumaa.

CCM mnapoteza hella zetu bure kutengeneza kitu ambacho kishafeli mapema sana.

Na hii ndiyo futuhi ya siasa ya Mwaka huu.

Nashauri uongozi wa CHADEMA usihangaike naye kwanza, hadi pale atakapoondoka mwenyewe bila shuruti.
Ila wanaharakati wa maji taka Hamnaga akili hata za kuchambia mavi!! Mbowe mtu wa bara anakuwaje na mgombea mwenza toka Bara ambaye ni Halima? Too Silly!!
 
Habari zinaeleza kwamba Mbowe aliyegalagalazwa vibaya mnoo kwenye uchaguzi wa CHADEMA dunia nzima ikishuhudia live, kama tunavyojua kwamba atakimbilia CCM B(Chauma) muda si mrefu kama ilivyotabiriwa hapo awali.

Lakini cha kusikitisha ni kwamba yeye au Halima Mdee mmoja wao atagombea Urais au wote kwa pamoja, mgombea na mgombea mwenza.

Namsikitikia MBOWE katika siasa, maana umaarufu wake na legasi yake katika siasa za Tanzania itazimika ghafla na jumla kama mshumaa.

CCM mnapoteza hella zetu bure kutengeneza kitu ambacho kishafeli mapema sana.

Na hii ndiyo futuhi ya siasa ya Mwaka huu.

Nashauri uongozi wa CHADEMA usihangaike naye kwanza, hadi pale atakapoondoka mwenyewe bila shuruti.

..mgombea akitoka Tanganyika mgombea mwenza anapaswa kutokea Zanzibar.

..mtu muhimu kule Chaumma ni Salum Mwalimu.

..huyo ndio anakidhi vigezo vya kuwa mgombea mwenza ikiwa Mbowe au Halima watakuwa wagombea.
 
Mkuu kuna tetesi ukisikia inabidi utafakari kwanza...

Katiba ya Tanzania inasema, kunapokuwa na mgombea Urais toka pande moja ya muungano basi mwenza wake anapaswa atokee pande nyingine...

Mbowe na Mdee wote ni Watanganyika...

Habari zinaeleza kwamba Mbowe aliyegalagalazwa vibaya mnoo kwenye uchaguzi wa CHADEMA dunia nzima ikishuhudia live, kama tunavyojua kwamba atakimbilia CCM B(Chauma) muda si mrefu kama ilivyotabiriwa hapo awali.

Lakini cha kusikitisha ni kwamba yeye au Halima Mdee mmoja wao atagombea Urais.
 
Habari zinaeleza kwamba Mbowe aliyegalagalazwa vibaya mnoo kwenye uchaguzi wa CHADEMA dunia nzima ikishuhudia live, kama tunavyojua kwamba atakimbilia CCM B(Chauma) muda si mrefu kama ilivyotabiriwa hapo awali.

Lakini cha kusikitisha ni kwamba yeye au Halima Mdee mmoja wao atagombea Urais.

Namsikitikia MBOWE katika siasa, maana umaarufu wake na legasi yake katika siasa za Tanzania itazimika ghafla na jumla kama mshumaa.

CCM mnapoteza hella zetu bure kutengeneza kitu ambacho kishafeli mapema sana.

Na hii ndiyo futuhi ya siasa ya Mwaka huu.

Nashauri uongozi wa CHADEMA usihangaike naye kwanza, hadi pale atakapoondoka mwenyewe bila shuruti.
Halima Mdee ni mzanzibari? Au mboww mzanzibari
 
Habari zinaeleza kwamba Mbowe aliyegalagalazwa vibaya mnoo kwenye uchaguzi wa CHADEMA dunia nzima ikishuhudia live, kama tunavyojua kwamba atakimbilia CCM B(Chauma) muda si mrefu kama ilivyotabiriwa hapo awali.

Lakini cha kusikitisha ni kwamba yeye au Halima Mdee mmoja wao atagombea Urais.

Namsikitikia MBOWE katika siasa, maana umaarufu wake na legasi yake katika siasa za Tanzania itazimika ghafla na jumla kama mshumaa.

CCM mnapoteza hella zetu bure kutengeneza kitu ambacho kishafeli mapema sana.

Na hii ndiyo futuhi ya siasa ya Mwaka huu.

Nashauri uongozi wa CHADEMA usihangaike naye kwanza, hadi pale atakapoondoka mwenyewe bila shuruti.
tetesi mavi uharo
 
..mgombea akitoka Tanganyika mgombea mwenza anapaswa kutokea Zanzibar.

..mtu muhimu kule Chaumma ni Salum Mwalimu.

..huyo ndio anakidhi vigezo vya kuwa mgombea mwenza ikiwa Mbowe au Halima watakuwa wagombea.
Salum naye kwa chauma hakuna mtu hapo alionekana mtu wakati akiwa chama kubwa
 
Habari zinaeleza kwamba Mbowe aliyegalagalazwa vibaya mnoo kwenye uchaguzi wa CHADEMA dunia nzima ikishuhudia live, kama tunavyojua kwamba atakimbilia CCM B(Chauma) muda si mrefu kama ilivyotabiriwa hapo awali.

Lakini cha kusikitisha ni kwamba yeye au Halima Mdee mmoja wao atagombea Urais.

Namsikitikia MBOWE katika siasa, maana umaarufu wake na legasi yake katika siasa za Tanzania itazimika ghafla na jumla kama mshumaa.

CCM mnapoteza hella zetu bure kutengeneza kitu ambacho kishafeli mapema sana.

Na hii ndiyo futuhi ya siasa ya Mwaka huu.

Nashauri uongozi wa CHADEMA usihangaike naye kwanza, hadi pale atakapoondoka mwenyewe bila shuruti.
Mdee ni Mzanzibari?

Amandla...
 
..mgombea akitoka Tanganyika mgombea mwenza anapaswa kutokea Zanzibar.

..mtu muhimu kule Chaumma ni Salum Mwalimu.

..huyo ndio anakidhi vigezo vya kuwa mgombea mwenza ikiwa Mbowe au Halima watakuwa wagombea.
Au awe mgombea mwenza wa Mwenyekiti wa sasa wa Chaumma. Au agombee mwenyewe uRais na mwenza atoke bara.

Amandla...
 
Au awe mgombea mwenza wa Mwenyekiti wa sasa wa Chaumma. Au agombee mwenyewe uRais na mwenza atoke bara.

Amandla...

..Mzee Rungwe asiwe mgombea.

..wataonekana hawako serious.

..hata sera ya ubwabwa wanatakiwa waachane nayo.
 
Habari zinaeleza kwamba Mbowe aliyegalagalazwa vibaya mnoo kwenye uchaguzi wa CHADEMA dunia nzima ikishuhudia live, kama tunavyojua kwamba atakimbilia CCM B(Chauma) muda si mrefu kama ilivyotabiriwa hapo awali.

Lakini cha kusikitisha ni kwamba yeye au Halima Mdee mmoja wao atagombea Urais.

Namsikitikia MBOWE katika siasa, maana umaarufu wake na legasi yake katika siasa za Tanzania itazimika ghafla na jumla kama mshumaa.

CCM mnapoteza hella zetu bure kutengeneza kitu ambacho kishafeli mapema sana.

Na hii ndiyo futuhi ya siasa ya Mwaka huu.

Nashauri uongozi wa CHADEMA usihangaike naye kwanza, hadi pale atakapoondoka mwenyewe bila shuruti.
Hujui katiba ya nchi?
Mgombea mwenza lazima atoke Zanzibar au bara mbwa wewe
 
Back
Top Bottom