Tetesi: GE2025 Mbowe kugombea Urais, mgombea mwenza Halima Mdee

Tetesi: GE2025 Mbowe kugombea Urais, mgombea mwenza Halima Mdee

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
..Mzee Rungwe asiwe mgombea.

..wataonekana hawako serious.

..hata sera ya ubwabwa wanatakiwa waachane nayo.
Wamwache agombee kama atakazania na pasipokuwa na alternative ya maana. Na watakuwa wanalipa fadhila.

Chaumma inapaswa kujikita kwenye ubunge, udiwani na kura za ujumla.

Uzuri wa sera ya ubwabwa ni rahisi kuelewekwa na mtu wa kawaida. Kama MAGA. Na "it is the economy, stupid". Na "Change".

Amandla....
 
Habari zinaeleza kwamba Mbowe aliyegalagalazwa vibaya mnoo kwenye uchaguzi wa CHADEMA dunia nzima ikishuhudia live, kama tunavyojua kwamba atakimbilia CCM B(Chauma) muda si mrefu kama ilivyotabiriwa hapo awali.

Lakini cha kusikitisha ni kwamba yeye au Halima Mdee mmoja wao atagombea Urais.

Namsikitikia MBOWE katika siasa, maana umaarufu wake na legasi yake katika siasa za Tanzania itazimika ghafla na jumla kama mshumaa.

CCM mnapoteza hella zetu bure kutengeneza kitu ambacho kishafeli mapema sana.

Na hii ndiyo futuhi ya siasa ya Mwaka huu.

Nashauri uongozi wa CHADEMA usihangaike naye kwanza, hadi pale atakapoondoka mwenyewe bila shuruti.
Alafu watatuambia halima mdee ni mzenji bar
 
Habari zinaeleza kwamba Mbowe aliyegalagalazwa vibaya mnoo kwenye uchaguzi wa CHADEMA dunia nzima ikishuhudia live, kama tunavyojua kwamba atakimbilia CCM B(Chauma) muda si mrefu kama ilivyotabiriwa hapo awali.

Lakini cha kusikitisha ni kwamba yeye au Halima Mdee mmoja wao atagombea Urais.

Namsikitikia MBOWE katika siasa, maana umaarufu wake na legasi yake katika siasa za Tanzania itazimika ghafla na jumla kama mshumaa.

CCM mnapoteza hella zetu bure kutengeneza kitu ambacho kishafeli mapema sana.

Na hii ndiyo futuhi ya siasa ya Mwaka huu.

Nashauri uongozi wa CHADEMA usihangaike naye kwanza, hadi pale atakapoondoka mwenyewe bila shuruti.
Kichwa na kiwiliwili cha post yako havina ushirikiano!
 
Habari zinaeleza kwamba Mbowe aliyegalagalazwa vibaya mnoo kwenye uchaguzi wa CHADEMA dunia nzima ikishuhudia live, kama tunavyojua kwamba atakimbilia CCM B(Chauma) muda si mrefu kama ilivyotabiriwa hapo awali.

Lakini cha kusikitisha ni kwamba yeye au Halima Mdee mmoja wao atagombea Urais.

Namsikitikia MBOWE katika siasa, maana umaarufu wake na legasi yake katika siasa za Tanzania itazimika ghafla na jumla kama mshumaa.

CCM mnapoteza hella zetu bure kutengeneza kitu ambacho kishafeli mapema sana.

Na hii ndiyo futuhi ya siasa ya Mwaka huu.

Nashauri uongozi wa CHADEMA usihangaike naye kwanza, hadi pale atakapoondoka mwenyewe bila shuruti.
Mbowe anacho angalia ni buyu la asali tu ...hivyo samia na ccm wanamtumia kujaribu kuhalalisha uchaguzi feki wa 2025....kamwe mbowe awezi tena kuwa upande wa wananchi 😁
 
Mdee kwani ni mzanzibar 🤔 katiba hairuhusu lazma mwenza awe mzanzibar
 
Habari zinaeleza kwamba Mbowe aliyegalagalazwa vibaya mnoo kwenye uchaguzi wa CHADEMA dunia nzima ikishuhudia live, kama tunavyojua kwamba atakimbilia CCM B(Chauma) muda si mrefu kama ilivyotabiriwa hapo awali.

Lakini cha kusikitisha ni kwamba yeye au Halima Mdee mmoja wao atagombea Urais.

Namsikitikia MBOWE katika siasa, maana umaarufu wake na legasi yake katika siasa za Tanzania itazimika ghafla na jumla kama mshumaa.

CCM mnapoteza hella zetu bure kutengeneza kitu ambacho kishafeli mapema sana.

Na hii ndiyo futuhi ya siasa ya Mwaka huu.

Nashauri uongozi wa CHADEMA usihangaike naye kwanza, hadi pale atakapoondoka mwenyewe bila shuruti.
Itoshe kusema wewe jamaa huna akili!
 
Back
Top Bottom