Hata mimi nimemsikiliza Mbowe akiongea kupitia ile segment ya Mtoa Habari aka Informer. Nadhani mtangazaji ni LukindoKama ni cloudz bas itakuwa umemsikiliza yule jamaa soud brown
Tatizo la Mbowe anajiona ndio Mungu wa vyama vyote vya upinzani.Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA), Freeman Aikael Mbowe amesema kauli ya Mwenyekiti wa NCCR-MAGEUZI, James Mbatia kuwa Wabunge wa UKAWA watarudi kusema Bungeni ni hisia zake. Aidha Mbowe amesema CHADEMA hawajawahi kusema watasusia Bunge milele.
Ikumbukwe kwamba siku za hivi karibuni, viongozi wa dini na Viongozi wa UKAWA na ACT-WAZALENDO walikutana kuzungumzia hali ya kisiasa nchini.
My Take: Kauli hizi mbili yaani ya Mbowe na Mbatia zinaonekana kukinzana. Tutarajie nini?
Chanzo: Clouds Redio
Hakika. UKAWA imekuwa UKIWASio dalili njema, NA CUF bundi anapatrol
TeheteheteheTatizo la Mbowe anajiona ndio Mungu wa vyama vyote vya upinzani.
Mbowe kaishamtumia Mbatia kafanikiwa kuivunja NCCR sasa hana haja naye kwa sana.Hawa wameishiwa hawana muelekeo
Wee! Posho tena! Nani aache kuchukua!Hivi posho wanaendelea kupokea au na zenyewe wamesusia?
Clouds ni walumumba hao wanajipendekezaWamevurugwa
Hebu weka audioclip tumsikie siyo kubwabwaja na kutulisha maneno ya hao Clouds tawi la Lumumba.Labda nisiamini sauti ya Mbowe niliosikia.
Nepi!!!Mbowe kaishamtumia Mbatia kafanikiwa kuivunja NCCR sasa hana haja naye kwa sana.
Mbatia hana issue Tena chadema sasa macho yao yote kwa mtatiro baada ya kukamilisha mission aliuotumwa ya kuisambaratisha cufUmeonae, faida ya Mbatia kwa CHADEMA imekwisha , taratibu wanaanza kumnawa.
unasikiliza radio ya masho**Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA), Freeman Aikael Mbowe amesema kauli ya Mwenyekiti wa NCCR-MAGEUZI, James Mbatia kuwa Wabunge wa UKAWA watarudi kusema Bungeni ni hisia zake. Aidha Mbowe amesema CHADEMA hawajawahi kusema watasusia Bunge milele.
Ikumbukwe kwamba siku za hivi karibuni, viongozi wa dini na Viongozi wa UKAWA na ACT-WAZALENDO walikutana kuzungumzia hali ya kisiasa nchini.
My Take: Kauli hizi mbili yaani ya Mbowe na Mbatia zinaonekana kukinzana. Tutarajie nini?
Chanzo: Clouds Redio
CLOUDS NI CCM HAWANA JIPYA HAO,UNGENAMBIA BBC SAWA
Hapana ni kwenye michezo tu. Kwenye burudani ni wanafiki na wakandamizaji ndio chanzo cha kuibuka kwa kundila Antivirus, Hata Juzi Ruby kajitoa Fiesta huko Mwanza kwa sababu ya kunyonywa kimasilahiClouds hovyoo kabisaaa usiwaamini mkuuu, amini kwa upande Wa burudani na michezo tuu!!