Mbowe kashiriki msiba wa mwanaccm mzee samwel sitta lakini hajashiriki kivile msiba wa mwana chadema joseph mungai.
Hakwenda kwende kesi ya lema arusha kaenda bungeni kumuaga samwel sitta.
Lakini katika matukio yote ya kumuaga sitta Lowasa na watu wake hawajaonekana kuanzia karamagi hadi lowasa mwenyewe.
Kwa maana nyingine kajitoa chadema kimya kimya na kumtelekezea Lowasa.