Mbowe kamkosea heshima Lipumba

Mbowe kamkosea heshima Lipumba

Zitto Kabwe
September 29 at 1:32pm ·
Dikteta ( Kwa lugha nyepesi ) Ni mtu ambaye anaongoza Nchi Kwa faida yake yeye na kundi lake la utawala. Tanzania haijawahi kuwa naye mtu wa namna hii. Mfano wa Huyu Ni Mobutu, Bokasa, Idi Amin nk.

Dikteta Uchwara ( Kwa tafsiri yangu ) Ni mtawala ambaye anaelekea kuwa Dikteta Kwa tafsiri hiyo hapo juu. Tanzania haina kabisa Huyu maana hawezi kutokana na misingi ya Nchi kuwa imara.

Dikteta Mamboleo Ni mtawala ambaye analeta Maendeleo bila kutaka kuhojiwa. Maji mtapata. Barabara mtapata na Hata ndege mtapata lakini msihoji amepataje. Mifano ya madikteta mamboleo Ni Mingi sana duniani na ndio madikteta wa kisasa hao. Mfano maarufu Ni Vladimir Putin.

2 2
Unanukuu mamluki wenu, nukuu kamusi inayoeleweka
 
Ukweli ni muhimu ukasemwa...

Sijamsikia hata mara moja Prof Lipumba akimnanga Mbowe hadharani pamoja na mikanganyiko yote ya kisiasa iliyosababishwa na Mbowe.

Leo hiinimemsikia Mbowe akimtukana Lipumba na kumuita "IRRELEVANT" hili ni tusi kwa lipumba ambaye ni muanzilishi mwenza wa UKAWA ORIGINAL .

BADO MBATIA SASA!
hasira ya mpiga dili. dili linatibuka
 
Ukweli ni muhimu ukasemwa...

Sijamsikia hata mara moja Prof Lipumba akimnanga Mbowe hadharani pamoja na mikanganyiko yote ya kisiasa iliyosababishwa na Mbowe.

Leo hiinimemsikia Mbowe akimtukana Lipumba na kumuita "IRRELEVANT" hili ni tusi kwa lipumba ambaye ni muanzilishi mwenza wa UKAWA ORIGINAL .

BADO MBATIA SASA!
tusubiri mchungaji wa kkkt mbatia naye atamnanga prof soon. sijui ataimbisha wimbo upi.
 
Ukweli ni muhimu ukasemwa...

Sijamsikia hata mara moja Prof Lipumba akimnanga Mbowe hadharani pamoja na mikanganyiko yote ya kisiasa iliyosababishwa na Mbowe.

Leo hiinimemsikia Mbowe akimtukana Lipumba na kumuita "IRRELEVANT" hili ni tusi kwa lipumba ambaye ni muanzilishi mwenza wa UKAWA ORIGINAL .

BADO MBATIA SASA!
Wewe sio mfuatiliaji wa mambo,,juz lipumba alikituhumu chadema kuwa kinakihujumu cuf,sasa huko sio kumkosea heshima mbowe???
 
Mbowe ambaye hajamaliza hata darasa la saba anamtukana professor?? Kweli nchi imekosa adabu hii
prof ataacha kutukanwa wakati hana uwezo wa kujiajiri anaendeshwa kama gari bovu. ukiendekeza njaa hata uwe na elimu kiasi gani ww ni boya tu.
 
Mbowe katika makosa yote kisiasa aliyowahi kufanya basi katika hili mbowe amemkosea sana ni bora angetulia kimyaa tuu ,

  1. Upande wa pili lipumba akianza kujibu mapigo mbowe huenda ikashuka heshima yake kisiasa maana akianza kuchambuliwa c.v yake hadharani itakuwa sasa ni issue nyingine
You talking about CV?? you guy you are not serious at all,,, sasa lipumba anayofanya yanaendana na CV yake??? Kama uprofesa nikama huu wa lipumba basi siuhitaji tena huo uprofesa
 
Yaani mm mwenyewe nina mashaka na Elim ya lipumba

Anyway nisimseme sana inaweza kuwa ni ukosefu wa ajira ndio unafanya afanya mambo hayo
 
Ukweli ni muhimu ukasemwa...

Sijamsikia hata mara moja Prof Lipumba akimnanga Mbowe hadharani pamoja na mikanganyiko yote ya kisiasa iliyosababishwa na Mbowe.

Leo hiinimemsikia Mbowe akimtukana Lipumba na kumuita "IRRELEVANT" hili ni tusi kwa lipumba ambaye ni muanzilishi mwenza wa UKAWA ORIGINAL .

BADO MBATIA SASA!
Na wala hujamsikia Lipumba akijaribu kuhusisha kwa namna moja au nyingine Chadema katika kinachoendelea CUF, siyo?
 
Ukweli ni muhimu ukasemwa...

Sijamsikia hata mara moja Prof Lipumba akimnanga Mbowe hadharani pamoja na mikanganyiko yote ya kisiasa iliyosababishwa na Mbowe.

Leo hiinimemsikia Mbowe akimtukana Lipumba na kumuita "IRRELEVANT" hili ni tusi kwa lipumba ambaye ni muanzilishi mwenza wa UKAWA ORIGINAL .

BADO MBATIA SASA!
Kwani ana heshima?
 
Mbowe akili zake zitarudi sawa sawa pale Fedha za Lowasa zitakapo kwisha.. Lowasa ni kirusi upinzani... Ila Fedha zake ndio zinamlinda
Leta prove Kama kweli lowasa nahawa pesa chadema,au otherwise nawewe ni irrelevant Tanzanian
 
Hata ww ukiwa una mambo ya kitoto basi usubiri watoto wako kukwambia jambo lolote lile
 
Back
Top Bottom