Cybercrime
JF-Expert Member
- Feb 14, 2014
- 3,246
- 1,113
Hajaenda kuziomba, wenyewe wamejitekenyaWakati juzi ulipokea bilioni 6,usha sahau tayari
Hajaenda kuziomba, wenyewe wamejitekenyaWakati juzi ulipokea bilioni 6,usha sahau tayari
Unanukuu mamluki wenu, nukuu kamusi inayoelewekaZitto Kabwe
September 29 at 1:32pm ·
Dikteta ( Kwa lugha nyepesi ) Ni mtu ambaye anaongoza Nchi Kwa faida yake yeye na kundi lake la utawala. Tanzania haijawahi kuwa naye mtu wa namna hii. Mfano wa Huyu Ni Mobutu, Bokasa, Idi Amin nk.
Dikteta Uchwara ( Kwa tafsiri yangu ) Ni mtawala ambaye anaelekea kuwa Dikteta Kwa tafsiri hiyo hapo juu. Tanzania haina kabisa Huyu maana hawezi kutokana na misingi ya Nchi kuwa imara.
Dikteta Mamboleo Ni mtawala ambaye analeta Maendeleo bila kutaka kuhojiwa. Maji mtapata. Barabara mtapata na Hata ndege mtapata lakini msihoji amepataje. Mifano ya madikteta mamboleo Ni Mingi sana duniani na ndio madikteta wa kisasa hao. Mfano maarufu Ni Vladimir Putin.
2 2
Nikiweka ya kamusi nitakuwa sijanukuu? Na usiwe mvivu hata wewe unaweza kuweka tujifunzeUnanukuu mamluki wenu, nukuu kamusi inayoeleweka
hasira ya mpiga dili. dili linatibukaUkweli ni muhimu ukasemwa...
Sijamsikia hata mara moja Prof Lipumba akimnanga Mbowe hadharani pamoja na mikanganyiko yote ya kisiasa iliyosababishwa na Mbowe.
Leo hiinimemsikia Mbowe akimtukana Lipumba na kumuita "IRRELEVANT" hili ni tusi kwa lipumba ambaye ni muanzilishi mwenza wa UKAWA ORIGINAL .
BADO MBATIA SASA!
tusubiri mchungaji wa kkkt mbatia naye atamnanga prof soon. sijui ataimbisha wimbo upi.Ukweli ni muhimu ukasemwa...
Sijamsikia hata mara moja Prof Lipumba akimnanga Mbowe hadharani pamoja na mikanganyiko yote ya kisiasa iliyosababishwa na Mbowe.
Leo hiinimemsikia Mbowe akimtukana Lipumba na kumuita "IRRELEVANT" hili ni tusi kwa lipumba ambaye ni muanzilishi mwenza wa UKAWA ORIGINAL .
BADO MBATIA SASA!
Kwa fikra zako bado unadhani lipumba ni irrelevant?
Wewe sio mfuatiliaji wa mambo,,juz lipumba alikituhumu chadema kuwa kinakihujumu cuf,sasa huko sio kumkosea heshima mbowe???Ukweli ni muhimu ukasemwa...
Sijamsikia hata mara moja Prof Lipumba akimnanga Mbowe hadharani pamoja na mikanganyiko yote ya kisiasa iliyosababishwa na Mbowe.
Leo hiinimemsikia Mbowe akimtukana Lipumba na kumuita "IRRELEVANT" hili ni tusi kwa lipumba ambaye ni muanzilishi mwenza wa UKAWA ORIGINAL .
BADO MBATIA SASA!
Acha ushabiki mandazi,anachokifanya lipumba kina hadhi ya uprofesa??Mbowe ambaye hajamaliza hata darasa la saba anamtukana professor?? Kweli nchi imekosa adabu hii
prof ataacha kutukanwa wakati hana uwezo wa kujiajiri anaendeshwa kama gari bovu. ukiendekeza njaa hata uwe na elimu kiasi gani ww ni boya tu.Mbowe ambaye hajamaliza hata darasa la saba anamtukana professor?? Kweli nchi imekosa adabu hii
You talking about CV?? you guy you are not serious at all,,, sasa lipumba anayofanya yanaendana na CV yake??? Kama uprofesa nikama huu wa lipumba basi siuhitaji tena huo uprofesaMbowe katika makosa yote kisiasa aliyowahi kufanya basi katika hili mbowe amemkosea sana ni bora angetulia kimyaa tuu ,
- Upande wa pili lipumba akianza kujibu mapigo mbowe huenda ikashuka heshima yake kisiasa maana akianza kuchambuliwa c.v yake hadharani itakuwa sasa ni issue nyingine
Na wala hujamsikia Lipumba akijaribu kuhusisha kwa namna moja au nyingine Chadema katika kinachoendelea CUF, siyo?Ukweli ni muhimu ukasemwa...
Sijamsikia hata mara moja Prof Lipumba akimnanga Mbowe hadharani pamoja na mikanganyiko yote ya kisiasa iliyosababishwa na Mbowe.
Leo hiinimemsikia Mbowe akimtukana Lipumba na kumuita "IRRELEVANT" hili ni tusi kwa lipumba ambaye ni muanzilishi mwenza wa UKAWA ORIGINAL .
BADO MBATIA SASA!
Kwani ana heshima?Ukweli ni muhimu ukasemwa...
Sijamsikia hata mara moja Prof Lipumba akimnanga Mbowe hadharani pamoja na mikanganyiko yote ya kisiasa iliyosababishwa na Mbowe.
Leo hiinimemsikia Mbowe akimtukana Lipumba na kumuita "IRRELEVANT" hili ni tusi kwa lipumba ambaye ni muanzilishi mwenza wa UKAWA ORIGINAL .
BADO MBATIA SASA!
Leta prove Kama kweli lowasa nahawa pesa chadema,au otherwise nawewe ni irrelevant TanzanianMbowe akili zake zitarudi sawa sawa pale Fedha za Lowasa zitakapo kwisha.. Lowasa ni kirusi upinzani... Ila Fedha zake ndio zinamlinda
Ni ngumu sana kwa division zero kumuelewa na kumuelezea profesa
MaimunaNikiweka ya kamusi nitakuwa sijanukuu? Na usiwe mvivu hata wewe unaweza kuweka tujifunze
Kama uprofesa ndio huo acha watukanweMbowe ambaye hajamaliza hata darasa la saba anamtukana professor?? Kweli nchi imekosa adabu hii