Mwenyekiti mzigo hataki kukosolewa!Mbowe ndiyo kila kitu Chadema hamna wa kumpinga ukijaribu lazima ufukuzwe Chadema.
Uwa namsifu sana Mbowe pamoja na elimu yake kiduchu lakini kaweza kuwashikia akili wafuasi wake.
Hiyo picha angepiga Zitto humu JF kungekuwa matusi matupu.
Kuna anayeweza kumwambia kitu Magufuli? au unaona ya chadema lakini ccm yao huyaoni?Mbowe ndiyo kila kitu Chadema hamna wa kumpinga ukijaribu lazima ufukuzwe Chadema.
Uwa namsifu sana Mbowe pamoja na elimu yake kiduchu lakini kaweza kuwashikia akili wafuasi wake.
Hiyo picha angepiga Zitto humu JF kungekuwa matusi matupu.
Fanya na weweLeo nadhani mmekuwa mashuhuda namna mwenyekiti wa chadema akiwa karibu sana na mwigulu, waziri wa mambo ya ndani pale uwanja wa Taifa.
Wapenzi wa chadema wanayohulka ya kuwaita , wanachama wenzao wasaliti na kuwatoa chamani pale wanapoonekana kuwa karibu na ccm.
Sikusikia mwenyekiti akiitwa msaliti bali kuambiwa kuwa ni mzalendo na anafanya siasa safi!
Hii sio sawa! Ni ubaguzi wa wazi kabisa na uonevu kwa wengine!
Kama Mh.Mbowe unakubaliana na goli la Yanga,,na nimekuona unashangilia kuwa mmeshinda..Kiukweli hakuna haja ya kupinga matokeo ya Zanzibar maana goli la Yanga alinatofauti na uchaguzi wa ZanzibarMbowe alikuwa anashangilia Goli haramu la Tambwe halafu anataka tuwasaidie kusikitia Magoli ya Comrade Jecha Salum Jecha, Tambwe na Jecha wanatofautiana vp Magoli yao


# *Ukawa hawatakagi ujinga*Duh!! Kuna mijitu haina akili na wewe ni mmojawapo vipi kuhusu ili mechi ya hisani ya wabunge kuchangia maafa ya tetemeko Kagera je walikuwa pamoja wabunge wa CCM na upinzaji au walijitenga? Ukipata jibu utajigungua jinsi ulivyo mpuuzi.Leo nadhani mmekuwa mashuhuda namna mwenyekiti wa chadema akiwa karibu sana na mwigulu, waziri wa mambo ya ndani pale uwanja wa Taifa.
Wapenzi wa chadema wanayohulka ya kuwaita , wanachama wenzao wasaliti na kuwatoa chamani pale wanapoonekana kuwa karibu na ccm.
Sikusikia mwenyekiti akiitwa msaliti bali kuambiwa kuwa ni mzalendo na anafanya siasa safi!
Hii sio sawa! Ni ubaguzi wa wazi kabisa na uonevu kwa wengine!
Nyani huwa haoni kunduleLeo nadhani mmekuwa mashuhuda namna mwenyekiti wa chadema akiwa karibu sana na mwigulu, waziri wa mambo ya ndani pale uwanja wa Taifa.
Wapenzi wa chadema wanayohulka ya kuwaita , wanachama wenzao wasaliti na kuwatoa chamani pale wanapoonekana kuwa karibu na ccm.
Sikusikia mwenyekiti akiitwa msaliti bali kuambiwa kuwa ni mzalendo na anafanya siasa safi!
Hii sio sawa! Ni ubaguzi wa wazi kabisa na uonevu kwa wengine!
Hahahahaja kamanda hapa umegonga parpareeKama Mh.Mbowe unakubaliana na goli la Yanga,,na nimekuona unashangilia kuwa mmeshinda..Kiukweli hakuna haja ya kupinga matokeo ya Zanzibar maana goli la Yanga alinatofauti na uchaguzi wa Zanzibar# *Ukawa hawatakagi ujinga*
Duh!! Kuna mijitu haina akili na wewe ni mmojawapo vipi kuhusu ili mechi ya hisani ya wabunge kuchangia maafa ya tetemeko Kagera je walikuwa pamoja wabunge wa CCM na upinzaji au walijitenga? Ukipata jibu utajigungua jinsi ulivyo mpuuzi.
Hao Wabunge walikuwa wamefunga? Wewe unafikiri futuru inafuturiwa kwa mchanganyiko kihivyo? Kwa waliokuwa wamefunga kususia futuru hiyo walijipati swawabu kuliko hao waliochanganyika na hao wasiofunga tena dini tofauti.Vipi wabunge wa UKAWA waliposusia futari ya waziri mkuu Dodoma
Au angepiga Lipumba,ungewasikia nyumbu wote wakirudi kwa mwendokasi kutoka mtoni.Mbowe ndiyo kila kitu Chadema hamna wa kumpinga ukijaribu lazima ufukuzwe Chadema.
Uwa namsifu sana Mbowe pamoja na elimu yake kiduchu lakini kaweza kuwashikia akili wafuasi wake.
Hiyo picha angepiga Zitto humu JF kungekuwa matusi matupu.
Mwenye chama anakuwaje msaliti?Jamaa ana mzizi mkali sanaLeo nadhani mmekuwa mashuhuda namna mwenyekiti wa chadema akiwa karibu sana na mwigulu, waziri wa mambo ya ndani pale uwanja wa Taifa.
Wapenzi wa chadema wanayohulka ya kuwaita , wanachama wenzao wasaliti na kuwatoa chamani pale wanapoonekana kuwa karibu na ccm.
Sikusikia mwenyekiti akiitwa msaliti bali kuambiwa kuwa ni mzalendo na anafanya siasa safi!
Hii sio sawa! Ni ubaguzi wa wazi kabisa na uonevu kwa wengine!