Mbowe jiuzulu umeshindwa kusimamia chama

Mbowe jiuzulu umeshindwa kusimamia chama

connections

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2013
Posts
2,840
Reaction score
3,909
1. Mwenyekiti kwa niaba ya wanachama wote tunakusihi ni busara kujiuzulu uongozi kwenye Chama umeshindwa kuongoza chama kwa yanayotokea.

2. Uchaguzi Mkuu ujao 2025 tutaangukia pua tena kama 2020 (Kura kiduchu, Mbunge mmoja, aibu hii tunaipeleka wapi?).

3. Tumia Busara jiuzulu, lopolopo akaimu nafasi ya Mwenyekiti
 
Mbowe amekua muhimili wa siasa za Tz toka 2005-2015, saiv anaihujumu CHADEMA
 
1. Mwenyekiti kwa niaba ya wanachama wote tunakusihi ni busara kujiuzulu uongozi kwenye Chama umeshindwa kuongoza chama kwa yanayotokea.

2. Uchaguzi Mkuu ujao 2025 tutaangukia pua tena kama 2020 (Kura kiduchu, Mbunge mmoja, aibu hii tunaipeleka wapi?).

3. Tumia Busara jiuzulu, lopolopo akaimu nafasi ya Mwenyekiti

CHAWA mpumbavu ..... Mwambie CHURA ajiuzulu kwa kushindwa kulinda Raia wake.
 
1. Mwenyekiti kwa niaba ya wanachama wote tunakusihi ni busara kujiuzulu uongozi kwenye Chama umeshindwa kuongoza chama kwa yanayotokea.

2. Uchaguzi Mkuu ujao 2025 tutaangukia pua tena kama 2020 (Kura kiduchu, Mbunge mmoja, aibu hii tunaipeleka wapi?).

3. Tumia Busara jiuzulu, lopolopo akaimu nafasi ya Mwenyekiti
1. Katiba yenu inamtambua kuwa ni Mwenyekiti wa milele?

2. Kama #1 ni NDIO mnapata uhalali gani wa kudai katiba mpya?
Mwanzo umeandika kama mwana CDM halafu baadaye umejitoa uanachama wa CDM.Maana yake nini huu uzi wako?
 
Swali fikirishi
1. Mwenyekiti kwa niaba ya wanachama wote tunakusihi ni busara kujiuzulu uongozi kwenye Chama umeshindwa kuongoza chama kwa yanayotokea.

2. Uchaguzi Mkuu ujao 2025 tutaangukia pua tena kama 2020 (Kura kiduchu, Mbunge mmoja, aibu hii tunaipeleka wapi?).

3. Tumia Busara jiuzulu, lopolopo akaimu nafasi ya Mwenyekiti
Comments reserved
 
1. Mwenyekiti kwa niaba ya wanachama wote tunakusihi ni busara kujiuzulu uongozi kwenye Chama umeshindwa kuongoza chama kwa yanayotokea.

2. Uchaguzi Mkuu ujao 2025 tutaangukia pua tena kama 2020 (Kura kiduchu, Mbunge mmoja, aibu hii tunaipeleka wapi?).

3. Tumia Busara jiuzulu, lopolopo akaimu nafasi ya Mwenyekiti
Huu ni muda wa kupandikiza migogoro kwa manufaa ya wenye nia ovu iwe kwa chama ama taifa,hivyo tunahitaji uthibitisho wa kila hoja inayotolewa pasi kuacha shaka yoyote katika hoja husika,bila kujali cheo wala mamlaka aliyo nayo Ntu.
 
1. Mwenyekiti kwa niaba ya wanachama wote tunakusihi ni busara kujiuzulu uongozi kwenye Chama umeshindwa kuongoza chama kwa yanayotokea.

2. Uchaguzi Mkuu ujao 2025 tutaangukia pua tena kama 2020 (Kura kiduchu, Mbunge mmoja, aibu hii tunaipeleka wapi?).

3. Tumia Busara jiuzulu, lopolopo akaimu nafasi ya Mwenyekiti
Huyu atafia madarakani kama mzee wa kirarancha
 
Back
Top Bottom