Ndio anataka kusikika baada ya kukosa cha kuwambia watanzaniaMaandamano
Ndio anataka kusikika baada ya kukosa cha kuwambia watanzaniaMaandamano
Si kidogo anauma na kupuuliza ila wafuasi wake umekuwa mateka aiseeMbowe amekua muhimili wa siasa za Tz toka 2005-2015, saiv anaihujumu CHADEMA
Mbowe must goooooo!!Mwenyekiti jiuzulu
Chama kinamfiaMbowe must goooooo!!
Yametimia1. Mwenyekiti kwa niaba ya wanachama wote tunakusihi ni busara kujiuzulu uongozi kwenye Chama umeshindwa kuongoza chama kwa yanayotokea.
2. Uchaguzi Mkuu ujao 2025 tutaangukia pua tena kama 2020 (Kura kiduchu, Mbunge mmoja, aibu hii tunaipeleka wapi?).
3. Tumia Busara jiuzulu, lopolopo akaimu nafasi ya Mwenyekiti