Hicho unachokitaka hapa hutakipata hata hapo lumumba wanayao ambayo hamuyaweki hapa kwa sababu sio pahala pake.
Swali, kinachokuuma nini?
Huna ajenda nyengine kila siku Chadema+Mbowe?
Hoja yako wa hicho unachokitaka unashidacho kama wewe nani ndani ya Chadema?