Mbowe hutoa wapi pesa kuikopesha CHADEMA?

Mbowe hutoa wapi pesa kuikopesha CHADEMA?

Jamani Jamani.. 😀 😀 😀 Wakudadavua ni mshambuliaji namba 9 wetu ..huyu tumemsajili kuishambulia CHADEMA tuu hadi ifwee... Ila anayo ID nyingine hiyo inausajili mwingine tuu..
 
Jamani Jamani.. 😀 😀 😀 Wakudadavua ni mshambuliaji namba 9 wetu ..huyu tumemsajili kuishambulia CHADEMA tuu hadi ifwee... Ila anayo ID nyingine hiyo inausajili mwingine tuu..
Jikite kwenye hoja
 
Kamanda hapa ni JF...wamo humu humu
Hicho unachokitaka hapa hutakipata hata hapo lumumba wanayao ambayo hamuyaweki hapa kwa sababu sio pahala pake.

Swali, kinachokuuma nini?

Huna ajenda nyengine kila siku Chadema+Mbowe?

Hoja yako wa hicho unachokitaka unashidacho kama wewe nani ndani ya Chadema?
 
Mwambie huyo ndumilakuwili alitoka cdm kwa tamaa ya kuahidiwa madaraka?
Hicho unachokitaka hapa hutakipata hata hapo lumumba wanayao ambayo hamuyaweki hapa kwa sababu sio pahala pake.

Swali, kinachokuuma nini?

Huna ajenda nyengine kila siku Chadema+Mbowe?

Hoja yako wa hicho unachokitaka unashidacho kama wewe nani ndani ya Chadema?
 
Jibu ni rahisi siasa ni biashara inayomwingizia Kipato mwanasiasa.
Hawezi kuacha shughuli Zake ashughulikie siasa ambayo haimlipi.
Hiyo mikopo hewa nisehemu ya malupulupu ya Kazi ya uanasiasa.
 
Ndugu zangu,

Huu utaratibu wa Chadema na Mbowe ni mpya katika ulimwengu wa siasa,yaani mwenyekiti anakikopesha chama kisha anakata ruzuku ili "kuridhisha pesa zake".Kwa hakika huu ni ujasiriasiasa ni aina mpya ya ubunifu katika kujipatia fedha katika siasa hasa pale wajanja na makanjanja wapogundua wafuasi ni mazwazwa.

Kwa haraka haraka nimejiuliza maswali yafuatayo;

Riba ya mkopo ni asilimia ngapi?

Muda wa marejesho ni miaka mingapi?

Dhamana ni nini?

Katiba ya Chadema inaruhusu?ni kifungu kipi?

Ni kikao kipi kiliidhinisha ukopaji?Je mkopeshaji alikuwa sehemu ya walioidhinisha?

Je akija mwenyekiti mwingine atakubali kulipa madeni yasiyo na vielelezo?

Unaweza kutafakari zaidi Ila hili jambo linastahili mjadala wa kina.
Swali muhimu ambalo lingejibu swali LA mleta mada lingekuwa: Mwenyekiti wa CCM hayo maburungutu ya fedha anayozunguka nayo akigawa kwa wapiga kura huwa anapata wapi?
 
Ungeonesha kwanza vielelezo zinazoonesha kua Mbowe amelipwa kwa sababu alikikopesha Chama pesa..pia vielelezo zinazoonesha kua Mbowe amejikipesha chama pesa. Hizo vielelezo viendane na transaction ya pesa kutoka Account ya Mbowe kwenda Account ya chama na kinyume chake pia.
Ukishaonesha vielelezo nadhani wadau watakua tayari kuanza kuijadili mada iliopo mezani.
📌📌📌🔨🔨
Thread closed
 
Back
Top Bottom