Mbowe hutoa wapi pesa kuikopesha CHADEMA?

Mbowe hutoa wapi pesa kuikopesha CHADEMA?

Nenda Takukuru wape vielelezo waanzishe uchunguzi,
Kila siku ukija humu Mbowe na Chadema,
Hata CCM wanakushangaa hicho ndiyo Kipaumbele chako huko CCM.

Subirini kukatwa nyie wahamiaji haramu ,wenye Chama wanawaangalia tu jinsi mnavyokurupuka.
 
Nenda Takukuru wape vielelezo waanzishe uchunguzi,
Kila siku ukija humu Mbowe na Chadema,
Hata CCM wanakushangaa hicho ndiyo Kipaumbele chako huko CCM.

Subirini kukatwa nyie wahamiaji haramu ,wenye Chama wanawaangalia tu jinsi mnavyokurupuka.
Kamanda jibu hoja....je riba ni asilimia ngapi?
 
huyo mfanya biashara anachukua ela za ruzuku anakopesha chama
 
Ungeonesha kwanza vielelezo zinazoonesha kua Mbowe amelipwa kwa sababu alikikopesha Chama pesa..pia vielelezo zinazoonesha kua Mbowe amejikipesha chama pesa. Hizo vielelezo viendane na transaction ya pesa kutoka Account ya Mbowe kwenda Account ya chama na kinyume chake pia.
Ukishaonesha vielelezo nadhani wadau watakua tayari kuanza kuijadili mada iliopo mezani.
Ayo unayotaka wewe yalimponza Chacha wangwe, alijikuta yupo kwenye mgogoro mkubwa na DJ. RIP Chacha.
 
Back
Top Bottom