Mbowe hutoa wapi pesa kuikopesha CHADEMA?

Mbowe hutoa wapi pesa kuikopesha CHADEMA?

Kho kho kho DJ mbowe ndiye DJ mwenye mafanikio bongo land kuliko akina ma j na joo.
 
Kamanda imekupenya
Pole sana maana hata jamii yako imekuchoka kwa tabia zako mbovu
FB_IMG_1518066617009.jpeg
 
Ndugu zangu,

Huu utaratibu wa Chadema na Mbowe ni mpya katika ulimwengu wa siasa,yaani mwenyekiti anakikopesha chama kisha anakata ruzuku ili "kuridhisha pesa zake".Kwa hakika huu ni ujasiriasiasa ni aina mpya ya ubunifu katika kujipatia fedha katika siasa hasa pale wajanja na makanjanja wapogundua wafuasi ni mazwazwa.

Kwa haraka haraka nimejiuliza maswali yafuatayo;

Riba ya mkopo ni asilimia ngapi?

Muda wa marejesho ni miaka mingapi?

Dhamana ni nini?

Katiba ya Chadema inaruhusu?ni kifungu kipi?

Ni kikao kipi kiliidhinisha ukopaji?Je mkopeshaji alikuwa sehemu ya walioidhinisha?

Je akija mwenyekiti mwingine atakubali kulipa madeni yasiyo na vielelezo?

Unaweza kutafakari zaidi Ila hili jambo linastahili mjadala wa kina.
Uchawi wa kurithi utakuua mwenyewe. Mmebomoa Bilicanas, mkabomoa bustani bado hampati usingizi?
 
Ndugu zangu,

Huu utaratibu wa Chadema na Mbowe ni mpya katika ulimwengu wa siasa,yaani mwenyekiti anakikopesha chama kisha anakata ruzuku ili "kuridhisha pesa zake".Kwa hakika huu ni ujasiriasiasa ni aina mpya ya ubunifu katika kujipatia fedha katika siasa hasa pale wajanja na makanjanja wapogundua wafuasi ni mazwazwa.

Kwa haraka haraka nimejiuliza maswali yafuatayo;

Riba ya mkopo ni asilimia ngapi?

Muda wa marejesho ni miaka mingapi?

Dhamana ni nini?

Katiba ya Chadema inaruhusu?ni kifungu kipi?

Ni kikao kipi kiliidhinisha ukopaji?Je mkopeshaji alikuwa sehemu ya walioidhinisha?

Je akija mwenyekiti mwingine atakubali kulipa madeni yasiyo na vielelezo?

Unaweza kutafakari zaidi Ila hili jambo linastahili mjadala wa kina.
Mjadala uliopo na mpana ni mafisadi kuomba msamaha ndani ya siku 7
 
Kuna kamanda hubweka sana humu kwa kumuita Mbowe bilionea subiri aje
Kujua kama Mbowe ni bilionea ni rahisi tu , angalia vitega uchumi vyake vya ulaya , US na Asia , acheni kubweteka wakati ni rahisi tu kuujua utajiri wa Mbowe

Labda kwa faida yako na vilaza wengine kama wewe ni hivi , Baba yake Mbowe ndiye aliyempa Kapuku Nyerere nauli ya kwenda UNO Kudai uhuru wa Tanganyika , huu uhuru mnaoutumia leo kuteka watu , someni historia ya nchi vizuri .
 
Ndugu zangu,

Huu utaratibu wa Chadema na Mbowe ni mpya katika ulimwengu wa siasa,yaani mwenyekiti anakikopesha chama kisha anakata ruzuku ili "kuridhisha pesa zake".Kwa hakika huu ni ujasiriasiasa ni aina mpya ya ubunifu katika kujipatia fedha katika siasa hasa pale wajanja na makanjanja wapogundua wafuasi ni mazwazwa.

Kwa haraka haraka nimejiuliza maswali yafuatayo;

Riba ya mkopo ni asilimia ngapi?

Muda wa marejesho ni miaka mingapi?

Dhamana ni nini?

Katiba ya Chadema inaruhusu?ni kifungu kipi?

Ni kikao kipi kiliidhinisha ukopaji?Je mkopeshaji alikuwa sehemu ya walioidhinisha?

Je akija mwenyekiti mwingine atakubali kulipa madeni yasiyo na vielelezo?

Unaweza kutafakari zaidi Ila hili jambo linastahili mjadala wa kina.
Anawakopesha deni hewa anawapiga,chief accountant ni mkewe
 
Back
Top Bottom