Mbowe hutoa wapi pesa kuikopesha CHADEMA?

Mbowe hutoa wapi pesa kuikopesha CHADEMA?

Hicho unachokitaka hapa hutakipata hata hapo lumumba wanayao ambayo hamuyaweki hapa kwa sababu sio pahala pake.

Swali, kinachokuuma nini?

Huna ajenda nyengine kila siku Chadema+Mbowe?

Hoja yako wa hicho unachokitaka unashidacho kama wewe nani ndani ya Chadema?
Nje ya mada
 
Back
Top Bottom