Mbowe: Haturudi nyuma

Mbowe: Haturudi nyuma

Safari hii mtakoma maana zero ndiyo kashika akili zenu. Tena ningekuwepo mimi hapo kahama ningewachapa zaidi, mnatakiwa mukomeshwe kwa akili zenu za kizezeta! Sasa tunahitaji kufanya kazi na siyo maandamano au kueneza chuki. Yaani mpaka 2020 hamtakuwa na wafuasi maana sasa kila mwananchi anamkubali Dr Magufuli
Hivi unafanya kazi kweli wewe, manake kila jukwaa nakuona upo, nikilog off nikirudi nakukuta online, naona na wewe ni mojawapo ulioajiriwa lumumba, kwa siku buku 7 unapanda mwendo kasi kurudi nyumbani, nadhani unalipwa kwa kutokana na comments zako za kuponda, fanya kazi dada, lumumba haitakusaidia lolote mangapi tumeona au njoo nikuajiri katika kampuni yangu uachane na hao lumumba
 
CCM inatakiwa wakumbuke kwamba mwaka 2015 watz walitaka mabadiliko na wanakumbuka vzr moto uliowashwa 2015,km watz hawataona mabdiliko ya unafuu wa maisha, CCM wasijidanganye kuwatisha watz na polisi,polisi ni kaka zetu, dada zetu, wajomba n.k,tunaishi nao tu mtaani serikali ikitaka mambo yaende sawa itende tu haki, maji ya washa washa kitu gani, mbona tunakula plpli tunasikia tu raha? Kuna wakati pingu ztaonekana km bangili pale raia watakapochoka KUONEWA.
 
Safari hii mtakoma maana zero ndiyo kashika akili zenu. Tena ningekuwepo mimi hapo kahama ningewachapa zaidi, mnatakiwa mukomeshwe kwa akili zenu za kizezeta! Sasa tunahitaji kufanya kazi na siyo maandamano au kueneza chuki. Yaani mpaka 2020 hamtakuwa na wafuasi maana sasa kila mwananchi anamkubali Dr Magufuli

Acha ushabiki wewe
1. Waliovunjiwa nyumba zao
2. Waliochukuliwa sukari yao
3. Waliofukuzwa UDOM na kuitwa vilaza
4. Waliokataliwa kufanya hadhara ambayo ni haki yao kikatiba
5. Wanaolilia mafao yao PPF hao wote nao huo mwaka 2020 watakuwa wamesahau machungu ya maisha yao? Ukishiba usikejeli wenye njaa
 
Safari hii mtakoma maana zero ndiyo kashika akili zenu. Tena ningekuwepo mimi hapo kahama ningewachapa zaidi, mnatakiwa mukomeshwe kwa akili zenu za kizezeta! Sasa tunahitaji kufanya kazi na siyo maandamano au kueneza chuki. Yaani mpaka 2020 hamtakuwa na wafuasi maana sasa kila mwananchi anamkubali Dr Magufuli
Neno "kila mwananchi" umelitumia ukimaanisha nini?
 
jisemee mwenyewe, hatujakupa kibali sisi kama wananchi kututolea tamko kwamba wote tunamkubali, acha ujesca ebooo!!!!
wewe unamuhukumu mwenzio kwa dhambi unayofanya? "hatujakupa kibali sisi kama wananchi kututolea tamko kwamba wote tunamkubali!!!!" wewe unamsemea nani aliyekutuma hapo sasa jiongelee mwenyewe
 
Wanasiasa wetu kwao siasa ni kuingia madarakani, usipoingia madarakani lazima ufanye hila wale walioko madarakani washindwe. Wanasiasa wetu wengi wanamtazamo wa siasa kama ajira na mahali pa kujiendeleza kimapato hivyo wao kukosa madaraka ni suala la kufa na kupona.

Pale Kenya ulifanyika uchaguzi ambao ukihesabu namba za waungaji mkono unajua kabisa waliopoteza waliopoteza kihalali; tena chini ya katiba mpya walioipigania. Sasa hivi wameamua kuanzisha fujo kushinikiza kuvunjwa tume ya uchaguzi. Kwa mujibu wao, ili tume ya uchaguzi iwe halali, inabidi itoe matokeo yatakayowapa ushindi. Vinginevyo ni ufisadi mtupu.

CHADEMA wameshiriki uchaguzi ambao wanaamini wameibiwa kura. Hata hivyo ukihesabu matokeo ya ubunge na kuhesabu maeneo walikokuwa na wagombea shidani utaona kuwa matokeo ya uchaguzi ni halali. Ukishakuwa na wabunge wachache sana ni wazi utapigwa kwenye siasa za bungeni. Badala ya Chama kutulia na kujipanga kimfumo wanarudi kwenye zilezile siasa za harakati majukwaani huku Chama kikiendelea kukosa mfumo mzuri huko mashinani.

Siasa za harakati majukwaani zinaleta matokeo ya muda mfupi sana. Vyama vingi aina ya CHADEMA hapa Africa hata vikijikuta vimeingia madarakani matokeo hayawi tofauti sana na wale waliowqondoa. Mfano Kenya, Zambia, Malawi, n.k. Hakuna tumaini katika siasa za lazima niwe madarakani.

Miaka mitano itapita halafu ukiangalia Chama kimfumo kiko vilevie. Ingawa wao wanalalamikia mfumo mbaya unaoendesha nchi. Watu walioshindwa kujenga mfumo mzuri katika Chama Chao, wataweza kusimika mfumo bora wa kuendesha nchi?
 
Ukawa kumbukeni uhuru una mipaka yake,Demokrasia ipi tena inatakiwa?
Kwa katiba tuliyo nayo,haujakosea kuyasema hayo lakini tungekuwa na katiba ya wananchi haya usingeyasema!!!!!
Polisi wa Kenya walizuia maandamano ya wapinzani,wapinzani wapeleka shauli mahakamani,serikali ikaangukia pua na maandamano jumatatu yalikuwepo kama kawaida....
 
Kama ingetokea muda wa kutafakari kwa wana siasa wa upinzani ni sasa maana kunaugumu sana wa mawazo kwa watu
 
Vita h
#HAPAHOFUTUU ndio falsafa yao. Hivi wanadhani washiriki wa mkutano 20,000 wakiamua kupambana na hao polisi 100 kutakuwa na usalama hapo?
Ni kweli watawaua kadhaa lakini hata baki polisi hata mmoja. Hilo hatutaki litokee katika nchi hii. Wasilazimishe
Vita havipiganwi kwa hivo bwana mkubwa. Wingi si hoja, kinachohitajika ni maandalizi, kama hamjafanya maandalizi ya kupigana hata mkiwa milioni dhidi ya mmoja ni kazi bure. Ni mara chache sana wananchi wanaweza kuamua kupambana na askari ana kwa ana. Labda katika nchi zilizopitia misukosuko na watu wake kuingiwa usugu na mind zao kujiset kwa lolote. Kwa Tz hali ni tofauti kwa sababu ukiacha hawa beneficiaries wa siasa, sisi wengine kuwa CCM ama CHADEMA hakupunguzi ama kukuongezea chochote katika maisha yangu kila siku. Why die for no big deal.
 
Safari hii mtakoma maana zero ndiyo kashika akili zenu. Tena ningekuwepo mimi hapo kahama ningewachapa zaidi, mnatakiwa mukomeshwe kwa akili zenu za kizezeta! Sasa tunahitaji kufanya kazi na siyo maandamano au kueneza chuki. Yaani mpaka 2020 hamtakuwa na wafuasi maana sasa kila mwananchi anamkubali Dr Magufuli
Utakua mkurupukaji na mlopokaji kama huyo unayemtetea.
 
Hivi kwanza swala lasukari limieishia wapi maana swala la majipu naona nalo linazidi kuyoyoma
 
Kati ya waoga tuliowahi kuwa nao tuka uhuru ni hii serikali ya mazingaumbwe ya awamu ya tano.
Toka wameingia madarakani wamefuta uhuru wa kukusanyika na wa kutoa mawazo. Kisa wanataka nchi nzima iimbe atukuzwe mkuu sana alojitukuza aliyeko huko ikulu.
TURUDISHIENI UHURU WETU KABLA HAMJACHELEWA!!
 
Polisi wa Kahama waliniudhi sana, walitakiwa kula kichapo hasa hadi wabadili gia angani. Wabunge wako kazini bungeni yy yeye anahamasisha vurugu, kama ana hamu ya kupiga kelele aende HAI kahama ina MBUNGE wake!
Una elimu gani,?
 
si mara ya kwanza na sidhani kama itakuwa mara ya mwisho maana hata wanaomsifia alikuwa mwana demokrasia JK katika uongozi wake bado walipigwa mabomu sembuse wakati huu wa rais wanaye mwita dikteta??
 
Back
Top Bottom