Mbowe hatofungwa ila anampisha Rais ajenge uchumi kwanza

Jelavic

Senior Member
Dec 28, 2016
180
380
Kwa jinsi kesi inavyoenda na hukumu ndogo ndogo zinavotupiliwa mbali ni wazi tayari kuna malekezo ya wapi kesi ifike na mpaka ifike huko basi muda utakuwa umsogea sana rais atakuwa ameisha onesha muelekeo wake anatupeleka wapi.

Wakati SSH anaingia na wapinzani wakaanza makongamano ya katiba miaka mitano ya JPM walikuwa wamekaa kimya kama hatuitaji katiba, wakadhani SSH ni dhaifu kwaiyo wakataka waanze harakati zao mapema hata bado rais SSH hajaeleweka kwa watanzania, ni mwanasiasa KICHAA tu ndio anaweza kukubali kukosa publicity kwasabab inayoweza kucheleweshwa.

Mbowe alikuwa anajua rais anaitaji muda ili aeleweke kwa watanzania lakin hakuwa fair akataka ammalize kuanzia point ya mwanzo, kwaiyo kilicho mkuta ni timing tu, yeye alitaka ahamishe mjadala wa kitaifa iwe ni katiba tu na SSH amemuwahi kifupi ni sehem ya mchezo katika politics.

Kwanini hawakumkata Mnyika au wengine, jibu ni rahisi tu mnyika hana nguvu kama Mbowe ndio maana hata baada ya Mbowe kuwa jela hatujaona mnyika akiendeleza pale mwenyekiti wake ameishia.

Kwahiyo Mbowe atatupisha kidogo baadae atarudi kwenye uwanja wa siasa.
 
Uchumi ipi unajengeka kwa kuendeleza sera za ubabe na kuwagawa wananchi, kutesa, kuteka, kufunga, kudhalilisha, kutoheshimu utawala wa sheria, ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu.

Lissu upo sahihi, tutasimama na wewe sababu unasema ukweli.

 
uchumi ipi unajengeka kwa kuendeleza sera za ubabe na kuwagawa wananchi, kutesa, kuteka, kufunga, kudhalilisha, kutoheshimu utawala wa sheria, ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu..

Lissu upo sahihi, tutasimama na wewe sababu unasema ukweli...



Labda kuonea watu ndiyo kukuza uchumi
 
Uchumi ipi unajengeka kwa kuendeleza sera za ubabe na kuwagawa wananchi, kutesa, kuteka, kufunga, kudhalilisha, kutoheshimu utawala wa sheria, ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu.

Lissu upo sahihi, tutasimama na wewe sababu unasema ukweli.



Mwambieni Tundu asisubiri 2025 ndio atuletee maneno, aje sasa tujenge nchi kwanza
 
Kwa jinsi kesi inavyoenda na hukumu ndogo ndogo zinavotupiliwa mbali ni wazi tayari kuna malekezo ya wapi kesi ifike na mpaka ifike huko basi muda utakuwa umsogea sana rais atakuwa ameisha onesha muelekeo wake anatupeleka wapi.

Wakati SSH anaingia na wapinzani wakaanza makongamano ya katiba miaka mitano ya JPM walikuwa wamekaa kimya kama hatuitaji katiba, wakadhani SSH ni dhaifu kwaiyo wakataka waanze harakati zao mapema hata bado rais SSH hajaeleweka kwa watanzania, ni mwanasiasa KICHAA tu ndio anaweza kukubali kukosa publicity kwasabab inayoweza kucheleweshwa.

Mbowe alikuwa anajua rais anaitaji muda ili aeleweke kwa watanzania lakin hakuwa fair akataka ammalize kuanzia point ya mwanzo, kwaiyo kilicho mkuta ni timing tu, yeye alitaka ahamishe mjadala wa kitaifa iwe ni katiba tu na SSH amemuwahi kifupi ni sehem ya mchezo katika politics.

Kwanini hawakumkata Mnyika au wengine, jibu ni rahisi tu mnyika hana nguvu kama Mbowe ndio maana hata baada ya Mbowe kuwa jela hatujaona mnyika akiendeleza pale mwenyekiti wake ameishia.

Kwahiyo Mbowe atatupisha kidogo baadae atarudi kwenye uwanja wa siasa.
Huyo anayemsotesha Mbowe ana uhakika gani wa kufika hapo anapotaka kufika huku akiminya haki za wengine? Jiwe alitaka atawale hadi 2040 jee aliishia wapi?

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom