Last Lady hii maneno uliyotoa kipindi hicho ni kweli kipindi hichi mkuu wa Taasisi hakuwa anachukua Ruzuku? au ilikuwa danga toto ili pesa ziingie kwenye mi miradi mingine
Sio peke yake!hadi wanachama....!!we ukiona wanaongelea gongo toka ktk cement kama sera ya chama wkt tunashida nyingine nyingi hadi utosini unadhan wazima hao!
Last Lady hii maneno uliyotoa kipindi hicho ni kweli kipindi hichi mkuu wa Taasisi hakuwa anachukua Ruzuku? au ilikuwa danga toto ili pesa ziingie kwenye mi miradi mingine